Hapa nyumbani ninaishi na msabato, ni watu wabishi sana kwa asili, hii sumu sijui wanalishwa huko kanisani kwao. Huwa wanaamini wao tu ndio wenye tiketi ya Mbinguni, hakuna msabato utakaemkuta sio mbishi. Huyo binti atamsumbua sana huyo kijana, anashindwa kuelewa mapenzi yako beyond riligious blvs. Huyo kijana afanye maamuzi ila suala la kumconvice huyo binti sio rahisi. Ndani ya ndoa hakutakuwa na utulivu otherwise wamekubaliana kukaa wote upande mmoja. Kama ataendelea kuwa mbishi mwambia amtie pembeni, wadada wazuri na wenye imani thabiti wapo hata huko KKKT kwake.