Utata wa dhehebu lako katika kufunga ndoa

Utata wa dhehebu lako katika kufunga ndoa

Mimi ni msabato nimepata mkkt
Nilitaka tufunge ndoa July next year binti hataki Sababu anataka tukafungie kwa walokole. Mimi sipo ty r,
Mwambie tubadilishane tu, Mimi nifunge ndoa na msabato mwenzangu.
 
Leo ni mara ya kwanza kuingia kwenye hili jukwaa wadau, nategemea ushauri wa maana juu ya hili jambo.

Iko hivi kuna kijana wangu anaomba ushauri kuhusu tatizo linalomsumbua yeye ni mkristo wa dhehebu la KKKT na ana mchumba wake ni msabato, sasa mda unazidi kwenda kijana anataka kufunga ndoa.

Kijana akatoa wazo kwa binti kwamba ndoa inatakiwa ifungwe kanisani KKKT na baada ya ndoa binti ataendelea na dhehebu la kisabato.

Sasa binti amegoma kabisa, binti nae kasema hawezi kufunga ndoa KKKT anataka ndoa ifungwe kanisani sabato na baada ya ndoa kamruhusu kijana aendelee na dhehebu la KKKT.
Sasa ubishano upo kwenye wapi ndoa ifungwe kati ya Kanisani KKKT au sabato, na imefika hatua kwamba endapo mmoja atakataa kukubali mawazo ya mwenzie wanasema bora mahusiano yaishe.

Sasa wadau mnaushauri gani ili kuweza kuwanusuru huyu kijana pamoja na huyo mchumba wake.
Nimewashauri kuhusu ndoa ya kiserikali, ila wote hawako tayari kwa ndoa ya kufungwa serikalini.

Je mnamshauri nini huyu kijana na mchumba wake ili waweze kufanikisha mipango yao ya kufunga ndoa pamoja?
Mwambie Kijana wako Kama mwanamke anamuamrisha Kabla hajaolewa Mke hamna hapo....MUME ndio muamuzi labda Kama huyo Mke ndio Kaenda kumchumbia jamaa
 
Y aani sisi wasabato
Mtu yeyot e a siye msabato ni asiyeamini.
Biblia inatuonya kufunga nira na wasioamini wakiwamo kkkt
Rc na wato to wake.
 
Mimi ni msabato nimepata mkkt
Nilitaka tufunge ndoa July next year binti hataki Sababu anataka tukafungie kwa walokole. Mimi sipo ty r,
Mwambie tubadilishane tu, Mimi nifunge ndoa na msabato mwenzangu.
Acheni kuwa na mawazo finyu. Dini haimpeleki mtu mbinguni.

Matendo yako ndio kilakitu. So usipate shida mahala pa kufungia ndoa au Kpmg as pana uwepo wa mungu
 
Acheni kuwa na mawazo finyu. Dini haimpeleki mtu mbinguni.

Matendo yako ndio kilakitu. So usipate shida mahala pa kufungia ndoa au Kpmg as pana uwepo wa mungu
Kila mmoja ana free will
Ana imani yake
Imani zinatofautiana kama wew unavyotofautiana na baba ako
Hivyo punguza hisia juu ya mawazo ya wengine as long hayakuathiri moja kwa moja yaache ili dunia iwe salama zaidi.
 
Kila mmoja ana free will
Ana imani yake
Imani zinatofautiana kama wew unavyotofautiana na baba ako
Hivyo punguza hisia juu ya mawazo ya wengine as long hayakuathiri moja kwa moja yaache ili dunia iwe salama zaidi.
mkuu dini sio swala la kutenganisha upendo
 
Leo ni mara ya kwanza kuingia kwenye hili jukwaa wadau, nategemea ushauri wa maana juu ya hili jambo.

Iko hivi kuna kijana wangu anaomba ushauri kuhusu tatizo linalomsumbua yeye ni mkristo wa dhehebu la KKKT na ana mchumba wake ni msabato, sasa mda unazidi kwenda kijana anataka kufunga ndoa.

