Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,749
- Thread starter
- #81
Amen! Shukranibarikiwa kwa masimulizi haya mazuri sana.@bold
Amen! Shukranibarikiwa kwa masimulizi haya mazuri sana.@bold
Yeap! Kuna mtu ametoa bandiko kutoka kule kwenye group na kuja kuanzisha uzi huku bila ruhusa wala kunitaarifu... Alafu anakuwa mkali anavimba anajifanya ni andishi lakePole mkuu..
Kuna watu wanakopy kazi zako?
Sijaelewa yaani?
Pamoja sana mkuu!The bold iz The Bold,no one like The Bold.Piga Kazi.
Bila shaka mkuu..Ikiendelea naomba unitag mkuu The Bold
Bila shaka mkuu..Mkuu ikiendelea naomba Unitag
Dooh!Yeap! Kuna mtu ametoa bandiko kutoka kule kwenye group na kuja kuanzisha uzi huku bila ruhusa wala kunitaarifu... Alafu anakuwa mkali anavimba anajifanya ni andishi lake
Hahahah.!! Si uungwana mkuu..Mkuu kwa mimi mpenda kitonga naruhusiwa kukopy na kwenda kupastia mahali halafu uwe ni uzi wangu?🙂🙂🙂
Bila shaka mkuu... Nitamgusia utata wa yule mamaMkuu kwenye muendelezo naomba usiache kumdadavua Babushka lady
Shukrani mkuu! Ndio changamoto zenyewe hizi..Pole sana mkuu.. Inasikitisha kuona kuna mifano ya binadamu haijui na haidhamini vipawa vya wenzao
Hahaha!! Pamoja sana mkuu..The bold namimi naomba uwe unanitag simulizi zakoo zoooteee.kwakweli ww ni kichwa mtu akianza kusoma makala yako akaishia katikati basi anamatatizo upstairs
Nisamehe bure mkuu! Nimekuongeza kwenye taglist tayari..Mm nishaomba uwe unanitagi ila sijawahi pata bahati kama hiyo ila sikulaumu uko na watu wengi nitaitafuta mwenyewe hii story
Pamoja sana mkuu Mussolin5Stori ya mauaji ya JFK inasisimua hapohapo huwa inatia simanzi na huzuni hasa ukizingatia jinsi watu wa familia yake walivyokufa kiajabu ajabu na kuacha maswali mengi kuliko majibu.
Kuuwawa kwa JFK kisha baadae Robert F. Kennedy ( RFK ) ni ishara tosha ya faulo kuchezeka tena kwa makusudi.
Naifatilia makala mkuu kwa makini, ili niongeze ujuzi zaidi, asante kwa kunitag.
Ubarikiwe.
Pamoja sana mkuu! ShukraniAsante kwa kitu kizuri ulichokifanya
Hahahah!! Sijui niitikiejesubscribed. Thanks, The Bold!!! Shikamoo!!!

Gharama ya kuwa member wa group ni shilingi elfu tano - 0718 096 811Cc the bold kama una group naomba unipe utaratibu nije kukupa support hata kwa kulipia utajie gharama
Amen! ShukraniHongera sana kaka mkuu The Bold ubarikiwe sana
Pamoja sana mkuu kalendiNa ibarikiwe kazi ya mikono yako!