Utata: Kanisa la Siloam

Hii ndiyo ilivyokuwa siku ya kutwaliwa eliya Mungu Wa majeshi. Tizama wingu lilivyobadilika, hakukuwa na ratiba ya kuaga maana hakufa Bali alihama kituo, jeneza a.k.a Sanduku la agano alikupaswa kufunikwa na mchanga lililokuwa limebeba viungo vyake, ni zege tu ambapo hata enzi za mitume Yesu waliwekwa mapangoni,
SHIKA NENO TENDA NENO ULIYEPEWA NEEMA KUBWA HAPA

NI HERI ZAIDI KUWA MUUMINI WA KANISA HILI KULIKO KUWA MSHABIKI WA YANGA.... BORA ZAIDI KUWA MUUMINI WA KANISA HILI HATA KAMA KUNADOSALI KULIKO WAFUASI WA WANASIASA NA WAGANGA....MAANA HATA USIPOBARIKIWA BASI ANGALAU UTAJIFUNZA BIBLIA NA KUPUNGUZA UHALIFU INCHINI...bible say; Heri wale wasio enenda na wenye mizaha...

Yaani jeneza mdio unaliita Sanduku la Agano? Hivi unalijua sanduku la agano kweli hii ni kufuru.
 
Yaani jeneza mdio unaliita Sanduku la Agano? Hivi unalijua sanduku la agano kweli hii ni kufuru.
Hao watu akili zao huwa wanaziweka kwenye maKABATI wanatumia za wengine...wapo jamaa zangu wawili....Nyakati flan walikuwa vzr sana kifedha nilikuwa naabudu nao KKKT sijui nani kawapeleka huko....wamefilisika ukikutana nao wamechakaa hata mia hawana...sijui wanalishwaga nini hata hawatumii akili zao za kuzaliwa
 
Mkuu usishangae hao jeneza kuliita sanduku la agano, si unakumbuka jinsi agano la kale linavyo sema Mungu wa majeshi alikaa juu s anduku la agano akizungukwa na makerubi! basi tambua huyo Munuo walimwabudu kama mungu wa majeshi na wanaamini ananguvu kuliko Yesu kwani Yesu hakumshinda shetani bali Munuo alimpiga roba mpaka akafa hata wanapo fanya ibada wanazielekeza kwa eliya mungu majeshi a.k.a Munuo hawana imani na damu ya Yesu wanasema ilisha ibiwa na washirikina msalabani Walikuwa hawaamini kama Munuo anaweza akaugua na kufa lkn alichomwa na msumali wa tetenasi akajizuia asiende hospitali ili kuilinda imani alioianzisha mpaka akafa wachungaji wakachanganyikiwa ili kuwazubaza waumini wakatafuta namna na baadaye wakaipata kupitia upinde wa mvua wakazusha kwamba alipaa kwenda kwenye jua wakati waelewa tunajua kuwa Munuo amekufa kifo cha kawaida kizembe na kaburi lipo anasubiri hukumu tu
 
Wanasema mwanzilishi wao alichukuliwa mbinguni. na siku aliyochukuliwa lilitokea tetemeko pamoja na wingu kubwa sana wakamuona huyo nabii akipaa mbinguni. Hiyo siku sijui nilikua wapi maana sijawahi sikia tetemeko
Umenikumbusha ya Yehova Wanyonyi ! .......wamemuombea kibali cha mazishi lakini wanadai kapaa mbinguni ! Ndio maana tunawappeleka watoto wetu Madrasa ili wasipitiwe na mitego hii ya bei rahisi
 
Jumapili iliyopita tulimzika muumini wao May jesseMakame Mke wa dr chambega pale Kondo Kwa kweli ilikuwa huzuni Kubwa misa waliongoza wenyewe hakuna kulia mapambio mi ushindi wa Elia Kwa kwenda mbele. Nguzo nyeupe wake Kwa waume jamani watu wachache sana japo bibie alikua shemasi wa nguvu hata sijui kuna nini pale. Kilichoniuma ni kutokujua lile kusanyiko Kama lilikua la kumsindikiza mbinguni ama wapi, I w as so scared for her
 
Kuna kanisa lao hao jamaa nalifahamu Kibaigwa. Ni kama linapoteza waumini kila kukicha. Walikuwa na mbwembwe za kupiga mziki mkubwa kila saa kumi alfajiri siku hizi hakuna hiyo. Na hii imeanza baada ya Munuo kufariki.
Maono kumtegemea mtu mmoja ni hatari..akifa anaondoka nayo .
 
RIP MUNUO!
Huyo jamaa aliishi kiujanja ujanja!
Lakini ni kukiri kuwa sote ni wadhambi hivyo tutubu na kuomba.
Mwenzetu alilipotosha Neno ili anufaike nalo.
Aliacha kazi TANESCO na kunzisha hili kanisa katika kiwanja cha jirani yake, kiwanja ambacho kilikuwa na mgogoro.
Kwake Mapinga, slikojenga, ana uwanja wa karibia mita 150 kwa 150 na mahekalu ndani yake. Na ndimo amezikwa.

