Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,758
Tunaferi Kigamboni.akili zako buana, mwenzio kaleta hoja, mjibu kwa hoja..Tunaferi wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunaferi Kigamboni.akili zako buana, mwenzio kaleta hoja, mjibu kwa hoja..Tunaferi wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Una maana gani?mm nadhani alitaka tu kutujuza kuwa hiyo picha ilichukuliwa upande wa kenya kwa kuwa tz hakuna view hiyo ila wanajf wajue.sijaona kitu kibaya kuchukuliwa picha upande mwingine.la msingi ni kupata wiew nzuri ya picha kwani hata ss tunapopiga picha tunatafuta view nzuri ili picha ionekane murua.sijaona swala la ukabila hapo bali nimeona swala la uzalendo la kuonyesha uzuri wa maandhali ya uchagani.pia kuna sehemu nyingi tz zina maandhali nzuri,kama mbeya (tukuyu),mbinga (Ruvuma),iringa,kagera,tanga hata baadhi ya sehemu ya mkoa wa kigoma kwa maana ya wilaya ya kasulu na buhigwe.
Hiyo picha ni ya kuchora na mchoraji kajitahidi lakini si mzuri sanaHii picha imepigwa kutoka Amboseli Kenya na ni View pekee unayo weza piga hizo picha. kwa Upande wa Tanzania hakuna hiyo view na hii ni sababu ya Wazungu kuamini Mlima Kilimanjaro uko Kenya.
Picha halisi ya Kutokea Tanzania ni ile inayo onyesha Migomba.View attachment 1040372View attachment 1040378
View attachment 1040429
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa akili yako unajua huo mlima ni wa Wakenya.
Mlima uko Tanzania. Upo Tanzania.Hamja muelewa MURUSI anachomaanisha ni kuwaalready kwenye soko la utalii baada ya upotoshwaji wa muda mrefu inajulikana kuwa mlima Kilimanjaro upo Kenya. Watalii wengi wanaaminishwa kuwa kuona mlima Kilimanjaro uene kenya. Matumizi ya hiyo picha ina re inforce hizo wrong belief kuwa mlima uko Kenya. Ila ukweli unabaki kuwa Mlimauko TZ.
Mlima uko Tanzania. Upo Tanzania.
Magufoolification!Hii picha imepigwa kutoka Amboseli Kenya na ni View pekee unayo weza piga hizo picha. kwa Upande wa Tanzania hakuna hiyo view na hii ni sababu ya Wazungu kuamini Mlima Kilimanjaro uko Kenya.
Picha halisi ya Kutokea Tanzania ni ile inayo onyesha Migomba.View attachment 1040372View attachment 1040378
View attachment 1040429
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungekuwa mwalimu, naamini wanafunzi wako wote wangefeli! Kinachoongelewa hapa hakina mlinganisho huo uliotoa.Mke wako akipigwa picha buchani utasema sio wako kwa vile siku hiyo hukumpa hela ya nyama
Sent from my using Tapatalk
Mmeamka sasa hivi wamekula sanaKenya kuwazoea watanzania ni rahisi japo tunaonekana makauzu ila kwenye maliasili zetu na mipaka haiwezekani hata kinguvu
Sent using unknown device
Mkuu, hii naona iko nje ya uwezo wa akili yako kuelewa mantiki ya mleta hojaHuo mlima uko wapi?
tutashona pazia kuuubwa kama ukuta wa mererani fitna yote kwisha!Zitapigwa picha kutoka angle mbalimbali bado utakuwa ni mlima wetu.
Kwani kuonekana kwa mlima Kilimanjaro upande wa Kenya kunafanya washindwe kupiga picha.
Ngoja Ikipigwa ya Drone kwa juu, utasikia uongo mwingine;Zitapigwa picha kutoka angle mbalimbali bado utakuwa ni mlima wetu.
Kwani kuonekana kwa mlima Kilimanjaro upande wa Kenya kunafanya washindwe kupiga picha.
Siyo lazima unielewe na wewe, kaa kimya.Mkuu, hii naona iko nje ya uwezo wa akili yako kuelewa mantiki ya mleta hoja
Tembo wapo kibao maeneo ya west kilimanjaro Ndarakwi maneo ya karibu na mashamba ya Nafco,maeneoa ya Sinya ect kwahiyo picha hiyo inawezekana kabisa kuwa imepigiwa upande wa Tanzania.Siyo eneo lote la mlima kilimanjaro limezungukwa na migomba au wachaga maeneo mengine ni ya wamaasai na wameru na pia kwataharifa yako kuna hifadhi ndogo za wanya huko na block za uwindaji zikiwa chini ya WMA na ulinzi wa KDU na ujue mpaka wa kenya na tz siyo mlima kilimanjaro,mlima upo ndani ya tanzania kilometer kadhaa.Na wanya waliopo huko eneo hila siyo tembo peke yake wapo hata simba chui nyumbu twiga pundamilia mbuni ect Kama hiyo ni picha sinashaka kuhusu hiyo picha kupigwa upande wa tanzania maana madhari hayo yapo eneo lote la sinya mpaka mpakani mwa wilaya ya rombo na longidoSiyo lazima unielewe na wewe, kaa kimya.