Utata Juu ya Kifo Cha Rais JF Kennedy

Utata Juu ya Kifo Cha Rais JF Kennedy

Wamarekani Pamoja na Mapungufu Yao ya Kiulinzi mpaka kusababisha Kifo cha Rais wao lakin wako Makini sana!

Nime wazi ndani ya dakika 30 Tangu Rais wao kapigwa Risasi wanautangazia Ulimwengu kuwa Rais is no more na ndani ya dakika 30 Tangu watangaze Kifo wanamuapisha Rais Mteule!

Kifo cha Rais Mstaafu tu Julius Nyerere tulipigwa danadana na Maandalizi ya Kisaikolojia wiki kadhaa Mara sijui Mwalimu hatoamka Tena Mara sijui nini daah!

Nimejaribu kuwaza Hali aliyokuwa nayo Mrs Keneddy kuanzia kupigwa Risasi Mumewe ndani ya saa Moja baadae akiwa kwny Ndege anashuhudia pia anavuliwa u First Lady! Nadhani ndio ilikuwa saa ngumu zaid kwa Huyu Mama kwny Maisha yake Duniani!

Hahahaaaaa mkuu umenichekesha sana hapo mwanzo kuhusiana na jinsi US walivyohandle kifo cha JFK vs sisi na Nyerere,yani nimecheka hadi machozi!

Ila mwisho nilisikitika sana. Kiukweli...makala hii nimeguswa sana na sehemu zinazomhusu first lady,na ndio maana nimeiangalia video (sekunde 30 za kifo cha JFK) mara nyingi sana.
Kwakweli kama mwanamke uchungu alioupata hauelezeki [emoji24].
 
Ila mkuu kipande umesahau kukitolea ufafanuzi, kile special Agent Winston G. Lawson na Agent Forrest V. Sorrels jambo waliloliona wakati walipoendesha gari kupitia ruti Iliyokuwa imependekezwa itumike kutoka uwanja wa ndege wa Dallas love Field mpaka Trade mart
 
Naona watu wanasifia tu, mimi natauliza maaudhui ya hili bandiko na kwa nini wakati huu na wala si mwingine?

Na washawasha!
 
Back
Top Bottom