Miaka ya 90 tulikuwa tunasali wote pale Mbezi KKKT, na alikomba waumini wengu toka hapo.

Imani kuwa watu hawafi kwa ugonjwa na wala hawatumii dawa ni mfano wa upotishaji Neno.
Binafsi nawafahamu watu wawili kutoka SILOAM waliokufa kwa msimamo huo.

Tujue jinsi alivyokufa.
Inaelekea alikanyaga msumari na akapata tetanus, na ili asionekane mnafiki hakuenda hospitali.
Ndo ukawa umauti wake, kijana mdogo hana hata makumi mawili matatu!

Funzo, tuheshimu kazi ya Mungu, la sivyo tujitayarishe kwa madhara yake.
 
Huyo jamaa aliishi kiujanja ujanja!
Lakini ni kukiri kuwa sote ni wadhambi hivyo tutubu na kuomba.
Mwenzetu alilipotosha Neno ili anufaike nalo.
Aliacha kazi TANESCO na kunzisha hili janisa katika kiwanja cha jirani yake, kiwanja ambachi kilikuwa na mgogoro.

Miaka ya 90 tulikuwa tunsali wote pale Mbezi KKKT, na alikomba waumini wengu toka hapo.

Imani kuwa watu hawafi kwa ugonjwa na wala hawatumii dawa ni mfano wa upotishaji Neno.
Binafsi nawafahamu watu wawili kutoka SILOAM waliokufa kwa msimamo huo.

Tujue jinsi alivyokufa.
Inaelekwa alikanyaga msumari na akapata tetanus, na ili asionekane mnafiki hakuenda 1hospitali.
Ndo ukawa umauti wake, kijana mdogo hana hata makumi mawili matatu!

Funzo, tuheshimu kazi ya Mungu, la sivyo tujitayarishe kwa madhara yake.
asante sana... baba yangu mdogo JOSEPH MARUWA AKA YEREMIA RIP naye pia alikuwa mwamini mzuri wa hilo kanisa.
pamoja na yote kuna vitu alivyo kuwa anahubiri... vimenigusa!
 
Hii ndiyo ilivyokuwa siku ya kutwaliwa eliya Mungu Wa majeshi. Tizama wingu lilivyobadilika, hakukuwa na ratiba ya kuaga maana hakufa Bali alihama kituo, jeneza a.k.a Sanduku la agano alikupaswa kufunikwa na mchanga lililokuwa limebeba viungo vyake, ni zege tu ambapo hata enzi za mitume Yesu waliwekwa mapangoni,
SHIKA NENO TENDA NENO ULIYEPEWA NEEMA KUBWA HAPA

NI HERI ZAIDI KUWA MUUMINI WA KANISA HILI KULIKO KUWA MSHABIKI WA YANGA.... BORA ZAIDI KUWA MUUMINI WA KANISA HILI HATA KAMA KUNADOSALI KULIKO WAFUASI WA WANASIASA NA WAGANGA....MAANA HATA USIPOBARIKIWA BASI ANGALAU UTAJIFUNZA BIBLIA NA KUPUNGUZA UHALIFU INCHINI...bible say; Heri wale wasio enenda na wenye mizaha...

duuu..
kweli ni kheri kwa mtu yule akue mfuasi wa Siloam kuliko kuwa wa yanga, maana Yanga wanapigwa tu..!!
toroka uje Msimbazi ya MO...!!! mbona mtaipenda tu mwaka huu
 
asante sana... baba yangu mdogo JOSEPH MARUWA AKA YEREMIA RIP naye pia alikuwa mwamini mzuri wa hilo kanisa.
pamoja na yote kuna vitu alivyo kuwa anahubiri... vimenigusa!
Mzee Maruwa ni mmoja ya hao ninaowafahamu.
Alikuwa mzee wetu wa Kanisa Mbezi KKKT.
Mke wake amelihama kanisa la SILOAM.
 
Acha chuki binafsi ndugu kwa wachaga uunapotoa maoni tafiti kwanza. Wamiliki na waanzilishi hawa ni Wachaga?: Kakobe, MWINGIRA, Lwakatare, Fernando, Gamanywa, Gwajima, Lusekelo, Katunzi, Maboya, Mkombo, Winners, Yaspi, Kulola, Bendera, Malisa, Makuti Kawe, GeoDave list continues. Hawa nao wako vizuri kimaisha wengine hadi kumiliki ndege. Hao ni Wachaga? Aliyeachiwa Sloam si Mchaga ni Mha msomi Wa PhD naye anaendelea vizuri. Hujaona msaada waliotoa kwa jamii wiki iliyopita?
mfuasi nn
 
Mzee Maruwa ni mmoja ya hao ninaowafahamu.
Alikuwa mzee wetu wa Kanisa Mbezi KKKT.
Mke wake amelihama kanisa la SILOAM.
Duh dunia ndogo sana. ...baba yangumdogo aliteseka sana na magonjwa. ...kuishi duniani kunahitaji hekima na busara za MWENYE ENZI MUNGU. ..yaani. ..sad hakika!
 
Back
Top Bottom