Isaya Elias
Member
- Jun 25, 2016
- 5
- 6
Nakubl Xan Kaz Unayoifany The Bold,
NAMNA KENNEDY ALIVYODUNGULIWA KWA RISASI
Mkuu shemela,kwa maneno haya hakiyanani hata wafanye nini the bold atabakia kuwakimbiza tu.wewe mtie tu hasira the bold uone atavyo jitumaNashukuru kwa kuzingatia ushauri wangu na umepost wewe kama wewe.
Muhimu ni kwamba kipaji unacho,hata wakicopy hawawezi kucopy kipaji chako.
Ninachoweza kukuambia piga kazi baba,bila kujali wanasema nini.
Hongera kwa makala nzuri kichwa.
.Kaka kuna mtu anakutumia huku, tena anakutumia vibaya,
Eeh..mkuu pole sana kwa hili jambo la watu ku copy nakala zako.
pia hongera kwa kipaji cha kuandika simulizi nzuri ambazo hazichoshi kusoma. mie ni mvivu wa kusoma simulizi ndefu, ila nimejikuta nikiisoma yote hii.
lastly, naomba uni tag mkuu kwenye simulizi zako za mbeleni.
Pole mkuu..Shukrani mkuu.. Tuko pamoja sana