Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
aisee acha kabisa umkute mlieivana kweli yaan unaona dunia yako peke yako na shda zote unahsi zmekukimbia hata kama zmekuandama
umeona eeeeh
aisee acha kabisa umkute mlieivana kweli yaan unaona dunia yako peke yako na shda zote unahsi zmekukimbia hata kama zmekuandama
aisee acha kabisa umkute mlieivana kweli yaan unaona dunia yako peke yako na shda zote unahsi zmekukimbia hata kama zmekuandama
Mhhhhh... napita tu mkuu
Kwa sababu ivumayo haidumu na ngoma ikipigwa sana hupasuka.kwanini haidumu!!!!!!!
kwanini haidumu!!!!!!!
Ni jambo lisilo pingika kuwa mapenzi ni tunu ya ajabu mno tulo tunikiwa na MUNGU, penzi ni tamu hasa inapo kuwa hivi;
1 ukipata unayempenda na yeye anakupenda
2 Ukiwa unadekezwa dekezwa kimahaba.
3 Ukipata anayejua kupenda na kufariji.
4 Ukipata anayekupatia vizawadi zawadi.
5 Tendo lenyewe la mapenzi ndo hukamilisha utam wa haya mapenzi.
kwanini haidumu!!!!!!!