Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,646
Yaani ata simple power point imemshindaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nimevumilia weee lakini nimeshindwa. Sasa inabidi niseme nitoe dukuduku langu. Sisi miafrika tuko mijitu ya ajabu sana. Kamwe hatuwezi kuendelea. Kuliangalia lichakachuaji in charge (lewis makame) likisoma matokeo ya uchaguzi kwenye kikaratasi ni sawa na kuangalia rangi iliyopakwa ukutani kukauka i.e.boooring. Hivi kweli hatuwezi kuwekeza kwenye mfumo na utaratibu ulio bora na wenye ufanisi ktk kutangaza matokeo ya uchaguzi? Yaani hata hilo litushinde? Marekani jana walikuwa na congressional elections lakini tayari kitu na boksi. Brasil tayari wana raisi mteule. Sisi bado tunasoma matokeo kwenye vijikaratasi. Smdh
......Hata mie nashangaa sijui ndio umasikini wa technology za kisasa za kuhesabia kura au ndio wanafanya uchakachuaji......tokea jumapili hadi leo matokeo ya urais bado na wakati USA wamefanya uchaguzi jana na matokeo jana hiyo hiyo yametoka.....Brazil nako matokeo zamani yametoka....yaani hii nchi inabore sana tuna safari ndefu ya kwenda.
hivyo vizee (makame na kilavu) vya nec sura zao 'zinakula sahani moja' na ya robert mugabe. ninaposikia sauti zao huwa sipendi hata kuona sura zao. Sijui waliokotwa wapi?
HIVI wana JF SNIPER ile bunduki yenye kulenga toka umbali mrefu inauzwa bei gani???? naona lazima tufundishane adabu
:rip::A S angry::A S angry:Analog ndiyo njia pekee atumiayo jambazi kuingia ndani ya nyumba yenye mfumo wa digital.
NYANI NGABU. fahamu kwamba nyani will always be nyani hata umuunge kwa kitunguu na nazi.
hawa wangese wanahitaji kushikishwa adabu.
I HATE JK big time
Analog ndiyo njia pekee atumiayo jambazi kuingia ndani ya nyumba yenye mfumo wa digital.
NYANI NGABU. fahamu kwamba nyani will always be nyani hata umuunge kwa kitunguu na nazi.
hawa wangese wanahitaji kushikishwa adabu.
I HATE JK big time