Utamu wa mapenzi ni hivi

Utamu wa mapenzi ni hivi

mapenzi yanarun dunia hata humu JF yanabamba ile mbaya
 
Ni jambo lisilo pingika kuwa mapenzi ni tunu ya ajabu mno tulo tunikiwa na MUNGU, penzi ni tamu hasa inapo kuwa hivi;

1 ukipata unayempenda na yeye anakupenda

2 Ukiwa unadekezwa dekezwa kimahaba.

3 Ukipata anayejua kupenda na kufariji.

4 Ukipata anayekupatia vizawadi zawadi.

5 Tendo lenyewe la mapenzi ndo hukamilisha utam wa haya mapenzi.

By the WAY ... How Old are YOU!!
 
Love is just like a graph. At the start it keeps increasing at a constant level and when it reaches at the climax eventually it starts to decrease. Assuming all other factors remain constant.
Those factors are relying on the level of caring for your partner. Ila kiujumla mapenzi ni matamu kama alivyoainisha mtoa mada.
 
kwan uongo?! Hivi sisi tungejuaje kuwa ww unaumwa na ulilazwa bila mapenz? Alikuja hapa mkuu H. Kutujuza hali halisi

Hahaha....
Yaani unampenda huyo mkuu, nikipita kukusalim lazima umtaje na yeye... hujui kua anajing'ata mutoto ya mutu?
 
Hahaha....
Yaani unampenda huyo mkuu, nikipita kukusalim lazima umtaje na yeye... hujui kua anajing'ata mutoto ya mutu?

wewe! Araa! Sema anakukuna bhana........teh teh teh! Si unajua tena kitu roho inapenda
 
wewe! Araa! Sema anakukuna bhana........teh teh teh! Si unajua tena kitu roho inapenda

Lol... ishia hapo hapo, unajua yule jamaa ni mtu wa mungu sana, akikutana na vitu kama ivi, utamtoa upako shemejiiiiiii...
 
Lol... ishia hapo hapo, unajua yule jamaa ni mtu wa mungu sana, akikutana na vitu kama ivi, utamtoa upako shemejiiiiiii...

wachaaa! Unataka kuniambia yeye hataki lile apple walilokula Adam na Eva/Hawa? Ana maneno flani ya kuchombeza yule jamaa yaan kukuchukulia akiamua ni dk2 tu......teh teh
 
wachaaa! Unataka kuniambia yeye hataki lile apple walilokula Adam na Eva/Hawa? Ana maneno flani ya kuchombeza yule jamaa yaan kukuchukulia akiamua ni dk2 tu......teh teh

Walaaaa hana hilo wazooo, yeye ananipaga vifungu vya biblia tu...
 
Walaaaa hana hilo wazooo, yeye ananipaga vifungu vya biblia tu...

owkiii! Bas ngoja na mm nikufungulie vifungu vya hapo mwanzo Mungu alimuumba adam lakin akaona yu peke yake baadae akaona sio vyema...................(malizia)
 
owkiii! Bas ngoja na mm nikufungulie vifungu vya hapo mwanzo Mungu alimuumba adam lakin akaona yu peke yake baadae akaona sio vyema...................(malizia)

Mhhhh.... sio hicho shemejiiiiiii... ongelea kile cha Yesu kubadili jiwe kua mkateeee...
 
Mhhhh.... sio hicho shemejiiiiiii... ongelea kile cha Yesu kubadili jiwe kua mkateeee...

hapo mm sijapafaham vizr ila najua tu pale palipoandikwa hvi: msinyimane, kila aombaye hupewa najua nikikuomba utanipa na huwez kuninyima kwasababu utakuwa umetenda dhambi ......... Au unasemaje nijaribu kukuomba?
 
hapo mm sijapafaham vizr ila najua tu pale palipoandikwa hvi: msinyimane, kila aombaye hupewa najua nikikuomba utanipa na huwez kuninyima kwasababu utakuwa umetenda dhambi ......... Au unasemaje nijaribu kukuomba?

Tatizo dhambi yangu kubwa ni uchoyo...
 
Back
Top Bottom