Utamu.

Well. . . mi nadhani ni ile hali ya kitu kunoga/kufurahisha nafsi ya mtu.Iwe kwa chumvi, sukari au limao au hata nje ya vitu tunavyoonja kwa mdomo, kikinoga mtu anaweza kusema ni kitamu.
Hapo ninakubaliana na wewe. Nimeangalia kwenye makamusi maana yake zinalingana na haya uliyosema.

*Utamu: hali ya kunoga kwa kitu, mambo au hali. (Raha - hii ni nyongeza yangu).
*Utamu: Sweetness, deliciousness. Ya mwanzo inahusu zaidi ladha tamu, ya pili inahusu zaidi hisia.

Mfano, anayepigwa makonde anaumia lakini wanaweza kuwepo watazamaji wakaona/wakahisi utamu/raha kuona mtu anavyochakazwa au ufundi wa mchakazaji.
*Maana zote zimetoka kwenye makamusi ya TUKI ambako pia wametoa maana za neno tamu. 1 -enye ladha ya sukari. 2 -enye ladha ya kufurahisha kinywani. Mf. Nyama hii ni tamu. 3 -enye kufurahisha hisia. Mf. Mziki huu mtamu.
 
Hivi furaha inaingia kwenye utamu?
Ndio Mkuu! Mtu akiwa amefurahi atakuwa kwa ndani nahisi raha, na raha ni moja ya hisisa za utamu (Not Ze Utamu - lol).
Na sio furaha tu, hata karaha ya mmoja inaweza kuwa utamu kwa mwengine.
 
Huwezi kusikia, kugusa au kuona utamu.

Kusikia utamu ni sawasawa na kuonja muziki, unaweza kuongelea "kusikia utamu" au "kuonja muziki" kama metaphor tu, lakini ulimi hauwezi kuonja muziki kama masikio yasivyoweza kusikia utamu.
Hapa nakubaliana na wewe... neno kusikia linahusisha sense moja tu. Maybe niseme kuhisi utamu kwa kupitia sense or feeling (hii ni limitation inayo tokana na ujuzi wangu mdogo wa lugha ya kiswahili, ila sio ujuzi wangu wa concept. sorry)
 
Kuna positive stimulus nyingine husababisha kudinda (ashakum si matusi) ambako kunaleta maumivu (e.g mkuyati/ viagra).

Hayo maumivu nayo ni utamu?

Brain cells can be excited positively by electric shocks, hiyo feeling ya electric shock nayo ni utamu?

Who can do better now?
Kama Mwali alivyosema kuwa utamu ni hisia (naongeza hisia binafsi), kwa nini maumivu yasiwe utamu ikiwa anayeumia nahisi hivyo? Nimeona "sadomasochists=watu wanaopenda ukatili) wakifurahia kuadhibu/kuadhibiwa wakati wa kufanya mapenzi, wakati tendo hilo hilo kumfanyia asiyependa linakuwa mateso, maumivu, maudhi na karaha. Hata hivyo, ni vyema kuzingatia kiwango cha maumivu anayopata mtu hadi akahisi ni utamu.
 
kwa hiyo huezi kuskia utamu kwa kuona, au kwa kugusa/guswa, kwa kufikiria, kwa kuvuta hisia? Incomplete definition, try again.

Ok Mwali. Let me try again.Nilitaja dhana ya mwili kuridhika na hali fulani. Kama utaona kitu au kuguswaguswa na mwili kuridhika huo ni utamu. Hiyo avatar yako naipenda, ni tamu! Lete mpya za mwaka mpya dear.
 
Ok Mwali. Let me try again.Nilitaja dhana ya mwili kuridhika na hali fulani. Kama utaona kitu au kuguswaguswa na mwili kuridhika huo ni utamu. Hiyo avatar yako naipenda, ni tamu! Lete mpya za mwaka mpya dear.
This is better... mwaka mpya unaonekana una mvuto fulani. Asante kwa kuipenda avatar.
 
Utamu ni general concept ambayo kwa lugha kama kiingereza utamu utaelezwa kwa maneno mengi kugemeana ni utamu wa aina gani na unatambulika na mlango gani wa fahamu kati ya milango mitano ya fahamu ya mwanadamu: ya kuona, kusikia, kugusa,kunusa na kuonja. Utamu utokanao na maonjo, kv. sukari, asali huitwa"utamu" (sweetness). Utamu utokanao na mguso tena mguso wa tendo landoa huitwa raha/starehe (pleasure). Utamu utokanao na kusikia, mfano muziki huitwa burudani au starehe. Utamu utokanao na mnuso huitwa harufu nzuri, mf.manukato. Kwa hiyo neno "utamu" ambalo ni la kiswahili ni box lililofunga concepts nyingi sana ambazo lazima ziibuliwe moja baada ya nyingine, kulingana na aina ya utamu unaoongelewa au kuhisiwa na mtu. Ni utamu wa mlango gani wa fahamu ni wa kitu gani specifically.
 
