Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Utatu wenye utata: Umri, Pesa na Mapenzi

Bibi na babu hawakuwa hivyo kwa sababu walikuwa analog sasa kidigital zaidi,Pesa kwanza mapenzi yatakuja tu automatically.

kwa hiyo,akiwa na pesa unampenda,akiishiwa unaenda kwa mwenye pesa mwingine,
sasa utakua na wangapi? Kwanini usivumilie?
 
anayeweza kutoa kwa cash naauze tu maana tunaowapenda bure hata hawadhamin pendo nikusalitiwa tu. unafikiri basi kizazi cha kula chips,juice ya viwandani shughuli wanaiweza effectively basi ni chap kama jogoo ukicheche ni defensive mechanism mtaishia kulalamika wazee wanawaibia. sio wote lakib
 
kwa hiyo,akiwa na pesa unampenda,akiishiwa unaenda kwa mwenye pesa mwingine,
sasa utakua na wangapi? Kwanini usivumilie?

Uzuri wa mwanaume pesa babu sura tutavumiliana.Unajua unapokuwa na mwanaume mwenye pesa baada ya muda mapenzi yaataanza Kuja tu taratibu hivo nitakumbuka fadhila nitavumilia tu.Ila nasisitiza pesa kwanza.
 
Unataka tupeane uzoefu gani?Wa kula maharage na dagaa?au jinsi ya kumiliki vogue wakati huna kazi?????.......lol

unanipenda mimi au kazi yangu?nadhani unatakiwa unipende mimi,there is a day ntakua sina kazi je? Will you run away?
 
Uzuri wa mwanaume pesa babu sura tutavumiliana.Unajua unapokuwa na mwanaume mwenye pesa baada ya muda mapenzi yaataanza Kuja tu taratibu hivo nitakumbuka fadhila nitavumilia tu.Ila nasisitiza pesa kwanza.

kama maneno haya yanatoka moyoni kwako na umeyatoa kwa dhati kabisa ya moyo wako,bila ya kushawishiwa na mtu na wala sio kutafuta umaarufu hapa mmu,basi wewe ni mwanamke hatari sana.
Yaani wewe mwanamke weka mbali na wanaume kabisa.
 
Miili yetu imechafuka, roho zimechafuka sana na nafsi zetu ni uwanja WA mipasuko karne hii ya 21!!!

KAMA TUCPO RUDI KWNYE HOFU NA MUNGU, basi mwisho WA ubaya wetu ni ADHABU TUU!!

Pesa haikuwahi kuwapo kabla ya mapenzi!!

LUV with fear of the Lord will even nourish existence of Money in luv, but never Money without fear of Lord will last long with Luv
 
Salaaaam wote,
nimeweka hii mada ili tuweze kupeana uzoefu katika hili,huki mitaani
tunakoishi tunaona wenye fedha wakigegeda mabinti hata wanne kutoka
familia moja,ukiwauliza wanakwambia pesa kaa,wake za watu ndo usiseme"
akipewa lateni yaani elfu kumi,anaambiwa hiyo ya vocha.
Kesho anaipeleka papuch ikatifuliwe.
Wakusoma nao wa vyuo,wa sekondari ndo usiseme mtu anao wa shule kama
tano hivi hadi anawapangia zamu.
Tatizo nini DADA ZETU? Mbona bibina babu hawakua hivyo? Tena mahari
zilikua sahani na vikombe.
Kwani ukipanga chumba na sebule usafiri daladala mboga zako
dagaa,harage,tembele na ndim nyingi huwezi kuwa na mapenzi ya dhati?
Dada zetu badilikeni,msipende sana pesa,maelewano ndo mapenzi.
Wachangiaji twende kazi.

kama unataka mapenzi uko tanga.
 
Salaaaam wote,
nimeweka hii mada ili tuweze kupeana uzoefu katika hili,huki mitaani
tunakoishi tunaona wenye fedha wakigegeda mabinti hata wanne kutoka
familia moja,ukiwauliza wanakwambia pesa kaa,wake za watu ndo usiseme"
akipewa lateni yaani elfu kumi,anaambiwa hiyo ya vocha.
Kesho anaipeleka papuch ikatifuliwe.
Wakusoma nao wa vyuo,wa sekondari ndo usiseme mtu anao wa shule kama
tano hivi hadi anawapangia zamu.
Tatizo nini DADA ZETU? Mbona bibina babu hawakua hivyo? Tena mahari
zilikua sahani na vikombe.
Kwani ukipanga chumba na sebule usafiri daladala mboga zako
dagaa,harage,tembele na ndim nyingi huwezi kuwa na mapenzi ya dhati?
Dada zetu badilikeni,msipende sana pesa,maelewano ndo mapenzi.
Wachangiaji twende kazi.

its more confatable to cry in a marcedes than a bicycle
 
maisha bila hela inawezekana mukiamua
 

Attachments

  • 1411310235858.jpg
    1411310235858.jpg
    17.2 KB · Views: 232
Back
Top Bottom