klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,139
Uko na pointi ya haja mkuu, unajua samtaimu ukisoma magazine tu kama uko serious unaweza ukaibua elimu ya haja kabisa lakini kwa waafrika wengi hiyo ni ishu bana na ndio maana nikakukweza mazee kwamba wewe uko na bidii kiaina yaani.Mimi nafikiri sio kwamba mie niko fiti vibaya sana, ila labda watu wengi ama hatuna ufiti wa kawaida tu, au tunao ila hatutaki kuchangia sana. Kiasi kwamba mtu akimwaga vitu vya kawaida tu tayari anaonekana "jiniasi".
Kuna siku, years back, nilitoa presentation ya Cosmogony high school kama mwanafunzi, hata mwalimu mwenyewe aliniambia kwamba hajawahi kusikia kabisa mambo hayo (alikuwa wa social sciences/ comm skills so that is somewhat to be expected). Lakini unyamwezini high school kids my age waliokuwa wanaperuzi Newsweek na kumsoma Frank Drake walijua hayo, kwa nini na sie tusijue?
Vitu gani unaongelea hivyo?
Kuna siku ulikuwa uunaongelea manyago flani ya Angani, mzee sikuelewa kitu nikaingia mitini lakini nikakuona umewabamba washkaji wanapapatua