Utapeli Katika Betting Unafanyika Hivi

Utapeli Katika Betting Unafanyika Hivi

Affiliate program, ndiomaana anatupia link ya pripesa anakupa na promo code yake. Yani anakula kote kote. Kama atafanikiwa kuunga wakamaria 500 ukajisajiri paripesa kupitia link yake basi kwa wiki anauhakika wa kukunja pesa ndefu kama kamishen, yani ukibet yeye anapasent yake tayari. Hiyo kitu miaka hiyo niliwahi kifanya kupitia 1xbet, niliunganisha watu zaidi ya 50 kwa wiki nilikuwa sikosi laki kama kamisheni. Cha kushangaza sikuwahi kuwithdraw hata thumni zote ziliishia huko huko kwenye kubeti. nb: kamari ni ushetani
Mimi niliwahi kushinda Hadi laki nne but nikaingia tamaa ya kutokuwitdraw nika stake hiyo laki nne nzima ikaenda😃
 
Screenshot_20250604-003655_WhatsApp.jpg
Screenshot_20250604-003637_WhatsApp.jpg
Screenshot_20250604-003625_WhatsApp.jpg
 
Kitendo cha kufuata mkeka na ukabetia paripesa kama yeye alivyobet, bas hela inaingia kwenye kampuni yao . Maana ungeweza kubetia kampun nyingine.

Kwahiyo wao wanafanya marketing ununue huduma kwao ..
umesema vizuri, hiyo ni marketing strategy, na inafanyika hata kwa makumpuni makubwa ya bidhaa na huduma, influencers anaShare promocode yake watu wanunue bidhaa au huduma kwa bei ya chini.
 
. Utapeli kwasababu Wadau wakiona Sativa kaweka 500k kwa odds 2. Bas wanaamini jamaa anauhakika na betslip yale kwahiyo wanaifuata bet bika kujua kuwa ile 500k sio real.
Bet ikichana anaumia yule aliyeifuata na Sativa haimgusi
Sasa hapo ametapeliwa vipi, wakati option anazo na kaamua kufuta mwingine. Kugelezea majibu ni utapeli, au ujinga na uvivu wa anayegelezea.
 
Acha kupotosha ukweli upo ivo Hawa kina sativa unadhan wanalipwa na kampuni kizembe na huku wawe wanakula Kila cku na kugawa mikeka kwa watu kibao si kampuni itafirisika.
Nilishawah jaribu kwa huyo sativa kufanya utafit wangu nilitenga teni tu kupima upepo upoje .
Na ni free hawakuuzii Zaidi unalazimisha kutumia code yake.
Nikatembea na mwendo wa buku buku nione kwenye mikeka kumi miwili tu ndio ilitik na nane Ili lost ,hapo ndipo nikajapata uhalisia wa Hawa watu .
mkuu hapa umeandika upuuzi tu.. zaidi umetumia tu hisia na akili zako fupi..betting ya mpira iko wazi kila mtu anajionea mechi ikichezwa uwanjani..na kuhusu hao uliowataja wao wamechagua timu wanazoziamini zitawapa matokeo ya ushindi mfano berkane win,pyramid win,PSG over 1.5 goals kisha akastake million 1..hapo kama ww ukafatiza alivyobet yeye na mkakosa utasemaje eti amefanya utapeli je,hizo timu hazipo,je,hizo timu hazikucheza uwanjani.? kuhjsu stake kila mtu ana urefu wa kamba yake na zaidi unene wa mfuko wako kuna wanaoweza kustake million,laki,elfu 10 au mia tano..katika betting ambazo hazina utapeli ni football hivyo mtoa mada acha uzandiki hayo sijui code , promo code na stake 700k hayo ni hiyari yako tu kuyafuata wala ulazimishwi..ww kama yamekushinda katafute kazi nyingine ufanye na sio kusingia eti football inakutapeli ni fix zenu za kushindwa.
Potpp
 
