Umeelewa kilichoandikwa vizuri?!huwa nawaza matumizi ya pesa ikitokea yamefutwa sijui tutahongana maembe!
kujiendekeza tu,sio kweli kwamba bila pesa hakuna mapenzi ya kweli,nakataa kwa 100%
Elezea shetani anamiliki vipi pesapesa haina mbafdala ndio mana shetani anaimiliki
Ina umuhimu lakini isikulevye...mlinde mwenza ama mkeo, somesha wanao shule nzuri, inshort weka familia yako vizuri lakini vyote hivyo viongozwe na upendoPesa muhimu sn ktk maisha
Pesa ina nafasi yake kwenye real love
Ni kweli comrades, but watu kuna kitu kidogo sana wanakosea,ukishakosea hicho basi hata utafutaji wako wa pesa na kua nazo hauna maana, na utakufa a lonely and stressed rich personPesa sawa na msingi wa nyumba. Bila msingi wa nyumba sidhani kama tutaweka paa.
Tutafute pesa tu hamna namna
True mkuuNi kweli comrades, but watu kuna kitu kidogo sana wanakosea,ukishakosea hicho basi hata utafutaji wako wa pesa na kua nazo hauna maana, na utakufa a lonely and stressed rich person
Shukuru mungu unapendwa bila pesa ila hata akigundua unazo hela usimzoezeMimi napendwa bila pesa (she doesn't know what am worthy ila siku akijua nahisi ndio itakua mwanzo wa kupunwa mipunga yangu)
Kwel mkuuShukuru mungu unapendwa bila pesa ila hata akigundua unazo hela usimzoeze