Utata gharama za utengenezwaji uwanja mpya wa mpira Arusha

Feb 18, 2017
63
62
Kumekuwa na utata juu ya gharama za ujenzi wa uwanja mpya wa mpira jijini arusha, wananchi wamehoji sana na kuonekana kutokukubalina na gharama na hasa wakilinganisha na gharama za Uwanja wa Benjamin Mkapa uliojengwa kipindi cha nyuma 2007 ukiwa na uwezo wa kubeba watu 60,000 kwa gharama ya 64 bilion na hatimaye huu wa sasa utakaobeba mashabiki 30,000 kwa gharama 286 bilion.

Utata huu wote kwa mtazamo unatokana na serekali kutokutoa ufafanuzi wa namna walivyopata gharama hiyo. Ni wazi kwamba serekali inaona hoja na namna ambavyo watu hawajaridhishwa na gharama hiyo kubwa hivyo wanachopaswa kufanya ni kujibu hoja hiyo kwa kutoa ufafanuzi hiyo gharama kubwa kiasi hicho imesababishwa na vitu gani hasa.

Hili jambo halitakuwa sawa endapo serekali haitatoa ufafanuzi na mwisho wa siku utakuwa ni mradi ambao mapokeo yake itakuwa sio kwa kupenda kwa watu bali mapenzi ya serekali yatimizwe..
 
Wabongo tuache ujuaji mwingi. Uwanja uliojengwa 2007 hauwezi kuwa na gharama sawa kwa mwaka 2024. Hiyo pesa siyo nyingi kama watu wanavyochukulia ukizingatia project inayoenda kufanyika.

Pia, lazima uwanja huu utakuwa wa kisasa zaidi kuendana na Teknolojia mpya zinazotumika kwenye viwanja vya michezo.
Hakuna mjuaji, hatujui ndio maana tunahitaji wanaojua watueleweshe,nimeweka hoja lengo kuu ikiwa ni ufafanuzi ila wale wengi wasiojua wajue ili kupunguza utata
 
2007 dollar moja = 1200 shilling
Today dollar moja = 2600 shilling

Pia mambo mengi yamebadilika kwenye gharama za ujenzi na malipo ya wafanyakazi.
Muhimu kanuni za zabuni zimefuatwa kikamilifu
Ufafanuzi mdogo kama huu unatosha kabisa kuondoa utata.kwanini serekali isiwajibike kwa udogo huu kutoa ufafanuzi.?
2007 dollar moja = 1200 shilling
Today dollar moja = 2600 shilling

Pia mambo mengi yamebadilika kwenye gharama za ujenzi na malipo ya wafanyakazi.
Muhimu kanuni za zabuni zimefuatwa kikami
 
Kumekuwa na utata juu ya gharama za ujenzi wa uwanja mpya wa mpira jijini arusha, wananchi wamehoji sana na kuonekana kutokukubalina na gharama na hasa wakilinganisha na gharama za Uwanja wa Benjamin Mkapa uliojengwa kipindi cha nyuma 2007 ukiwa na uwezo wa kubeba watu 60,000 kwa gharama ya 64 bilion na hatimaye huu wa sasa utakaobeba mashabiki 30,000 kwa gharama 286 bilion.

Utata huu wote kwa mtazamo unatokana na serekali kutokutoa ufafanuzi wa namna walivyopata gharama hiyo. Ni wazi kwamba serekali inaona hoja na namna ambavyo watu hawajaridhishwa na gharama hiyo kubwa hivyo wanachopaswa kufanya ni kujibu hoja hiyo kwa kutoa ufafanuzi hiyo gharama kubwa kiasi hicho imesababishwa na vitu gani hasa.

Hili jambo halitakuwa sawa endapo serekali haitatoa ufafanuzi na mwisho wa siku utakuwa ni mradi ambao mapokeo yake itakuwa sio kwa kupenda kwa watu bali mapenzi ya serekali yatimizwe..
mkuu,Utata au wewe kutokuwa na ufahamu wa mambo ya uchumi....?

Kwenye mda wa free,uwe unajifunza vitu nje ya tasnia yako,soma vitabu,maandiko na tazama videos...
 
mkuu,Utata au wewe kutokuwa na ufahamu wa mambo ya uchumi....?

