kichakaa man
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 5,497
- 5,186
Cc the bold kama una group naomba unipe utaratibu nije kukupa support hata kwa kulipia utajie gharama
Ni kuchangia kiasi kidogo tu. Ngoja aje akupe utaratibu.Cc the bold kama una group naomba unipe utaratibu nije kukupa support hata kwa kulipia utajie gharama
Pamoja sana mkuu..Nakubl Xan Kaz Unayoifany The Bold,
jamiiforums.comNataft Wovot The Bold Yak Inaitwaje?
Bila shaka mkuu... Shukraniyes! huyu ndo the bold ninaye mjua. hana papara katika nyuzi zake. mkuu sana the bold naomba uni tag kila utakapo update uzi wako wowote
Pamoja sana mkuu Toyota escudoKwa mara nyingine tena nakuona katika ubora wako Mkuu!
Akhsante kwa hisani hii unayoendelea kutufanyia sisi wafuasi wako!
Nina deni la kusoma uzi wa Gaddafi, ngoja nianzie hapa kwanza
Bila shaka mkuu...Ikiendelea nomba unitag nisikose
Sawa mkuu..Ikiendelea naomba unitag mkuu The Bold
Soon mkuu tunaendeleaMkuu hii Makalo inaendelea lini tena?
Pamoja sana mkuu..Pole sana mkuu kwa yaliyokukuta! Kiukweli hata mimi kabla ya kusoma huu uzi nilianza kuona ule uzi feki, nikashangaa sana story inaanzia katikati na kuishia katikati!
Huyo bwana anasononesha sana ila hongera kwa kumpuuza na kuamua kutupa burudani kama ulivyokusudia tangu awali!
Mungu azidi kukaa upande wako
AMEN.!!Hakika Mungu....amegawia watu vipawa ....tufauti tofauti.....hapana shaka una kipaji cha uandishi mzuri......hakika utukufu wa Mungu ...unaonekana kupitia watu wake....barikiwa sana..mkuu
Shukrani sana chief jay-millionsWee jamaa unajua sana upo vizuri kwenye hii fani
Pamoja sana comrade Steve..Pole sana Bold. It's among life challenges.
☆Steve
Shukrani mkuuKazi nzuri sana salute
ShukraniAsante sana