Hudhaifiy
JF-Expert Member
- Nov 4, 2013
- 336
- 144
Plz take a time to read it, ni information muhim sana..!!
Habari wana jf! Naomb niwataarifu kua kuna UTAPELI upo na unaendelea so uwe makini sana.! Utapeli huo n sms feki za direct either tigo, airtel or mpesa. INAKUA HIVI, mtu unamuuzia kitu mf. simu au pc den anakuulza unatumia mtandao upi kwa pesa may be utasema tigo pesa so yy atakutel anatumia mtandao tofaut na huo mf. Airtelmoney ili mrad akikutumia pesa iwe direct message, den unatumia hyo sms kutolea pesa..!! Sasa utapeli uko hapo, kuna sms nyngne mtu anakutumia na inaonekana imetoka kwny huo mtandao mf. Airtelmoney aliokutumia kumbe n feki den ukiend kutoa kwa wakala inagoma, so unakua umetapeliwa.!
Mm kuna jamaa alkua anataka kufany hvy ila nikashtuka nikamtel sikupi laptop mpka twende kwa wakala, akawa mkali sana na matusi juu, bt kufika kwa wakala kumbe n sms feki, nikamtel sikuuzii pc coz hua sipend shari na mtu.!
So ushaur wang ewe ndugu yang, kama mtu humjui or humuamini bora akatoe pesa den akuletee cash laa sivyo utaingizwa mjini..!! Mtel na mwenzako awe makini.! Thanks
cc. moderator naomb uiweke hii post juu ili watu wote wa jf waione wanapoingia..!!
Thanks
Habari wana jf! Naomb niwataarifu kua kuna UTAPELI upo na unaendelea so uwe makini sana.! Utapeli huo n sms feki za direct either tigo, airtel or mpesa. INAKUA HIVI, mtu unamuuzia kitu mf. simu au pc den anakuulza unatumia mtandao upi kwa pesa may be utasema tigo pesa so yy atakutel anatumia mtandao tofaut na huo mf. Airtelmoney ili mrad akikutumia pesa iwe direct message, den unatumia hyo sms kutolea pesa..!! Sasa utapeli uko hapo, kuna sms nyngne mtu anakutumia na inaonekana imetoka kwny huo mtandao mf. Airtelmoney aliokutumia kumbe n feki den ukiend kutoa kwa wakala inagoma, so unakua umetapeliwa.!
Mm kuna jamaa alkua anataka kufany hvy ila nikashtuka nikamtel sikupi laptop mpka twende kwa wakala, akawa mkali sana na matusi juu, bt kufika kwa wakala kumbe n sms feki, nikamtel sikuuzii pc coz hua sipend shari na mtu.!
So ushaur wang ewe ndugu yang, kama mtu humjui or humuamini bora akatoe pesa den akuletee cash laa sivyo utaingizwa mjini..!! Mtel na mwenzako awe makini.! Thanks
cc. moderator naomb uiweke hii post juu ili watu wote wa jf waione wanapoingia..!!
Thanks