figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,890
Naomba kufundishwa jinsi ya kuandika barua ya posa.
Je ni vitu gani muhimu vya kuzingatia?
Ni mfumo gani wa barua ya kuandika, ya urafiki au kikazi? Je waweza tuma email kama barua ya posa au sharti ipelekwe kwa mkono? Je hela lazima iwekwe kwenye bahasha? hauwezi kutuma cheque, au kwa njia ya western union, bank au m-pesa?.
Mwenye uwelewa wa haya mambo naomba anisaidie kunielewesha. Ni hayo tu. mia
Je ni vitu gani muhimu vya kuzingatia?
Ni mfumo gani wa barua ya kuandika, ya urafiki au kikazi? Je waweza tuma email kama barua ya posa au sharti ipelekwe kwa mkono? Je hela lazima iwekwe kwenye bahasha? hauwezi kutuma cheque, au kwa njia ya western union, bank au m-pesa?.
Mwenye uwelewa wa haya mambo naomba anisaidie kunielewesha. Ni hayo tu. mia