Utata: Kanisa la Siloam

Utata: Kanisa la Siloam

Isaya 62:4 hutaitwa tena aliyeachwa, wala nchi yako haita itwa tena, ukiwa; bali utaitwa HEFSIBA; na nchi yako BEULA kwa kuwa BWANA anakufurahia, na nchi yako itaolewa
Asante.
 
Ngoja tufunge kwa ajili yenu tuone kama Mungu tunaemwabudu yupo au hayupo alfu mtatoa majibu wenyew haiwezekani mkamkejeli Mungu wetu kiasi hiki kwa kumtukana ivii hapana sasa tupo kazin endeleeni
 
Nabii apitabiri nini kutoka kwake Mungu....kwanza alijiita Adam wa pili....hivi unamjua Adam wa pili....

aliamua kujiita hivyo! nadhani kila mtu na imani yake... na kwa nini nisimjue ADAM WA PILI! RIP Munuo!....hata wewe au mimi tunaweza kuanzisha makanisa yetu na tukajiita tunavyotaka! tumepewa amri kuu moja TUPENDANE.....busara na hekima muhimu sana...barikiwa my friend
 
. sawa Mkuu, Kwa inavyoonekana huyu jamaa wa Kigoma alitaka alete wanayodai mafunuo mapya na kuasi mafunuo ya Munuo kwamba watu wao wanaowaita wathabiti( mean kwamba walio na imani kubwa among them) wamekua wakifa ovyo siku hizi.
- Kinachoonekana mama anataka kuzidiwa kete na jamaa.
- Wana ban ya wiki tatu ili wajirekebishe na inavyoonekana kuwa kama zamani ni ngumu sasa.
- Nimesikia makanisa yao yote yamepigwa stop na wizara ya mambo ya ndani.
- Mimi kwa mawazo yangu naona bora hata wafungiwe maana kuna mambo waliokuwa nayo ya kufanya waonekane watu wa ajab.MF. siku moja nilienda kusali kwao nikasikia wanasifu ajali ya MV islanders ile ya Zanzibar, kwa hio hua kuna wakati wanahubir chuki.
staili ya kubadili majina nayo ni ya ajabu maana ukimuulizia ndugu yako Mara wakuulize yule Hakikazi Mara Elimu, Mara ufunuo, hekima, Fimbo ya MUSA etc.


Mbona juzi niliwaona na mavazi yao meupe huku Arusha? Ban imeisha?
 
tunahitaji makanisa machache tu tu hatuhitaji utitiri wa makanisa kwa ajili ya wachungaji wachache kujitajirisha!
 
Kigendochakungoa gandala biblia NA kutoamini amakukataa maandiko ndan loh
 
aliamua kujiita hivyo! nadhani kila mtu na imani yake... na kwa nini nisimjue ADAM WA PILI! RIP Munuo!....hata wewe au mimi tunaweza kuanzisha makanisa yetu na tukajiita tunavyotaka! tumepewa amri kuu moja TUPENDANE.....busara na hekima muhimu sana...barikiwa my friend

Asante kwa baraka. Lakini ndugu kama ni msomaji mzuri wa biblia utagundua Adam was pili ni Yesu na kwa imani ya kikristo Yesy ni Mungu inamaana Munuo alijiita mungu kwa maana nyingine
 
Hahahhahaha umenichekesha sana asee eti mti wa uzima....amekua yesu sasa...vp na ww ndo ulipewa hilo siku za ajabu nn
Nilitaka niulize hilo swali, nikasita. Maana majina yao sasa, mara kizazi cha Nne cha Eliya, mara Hakikazi, mara mwaka wa mafanikio eliya etc etc
 
Asante kwa baraka. Lakini ndugu kama ni msomaji mzuri wa biblia utagundua Adam was pili ni Yesu na kwa imani ya kikristo Yesy ni Mungu inamaana Munuo alijiita mungu kwa maana nyingine

Kumbuka YESU alivyo shtakiwa na mafarisayo, walimshutumu kuwa anasema yeye ni MUNGU, YESU aliwajibu, 'kumbuka MUNGU alimwambia nini Musa, leo hii nimekufanya Mungu juu ya Farao'.... alafu kwenye agano la kale...'tumfanye mtu kwa mfano wetu'.... kuna sehemu nyingi tu kwenye BIBLIA yenye maelezo kama hayo.
Sasa inategemea huyo mtumishi, nabii, mchungaji, n.k wanasimamia neno lipi.
kwa kweli MWENYE ENZI MUNGU ni mkuu sana ndiyo maana tunalisoma neno, tunasikiliza mahubiri, lakini ROHO MTAKATIFU aliyeko ndani yako ndiye atakayeshika maneno yatakayo endana na kazi yako hapa duniani ili uweze kuwasaidia watu wanao kuzunguka...

samahani, i hope umeelewa, maana kuandika kuna wenyewe...hahaha!

mimi kwenye nafsi yangu sipendi kubeba ushindani wa aina yeyote! nafahamu kuwa YESU NI ADAMU WA PILI...
neno nitakalo kuachia; UTAFUTENI KWANZA UFALME WA MBINGUNI NA HAKI ZAKE NA MENGINE YOTE MTAZIDISHIWA...barikiwa sana my friend
 
Yule mchungaji\mmiliki wa efatha ile kesi yake imeishaje??
 
Imani hii inakwaza pale wanapowazuia wagonjwa kwenda hospitali
 
Hawa jamaa wana imani ya ajabu ukijiunga tu na dhehebu lao wanakupatia majina mapya kuanzia lakwanza mpaka la mwisho na hata mji unaoishi wanaubadili jina mfano DAR inaitwa Siloam kwani wanaamini majina yote ya awali ni ya kishetani pia biblia inaitwa neno na wanaamini pia kuwa muumini wao wa kweli haugui wala hafi na hata Munuo wanaamini hakufa bali alipaa SHIKA NENO TENDA NENO wanapenda kuanza ibada zao saa 10 alfajiri ili kuwahi mibaraka ambayo wanaamini huwa wanapokwa na wale wanaopiga azana saa 11 asubuhi
Kwani hujui kama Biblia inaitwa NENO?
 
Back
Top Bottom