Kijana akatoa wazo kwa binti kwamba ndoa inatakiwa ifungwe kanisani KKKT na baada ya ndoa binti ataendelea na dhehebu la kisabato.

Sasa binti amegoma kabisa, binti nae kasema hawezi kufunga ndoa KKKT anataka ndoa ifungwe kanisani sabato na baada ya ndoa kamruhusu kijana aendelee na dhehebu la KKKT.
Sasa ubishano upo kwenye wapi ndoa ifungwe kati ya Kanisani KKKT au sabato, na imefika hatua kwamba endapo mmoja atakataa kukubali mawazo ya mwenzie wanasema bora mahusiano yaishe.

Sasa wadau mnaushauri gani ili kuweza kuwanusuru huyu kijana pamoja na huyo mchumba wake.
Nimewashauri kuhusu ndoa ya kiserikali, ila wote hawako tayari kwa ndoa ya kufungwa serikalini.

Je mnamshauri nini huyu kijana na mchumba wake ili waweze kufanikisha mipango yao ya kufunga ndoa pamoja?
Duuu hii inafanana na mshikaji wangu in short kama vile umemuongelea yeye. Ana mahusiano ya muda mrefu na binti wa kisabato tena muimba kwaya halafu jamaa Mkkkt. Jamaa wakati wakutaka kuvuta jumla ikawa noma akaamua kumjaza mimba ili walegeze msimamo lkn wapi. Hadi sasa wanavutana sijui ni mpaka lini.
 
Kwa kawaida ndoa hufungwa kanisani kwa kijana wa kiume, ila katika hili km wasipokubalina ktk hili ni dalili sio tu wao watapata shida ila watawachanganya hata watoto wao, ikiwa MUNGU atawabarikia na uzao
Asante kwa ushauri ndugu
 
Kama mwanamke kashindwa kumfuata mwanaume na kumsikiliza. Ni dalili tosha kuwa mwanamke kama huyo akimuoa atataka maamuzi yake yafuatwe na mmeo. Ushauri amuache mapema maana dalili ya ubabe imeanza kujitokeza. Asipojiadhari mapema ndoa hiyo ataijutia mwanaume. Na ni wazi mwanamke hajampenda mwanaume sawasawa/kutoka moyoni hivyo bora kijana Wa kiume akachanja mbuga mapema. Wanawake wapo wengi sana Wa kuoa si yeye peke yake ya nini ajitese na misimamo ya mwanamke.
 
Elimu yako haijakusaidia mdau. Samahani kwa kusema ivo kwanza.
Upo kwenye utumwa wa kifikra emancipate yourself from mental slavery.
Haya madhehebu ya dini uliyoletewa na mkoloni ni mfumo tuu ulioandaliwa na some elite group of people "divide and rule" hutumuka ata kwenye siasa.
Ukimpenda mtu OA dini ipo kwenye akili haiusiani na tabia ya mtu. Njoo pm nikusaidie zaidi
 
Wasabato ni wasumbufu na ukipata mwanamke msabato lazma akomae uhamie sabato lasivyo huwez mpata.nikama wamelishwa imani kali sanaa.Yote katka yote mwambie jamaa achane nae atafute wa dhehebu lake kwani asipofanya hivyo ananunua ugomvi na mvurugano wa familia yao hasa watoto watakao zaliwa."wanawake wasabato=pasua kichwa"
Asante kwa ushauri, ila kama ni kweli basi hili ni tatizo kwa wasabato
 
Kuna mijitu ya ajabu sana hapa duniani. Mwishowasiku mwanaume ata ghairi kuwowa.


Yaani dini ndo mshindwe kuwa pamoja. Binti apimwe akili kwa kweli
Mdau kumbuka imani ya dini ndio msingi wa kila kitu hasa kwa waamini Mungu
 
Back
Top Bottom