Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 12,151
- 44,072
Dah!Duuu hii inafanana na mshikaji wangu in short kama vile umemuongelea yeye. Ana mahusiano ya muda mrefu na binti wa kisabato tena muimba kwaya halafu jamaa Mkkkt. Jamaa wakati wakutaka kuvuta jumla ikawa noma akaamua kumjaza mimba ili walegeze msimamo lkn wapi. Hadi sasa wanavutana sijui ni mpaka lini.
Hiyo kali sana.
Yaani binti yuko tayari kufanya uzinzi ndani ya mwamvuli wa dini yake, lakini hataki kufunga ndoa nje ya mwamvuli wa dini yake.
Yaani binti anatuambia kuwa, yuko tayari kwa uzinzi lakini hayuko tayari kwa ndoa.
Sasa mwanaume unataka kuoa huyo mwanamke ili iweje? Wa nini hasa? Una wazimu?