Utamu ni general concept ambayo kwa lugha kama kiingereza utamu utaelezwa kwa maneno mengi kugemeana ni utamu wa aina gani na unatambulika na mlango gani wa fahamu kati ya milango mitano ya fahamu ya mwanadamu: ya kuona, kusikia, kugusa,kunusa na kuonja. Utamu utokanao na maonjo, kv. sukari, asali huitwa"utamu" (sweetness). Utamu utokanao na mguso tena mguso wa tendo landoa huitwa raha/starehe (pleasure). Utamu utokanao na kusikia, mfano muziki huitwa burudani au starehe. Utamu utokanao na mnuso huitwa harufu nzuri, mf.manukato. Kwa hiyo neno "utamu" ambalo ni la kiswahili ni box lililofunga concepts nyingi sana ambazo lazima ziibuliwe moja baada ya nyingine, kulingana na aina ya utamu unaoongelewa au kuhisiwa na mtu. Ni utamu wa mlango gani wa fahamu ni wa kitu gani specifically.
Kwa hiyo utamu ni lazima upitie mlango wa fahamu moja au zadi katika hizo tano(senses)? Hakuna utamu umekaa wa kiakili tu? Utamu wa kujadili mfano? Au utamu wa kutafakari? Meditation ina utamu wake wakati per essence meditation ni hali ya kujiinua juu ya milango hiyo ya fahamu.Definition yako nzuri ila nadhani imeshahau the other aspect.
 
Kwa hiyo utamu ni lazima upitie mlango wa fahamu moja au zadi katika hizo tano(senses)? Hakuna utamu umekaa wa kiakili tu? Utamu wa kujadili mfano? Au utamu wa kutafakari? Meditation ina utamu wake wakati per essence meditation ni hali ya kujiinua juu ya milango hiyo ya fahamu.Definition yako nzuri ila nadhani imeshahau the other aspect.
Wow! Mwali umenifungua macho. Asante. Ila nadhani utamuu naotokana na intellect au meditation ni mwendelezo wa utamu wa milango 5 ya fahamu. Huwezi – kwa mawazo yangu –kuingia kwenye utamu wa akili au tafakari bila kuanzia kwenye five senses.Mfano, utamu wa meditation unaanza na kuona, kugusa na taratibu mtu anaanzaku-transcend kuingia kwenye ulimwengu usiogusika, na kuonja raha/starehe yapekee mpaka hapo atakapostuliwa na external forces. Vivo hivo utamu wa kiakili, mfano majadiliano, unaanza na mawasiliano (kwa maandishi au kuongea/sauti) naujumbe huu ambao unaamusha majibizano kati ya watu unaweza kuleta raha, faraja(utamu).
 
Wow! Mwali umenifungua macho. Asante. Ila nadhani utamuu naotokana na intellect au meditation ni mwendelezo wa utamu wa milango 5 ya fahamu. Huwezi – kwa mawazo yangu –kuingia kwenye utamu wa akili au tafakari bila kuanzia kwenye five senses.Mfano, utamu wa meditation unaanza na kuona, kugusa na taratibu mtu anaanzaku-transcend kuingia kwenye ulimwengu usiogusika, na kuonja raha/starehe yapekee mpaka hapo atakapostuliwa na external forces. Vivo hivo utamu wa kiakili, mfano majadiliano, unaanza na mawasiliano (kwa maandishi au kuongea/sauti) naujumbe huu ambao unaamusha majibizano kati ya watu unaweza kuleta raha, faraja(utamu).
Hapo in bold sijakubaliana na wewe, ladba unieleweshe zaidi mkuu!
Utamu wa meditation hautegemei kabisa 5 senses.
Na ukitaka kuupata sawasawa lengo ni kutenganisha kabisa
the inner you na the world which you perceive through he five sences...
 
Lizzy, Globu & Mwali - compare and contrast!
Social Network: A network of personal or business contacts, especially as facilitated by social networking on the internet.

E- forum: electronic forum… as above!
A forum of discussion involving a panel of presenters and often participation by members of the audience. It is an electronic (e) message board where users can post messages regarding one or more topics of discussion
 
Lizzy, Globu & Mwali - compare and contrast!
Social Network: A network of personal or business contacts, especially as facilitated by social networking on the internet.

E- forum: electronic forum… as above!
A forum of discussion involving a panel of presenters and often participation by members of the audience. It is an electronic (e) message board where users can post messages regarding one or more topics of discussion
Kwa kiswahili?
 
:wink2:Utamu ni hali ya kufurahisha, kuridhisha na kuburudisha kwa moyo ipatikanyao kwa kuonja kwa ulimi. Na hadithi pia ikifurahisha, ikaridhisha na kuburudisha pia ni tamu.
 
Back
Top Bottom