[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]why jamani hahhaahahhhaKisa cha kufa huku nimesimama ninini?
kwann mkuu
Unaifahamu patasi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]why jamani hahhaahahhha
N kile kifaa kinatumika Na fundi seremala au??Unaifahamu patasi?
Duuu hili ndo hapendi kulisikia.....Majukumu na uzee vinambana.. Umri umeenda
Teh Teh akanana lara 1 yupo ana jiandaa na ndoa.......Lara1 is one of popular members wa JF hususani jukwaa hili la MMU lakini kwa muda mrefu hatujaweza kumuona hapa jukwaani, kuanzia uchangiaji wa mada mpaka kupost mada zake nzuri na za kusisimua.
Naiomba serikali iseme yupo wapi Lara 1?
Unamaanisha halotel hawana network huko mgombani kwao.mtoto wa kichagga kashaenda ''kuhesabiwa''..............😎
Nzurii tuNipo mdogo wangu. Za mwanza
STRICTLY ''IBADA''Unamaanisha halotel hawana network huko mgombani kwao.