Acha kupotosha ukweli upo ivo Hawa kina sativa unadhan wanalipwa na kampuni kizembe na huku wawe wanakula Kila cku na kugawa mikeka kwa watu kibao si kampuni itafirisika.
Nilishawah jaribu kwa huyo sativa kufanya utafit wangu nilitenga teni tu kupima upepo upoje .
Na ni free hawakuuzii Zaidi unalazimisha kutumia code yake.
Nikatembea na mwendo wa buku buku nione kwenye mikeka kumi miwili tu ndio ilitik na nane Ili lost ,hapo ndipo nikajapata uhalisia wa Hawa watu .
mkuu hapa umeandika upuuzi tu.. zaidi umetumia tu hisia na akili zako fupi..betting ya mpira iko wazi kila mtu anajionea mechi ikichezwa uwanjani..na kuhusu hao uliowataja wao wamechagua timu wanazoziamini zitawapa matokeo ya ushindi mfano berkane win,pyramid win,PSG over 1.5 goals kisha akastake million 1..hapo kama ww ukafatiza alivyobet yeye na mkakosa utasemaje eti amefanya utapeli je,hizo timu hazipo,je,hizo timu hazikucheza uwanjani.? kuhjsu stake kila mtu ana urefu wa kamba yake na zaidi unene wa mfuko wako kuna wanaoweza kustake million,laki,elfu 10 au mia tano..katika betting ambazo hazina utapeli ni football hivyo mtoa mada acha uzandiki hayo sijui code , promo code na stake 700k hayo ni hiyari yako tu kuyafuata wala ulazimishwi..ww kama yamekushinda katafute kazi nyingine ufanye na sio kusingia eti football inakutapeli ni fix zenu za kushindwa.
Potpp
 
Acha kupotosha ukweli upo ivo Hawa kina sativa unadhan wanalipwa na kampuni kizembe na huku wawe wanakula Kila cku na kugawa mikeka kwa watu kibao si kampuni itafirisika.
Nilishawah jaribu kwa huyo sativa kufanya utafit wangu nilitenga teni tu kupima upepo upoje .
Na ni free hawakuuzii Zaidi unalazimisha kutumia code yake.
Nikatembea na mwendo wa buku buku nione kwenye mikeka kumi miwili tu ndio ilitik na nane Ili lost ,hapo ndipo nikajapata uhalisia wa Hawa watu .

Potpp
Wewe ni kama mimi 😅
Nilifanya hivyo hivyo
 
Kwani sativa ndo Halaand kwamba afunge magoli?! Hakuna utapeli kwenye betting ya sports especially football na basketball….mechi unaziona kabisa na watu wanagombea ubingwa daily! Omba mungu uwe na bahati na akili njema.
 
Kwani sativa ndo Halaand kwamba afunge magoli?! Hakuna utapeli kwenye betting ya sports especially football na basketball….mechi unaziona kabisa na watu wanagombea ubingwa daily! Omba mungu uwe na bahati na akili njema.
hata mimi nawashangaa eti wanalia na code yaani wanataka washinde kwa kutumia akili za mtu mwingine ambae nae anabahatisha kama wao..wamekalia majungu tu hawajui hata kujiongeza kwa kuhariri hizo code ambazo hawa wao pia wanaweza kutengeneza code zao na sisi tukazifata na kama bahati ya siku hio haipo kwao basi tuliofata hizo code wote tunalost..mfano sativa kwenye uchambuzi wake alijiridhisha Simba vs azam watatoa magoli 3 hivyo kabet over 2.5 FT na akashare code bahati mbaya mechi ikaisha 1-1 so akalost..ila hawa wajinga watadai kwa kuifuata ile code eti wametapeliwa wakati mechi ilikuwa live uwanjani pia walikuwa na haki ya kuongeza au kupunguza au kubadilisha machaguo ya mtoa code..alafu wanavichwa vigumu mno na mbaya zaidi wakiwafata code za wasio na bahati wasio na upepo wala nyota yaani waliowapa code nao wanabahatisha tu..mkuu hao jamaa achana nao tu maana kuwaelewesha kuwa hizo code wanazokopi waongeze na akili zao kwani wanaweza kuongeza au kupunguza pia ni hiyari kuzifata..vilio vyao eti wanatapeliwa mara sijui Code feki kivipi kwa mechi iliyo live uwanjani na umebet kwa hela yako wala hujamtumia mtu pesa akubetie.! achana nao mm nawaona kama machizi tu
 
Back
Top Bottom