Usiombe hili likukute ... acha kutembea na wake za watu.
View attachment 123358View attachment 123359View attachment 123360View attachment 123361View attachment 123362
Ofcourse, na inategemea mbele yako kuna nini...
Mkuu labda anamaanisha kuwa hata kukaa kimya pia ni jibu.
Hahahahahaaaaaaa.... mdomo nyumba ya maneno lakini ukiona inaishiwa mmhhhh
Haina shida lakini itakuwa tumeshaingia dimbani. Hahahahaaaaaaa
Hii imetokea tz? Wapi?
Mcharuko! kwa nini mnawatongoza?
Yanaweza kutafuta njia nyingine yakutokea ukapata FISTULA ya uso bure...Maneno mengine siyo lazima yatoke...unayaacha tu mdomoni...
Mechi ina matokeo matatu, kushinda, kushindwa ama sare, lakini hapo inakuwa japo kiatu nimekulamba.Ahaa kuingia dimbani bila kufunga si bora ungekaa benchi...
Kwamba wewe hata usipochapwa mwezi mzima wala K haiwashi?
Hahaaa haya maswali mengine...naomba tuishie hapa....
Ungetoa tu jibu la mwisho
Haaa si kila swali lazima lijibiwe...
Kwa kuwa hukupinga hapo kwenye rangi mkolezo hata baada ya Mkuu Ngalikihinja kuomba ufanye hivyo, basi watu wazima tumeelewa.Mkuu labda anamaanisha kuwa hata kukaa kimya pia ni jibu.
Narudia kwa kusema kuwa: Sitetei tabia mbaya hii ya kutembea na mke/mume wa mtu, lakini imenikera kutembezwa uchi wa mnyama hadharani huyu mtu.
Kwa kuwa hukupinga hapo kwenye rangi mkolezo hata baada ya Mkuu Ngalikihinja kuomba ufanye hivyo, basi watu wazima tumeelewa.
Mechi ina matokeo matatu, kushinda, kushindwa ama sare, lakini hapo inakuwa japo kiatu nimekulamba.
Mkuu watu wengi weusi na akili zetu ni nyeusi, huu ni udhalilishaji mkubwa mno kwa binadamu yeyote DESPITE of the magnitude of his deeds!
Ni upumbafu kabisa huu
Kwamba wewe hata usipochapwa mwezi mzima wala K haiwashi?
Hahaaa haya maswali mengine...naomba tuishie hapa....
Ungetoa tu jibu la mwisho
Haaa si kila swali lazima lijibiwe...
Mkuu labda anamaanisha kuwa hata kukaa kimya pia ni jibu.
Tupe ukweli.Hahaaa na pia inawezekana hicho ulichokielewa siyo sahihi...
Yanaweza kutafuta njia nyingine yakutokea ukapata FISTULA ya uso bure...
Sio kiatu tu hata kichwa japo kidogo nitakulamba. HahahahaaaaaaMchezaji wa ukweli lazima atupie japo goli moja sasa ukiishia kulamba kiatu na kuacha majeruhi ina maana mechi ijayo hatocheza.....