Castle_Lite
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 3,530
- 6,917
Mbona iko wazi.
Ukiona mtu anawafuata hao wafanyakaz wa paripesa ujue ni mgeni kwenye betting.
Kampun yenyewe haijasajiliwa TZ. Ni ya Nigeria. Ndio maana hawakat kodi .wanaogopa kushtakiwa.
Themes yake pia ni copy and paste na 1xbet
Zile stake kwao ni demo akaunt. Sio real deposit Money na hazitoki. Zinazungushiwa pale pale kwa akaunt ndio mana anakuonyesha stake tu na sio salio halisi.
Ila betting ni biashara ngumu. Achaneni nayo
Ukiona mtu anawafuata hao wafanyakaz wa paripesa ujue ni mgeni kwenye betting.
Kampun yenyewe haijasajiliwa TZ. Ni ya Nigeria. Ndio maana hawakat kodi .wanaogopa kushtakiwa.
Themes yake pia ni copy and paste na 1xbet
Zile stake kwao ni demo akaunt. Sio real deposit Money na hazitoki. Zinazungushiwa pale pale kwa akaunt ndio mana anakuonyesha stake tu na sio salio halisi.
Ila betting ni biashara ngumu. Achaneni nayo