ARCHBISHOP
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 271
- 484
Jambo hili naliona kama wanaoanzisha wanawajua Wateja wao. Huwezi kugundua kama ni upuuzi mpaka upigwe,
Nakumbuka kuna rafiki yangu alinifuata na biashara ya forever living mwaka 2011 nikakataa kwani niligundua ni biashara ya uchuuzi, huwezi kutajirika kama wanavyodhani, aliwapata marafiki zangu kama kumi, since then yeye sijui kafikia cheo cha director sijui manager vitugani but maisha yake na hao aliowaingiza kwa kupima vipato vyao kwa mwezi ukivijumlisha ndo mshahara nnaopata.
Mwaka 2013 akaja Mwingine na biashara ya Syntek, akidai unaweka kwenye tank la mafuta ya Gari afu consumption ya mafuta inakuwa ndogo, niliwaza kwa makini nikagundua ni upuuzi pia, kwani watengenezaji wa magari wanavyoshindana hii wangeitumia kama competitive edge kama ina maana, jamaa mpaka Leo yuko vilevile anaishi kwa kuota utajiri.
Nakumbuka kuna rafiki yangu alinifuata na biashara ya forever living mwaka 2011 nikakataa kwani niligundua ni biashara ya uchuuzi, huwezi kutajirika kama wanavyodhani, aliwapata marafiki zangu kama kumi, since then yeye sijui kafikia cheo cha director sijui manager vitugani but maisha yake na hao aliowaingiza kwa kupima vipato vyao kwa mwezi ukivijumlisha ndo mshahara nnaopata.
Mwaka 2013 akaja Mwingine na biashara ya Syntek, akidai unaweka kwenye tank la mafuta ya Gari afu consumption ya mafuta inakuwa ndogo, niliwaza kwa makini nikagundua ni upuuzi pia, kwani watengenezaji wa magari wanavyoshindana hii wangeitumia kama competitive edge kama ina maana, jamaa mpaka Leo yuko vilevile anaishi kwa kuota utajiri.