Kigoma Region Tanzania
JF-Expert Member
- May 25, 2021
- 229
- 593
Bado unayo nafasi ya kuitazama milima ya Congo DRC ukiwa hapa Kigoma, mlima tambalale uliyonyooka kwa mapana uliopakwa rangi ya blue ni nchi ya Zaire, utafika katika nchi hiyo kwa usafiri wa Boti, ni rahisi sana kutokea hapa kwetu Kigoma.
Hapa ni Kigoma Karibu na Station Milima ya Blue inayoonekana ni milima ya Congo DRC.
Muonekano wa milima ya Congo DRC kutokea fukwe za Hiltop Hotel Kigoma
Muonekano wa milima ya Congo DRC kutokea fukwe za Hiltop Hotel
Hali ya Kigoma inakuruhusu kuona milima ya Congo DRC vizuri kutokea Kigoma. Picha ya saa tano asubuhi kutokea Mlole Minzambarauni Kigoma. Mlima mrefu wa blue ndio Congo DRC
Hapa ni Kigoma-Town - Lake Tanganyika Hotel, kwa mbali kuna mlima umeambaa kukaribia usawa wa hili hema nyeupe. Mlima huo ni eneo linaitwa Kabanga, Kivu ya Kusini nchini DRC. Kutokea hapa hadi kivu ya kusini ni takriban KM 58. Sawa na kutokea Dar es salaam hadi Visiga (Mlandizi).
Picha hii ya mwisho imepigwa katika Mji wa bandari wa Kalemie, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwenye Ziwa Tanganyika.
Kwa mbali.. ng'ambo ya maji ni Milima ya hifadhi ya Taifa ya Mahale mkoani Kigoma nchini Tanzania.
Hapa ni Kigoma Karibu na Station Milima ya Blue inayoonekana ni milima ya Congo DRC.
Muonekano wa milima ya Congo DRC kutokea fukwe za Hiltop Hotel Kigoma
Muonekano wa milima ya Congo DRC kutokea fukwe za Hiltop Hotel
Hali ya Kigoma inakuruhusu kuona milima ya Congo DRC vizuri kutokea Kigoma. Picha ya saa tano asubuhi kutokea Mlole Minzambarauni Kigoma. Mlima mrefu wa blue ndio Congo DRC
Hapa ni Kigoma-Town - Lake Tanganyika Hotel, kwa mbali kuna mlima umeambaa kukaribia usawa wa hili hema nyeupe. Mlima huo ni eneo linaitwa Kabanga, Kivu ya Kusini nchini DRC. Kutokea hapa hadi kivu ya kusini ni takriban KM 58. Sawa na kutokea Dar es salaam hadi Visiga (Mlandizi).
Picha hii ya mwisho imepigwa katika Mji wa bandari wa Kalemie, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kwenye Ziwa Tanganyika.
Kwa mbali.. ng'ambo ya maji ni Milima ya hifadhi ya Taifa ya Mahale mkoani Kigoma nchini Tanzania.