Puna
JF-Expert Member
- Oct 9, 2013
- 2,347
- 3,807
Mkuu siku nyingine usilete upumbavu wako kuharibu uzi wa mwenzako.Mada inaeleweka wewe unawatoa watu nje ya reli kulumbana kuhusu udini.Jiga.prove unachoongea!!!!!!!......... maana mtu wa kwanza kumtabiria mtume MUHAMMAD utume wakati akiwa mdogo kabisa alikua ni PADRI BAHIRA sasa nashangaa mnavyotunga mambo yasio na uhakika wowote ama kithibitisho chenye nguvu.......