#COVID19 Utata wa chanjo ya UVIKO-19: Askofu Gwajima kutoa msimamo mwingine juu msimamo tarehe 1/8/2021

Gwajima atumie lugha ya busara wakati wa kupinga chanjpo kuliko tuhuma za watu kughushi chanjo na kuwatisha watakufa kwa vile wanahamasisha chanjo.

Kimsingi Gwajima ana hoja nzuri na inayohitaji majibu makini ya kisayansi na siyo kejeli kama alivyo jibu Waziri Gwajima, na wala siyo majibu mepesi kama ya bosi wa waziri kwamba "chanjo tumeanza kuchanja toka tukiwa watoto kama za ndui, BCG.." .

Hizo chanjo nyingine zimechukua muda mrefu na takwimu za kutosha kuthibitisha ubora na usalama wake kwa watumiaji.

Pia hizo chanjo zimekuwa zikizuia kweli magonjwa husika yasiuwe au yasidhuru watumiaji wake, mambo ambayo chanjo za COVID19 zimeshindwa kufikia vigezo hivi.

Za COVID19 hazizuii maambukizo na vifo, bado hatujui madhara yake baada ya muda mrefu.
Lugha ya kistaarabu ni ipi...?

Je, ni ile wanayotumia kina IGP Sirro, Waziri Gwajima Dorothy na CCM wengine ya uongo na unafiki...?

Yes, kusema kweli na kwa uwazi siku zote haijawahi kuwa lugha ya kistaarabu kwa waongo na wanafiki...!!
 
Back
Top Bottom