Tumetofautiana sana Mimi siwezi Hong a ili nipendelewe hata Mara moja kama mtu anawishi kunisaidia afanye hivyo sio mpaka nimpe kitu.
Siwezi kuwa na furaha wakati kazi yenyewe nimepata kwa kuhonga nitasimamaje madhabahuni kwa BWANA kushuhudia kwamba ombi langu limejibiwa hakika sitakuwa na furaha siku zote.
ONyO:
Kupata kazi kwa kuhonga ulinzi Wa Mungu auambatani nawe katika kazi yako pia aliyekusaidia anakuwa muungu wako akikuomba hela usipompa ataanza ana kiburi bila Mimi asingekuwa pale na kama ni Mdada akikuta ulale nae kuchomoa ni zero percent shida zote za nini my living God is everything nitasema kwa imani
BWANA unihurumie nae atajibu.
Siwezi kuwa na furaha wakati kazi yenyewe nimepata kwa kuhonga nitasimamaje madhabahuni kwa BWANA kushuhudia kwamba ombi langu limejibiwa hakika sitakuwa na furaha siku zote.
ONyO:
Kupata kazi kwa kuhonga ulinzi Wa Mungu auambatani nawe katika kazi yako pia aliyekusaidia anakuwa muungu wako akikuomba hela usipompa ataanza ana kiburi bila Mimi asingekuwa pale na kama ni Mdada akikuta ulale nae kuchomoa ni zero percent shida zote za nini my living God is everything nitasema kwa imani
BWANA unihurumie nae atajibu.