Utamu wa mapenzi ni hivi

Utamu wa mapenzi ni hivi

Uchoyo wa kila kitu kwahiyo usijisumbue kuomba chochote hata kama biblia imesema tusinyimane..

lakin Yesu alisema hakuna lililogumu kwake naamin tukifunga na kuomba hyo roho mbaya ya unyimi na uchoyo itakutoka utakuwa kiumbe kipya chenye moyo wa huruma
 
lakin Yesu alisema hakuna lililogumu kwake naamin tukifunga na kuomba hyo roho mbaya ya unyimi na uchoyo itakutoka utakuwa kiumbe kipya chenye moyo wa huruma

Hakuna linalishindikana kwake na sio kwangu...
 
Love is just like a graph. At the start it keeps increasing at a constant level and when it reaches at the climax eventually it starts to decrease. Assuming all other factors remain constant.
Those factors are relying on the level of caring for your partner. Ila kiujumla mapenzi ni matamu kama alivyoainisha mtoa mada.

self contradiction!
 
bas shemeji nikutakie usk mwema naona wifi yako naye anataka kuogeshwa si unajua tena yale ya UTAANZAJE..... Teh teh teh

Lol... ataogaje mapema ivi!!!!! okey then usiku mwema shemejiiiiiii.... mwambie wifi atulize mizuka... muda wa kuoga bado.
 
Ni jambo lisilo pingika
kuwa mapenzi ni tunu ya ajabu mno tulo tunikiwa na MUNGU, penzi ni tamu
hasa inapo kuwa hivi;

1 ukipata unayempenda na yeye anakupenda

2 Ukiwa unadekezwa dekezwa kimahaba.

3 Ukipata anayejua kupenda na kufariji.

4 Ukipata anayekupatia vizawadi zawadi.

5 Tendo lenyewe la mapenzi ndo hukamilisha utam wa haya mapenzi.

Yaani natamani mm kumpata mtu anipende nami nimpende.
 
kwahiyo kama sisi ni BINADAMU what happens

Kama binadamu tuna tofauti zetu baina ya mtu na mtu. Hata wale identical twins huwa wanapishana kimawazo. Wana jinsi tofauti ya ku-react wanapoudhiwa/furahishwa.

Kwa mantiki hiyo basi ukiona unaishi na mtu na hamgombani/kupishana mawazo hata kidogo walahi nakuapia mmoja wenu ni zoba kwenye huo uhusiano (refer: 'reacher & settler' r/ship).

I know mnapopendana na mtu ni kwa kuwa pia you two have a lot in common lakini hiyo haiondoi ukweli kuwa kama binadamu tunatofautiana.
 
Back
Top Bottom