Kwenye mda wa free,uwe unajifunza vitu nje ya tasnia yako,soma vitabu,maandiko na tazama videos...
Kosoma vitabu na kuelewa mambo ya uchumi sio jambo rahisi na wala si kila mtanzania ana nafasi hiyo unayopata wewe, haya ni mawazo ya ubinafsi kwa kuona ni kama watu wote tunalingana uwezo,utashi na maarifa..kutoa ufafanuzi kwenye mambo yanayoleta utata serekali inaoaswa kuwajibika, wao ndio watekelezaji na hawa wananchi ndio waathirika wa matokeo iwe ni hasi ama chanya.
 
Kosoma vitabu na kuelewa mambo ya uchumi sio jambo rahisi na wala si kila mtanzania ana nafasi hiyo unayopata wewe, haya ni mawazo ya ubinafsi kwa kuona ni kama watu wote tunalingana uwezo,utashi na maarifa..kutoa ufafanuzi kwenye mambo yanayoleta utata serekali inaoaswa kuwajibika, wao ndio watekelezaji na hawa wananchi ndio waathirika wa matokeo iwe ni hasi ama chanya.
Kwanza hakuna anayekosa muda wa kujifunza,ila ni suala la Priority tu.
-watu kutumia muda mwingi kwenye usimba na uyanga
-Facebook na Instagram

Pili,nimeorodhesha njia nyingi za kujifunza,ili mtu achague moja yenye kumrahisishia kuelewa;Vitabu,maandiko mtandaoni,youtube/videos na podcasts

Kwenye hilo suala la uwanja, hakuna utata wowote...
 
Ufafanuzi mdogo kama huu unatosha kabisa kuondoa utata.kwanini serekali isiwajibike kwa udogo huu kutoa ufafanuzi.?
Serikali imesha wajibika kwa
-kuwapeleka wananchi shule kujifunza mambo kama haya.
-Kuruhusu mitandao tofauti tofauti yenye matilio za vitu muhimu
e.g websites

Kwenye maisha siyo kila kitu utaletewa.
 
Serikali imesha wajibika kwa
-kuwapeleka wananchi shule kujifunza mambo kama haya.
-Kuruhusu mitandao tofauti tofauti yenye matilio za vitu muhimu
e.g websites

Kwenye maisha siyo kila kitu utaletewa.
Huwezi elewa kila kitu ila una nafasi na haki ya kueleweshwa na kujifunza kila kitu. Kuhusu elimu unajua ni asilimia ngapi ya watanzania wanapata hiyo elimu au unaongelea kwa utashi wa akili yako na sio takwimu inasemaje?
Ni watanzania wangapi wanauelewa kuhusu hayo masuala ya mitandao?
 
Kama ni hivyo, hilo ni tatizo. Wananchi kupewa ufafanuzi wa jambo linalowahusu ni haki yao.
Watu wakipata ufafanuzi wakaridhika sio dhambi na itapunguza utata kwenye masuala mbali mbali.kuona wananchi wako kwenye mtazamo na fikra tofauti na unamajibu ukaacha kuwapa kuondoa utata inaleta ukakasi sana
 
Kwanza hakuna anayekosa muda wa kujifunza,ila ni suala la Priority tu.
-watu kutumia muda mwingi kwenye usimba na uyanga
-Facebook na Instagram

Pili,nimeorodhesha njia nyingi za kujifunza,ili mtu achague moja yenye kumrahisishia kuelewa;Vitabu,maandiko mtandaoni,youtube/videos na podcasts

Kwenye hilo suala la uwanja, hakuna utata wowote...
Upeo wako ndugu mbona upo kwenye scope ndogo sana? Ni kama macho yako yanaona moja kwa moja pale ulipo tu na jamii inayokuzunguka. Swala limekuwa mada kila sehemu halafu unasema hakuna utata.mawazo ya ubinafsi kabisa kwa kudhani kila mtu anaona sahihi kama wewe unavyoona.ni sawa na mtu aliyeshiba sana kuona mtu anayeenda kula ni kama mjinga
 
Back
Top Bottom