Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,001
- 112,646
Nimevumilia weee lakini nimeshindwa. Sasa inabidi niseme nitoe dukuduku langu. Sisi miafrika tuko mijitu ya ajabu sana. Kamwe hatuwezi kuendelea. Kuliangalia lichakachuaji in charge (lewis makame) likisoma matokeo ya uchaguzi kwenye kikaratasi ni sawa na kuangalia rangi iliyopakwa ukutani kukauka i.e.boooring. Hivi kweli hatuwezi kuwekeza kwenye mfumo na utaratibu ulio bora na wenye ufanisi ktk kutangaza matokeo ya uchaguzi? Yaani hata hilo litushinde? Marekani jana walikuwa na congressional elections lakini tayari kitu na boksi. Brasil tayari wana raisi mteule. Sisi bado tunasoma matokeo kwenye vijikaratasi. Smdh