Globu
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 8,571
- 2,068
Nini hasa maana ya utamu? Kama ni ladha yenye sukari, mbona kuna wakati hata vya chumvi vitamu? Kama utamu huwa kwenye chakula, mbona kuna wakati hata visivyoliwa vitamu? Kama utamu ni faraghani, mbona kuna wakati hata kwenye fujo huwa patamu? Hivi utamu ni nini? Nisaidieni Wakuu.