Habari ! Kama kichwa cha habari kinavojieleza hapo!
Nimejarib kujifanyia monitoring pale inapotokea nimekunywa chai nikitest mkojo wangu kwa kulamba naisikia kabisa sukari kwenye mkojo au ikitokea nimekunywa soda lazima mkojo wote uwe wa utamu tamu!
Lakini nisipokunywa soda wala kitu chenye asili ya sukari hakuna shida mkojo una taste chumvi chumvi hivi
Sasa nimejiuliza ndio nimeshapata kisukari ama laah!
Nimepaniki sana hapa !
Nina imani huku kuna madaktari wa hayo masuala watakuja na majibu au ushauri mzuri
Nimejarib kujifanyia monitoring pale inapotokea nimekunywa chai nikitest mkojo wangu kwa kulamba naisikia kabisa sukari kwenye mkojo au ikitokea nimekunywa soda lazima mkojo wote uwe wa utamu tamu!
Lakini nisipokunywa soda wala kitu chenye asili ya sukari hakuna shida mkojo una taste chumvi chumvi hivi
Sasa nimejiuliza ndio nimeshapata kisukari ama laah!
Nimepaniki sana hapa !
Nina imani huku kuna madaktari wa hayo masuala watakuja na majibu au ushauri mzuri