Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
Bellanaija!!!!!!!
mabinti waliookoka hawavai hereni, mikufi, pete, na bangili.
Mabinti waliookoka hawajirembi kwa rangi za mdomo, rangi za uso, kucha wala rangi za macho.
Babinti waliookoka 'hawakaangi' nywele zao, wala hawasuki nywele wala hawajipambi kwa nguo za thamani kubwa.
Biblia inasema hivi katika 01 timotheo 02:09-10:-
" 09: Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;10: Bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa mungu".
Mademu wengi wakishindikana kuolewa kitaa hukimbilia church,hapo ndo utajua kuna church goers na true worshipers!Anasali kanisa gani huyu na mimi nihamie?
Ukiona mtu anaokoka ujue ameishatenda madhambi yote duniani kiasi cha kutokuwa na matumaini ya kuishi zaidi ya kujificha nyuma ya ulokole.
kweli mkuu sio mchozo!
Ukiona mtu anaokoka ujue ameishatenda madhambi yote duniani kiasi cha kutokuwa na matumaini ya kuishi zaidi ya kujificha nyuma ya ulokole.
Wanaojiita wameokoka ni wale ambao Maisha yamewashinda as well ambao wametenda dhambi saaana so they lost who they are.... hawajiamini... spiritual fatigue ipo juuu... anaamua kujiita mlokole....
Hamna lolote, hypocracy at best....!!!
Wanaliwa ka samaki cheaply...
Wanaojiita wameokoka ni wale ambao Maisha yamewashinda as well ambao wametenda dhambi saaana so they lost who they are.... hawajiamini... spiritual fatigue ipo juuu... anaamua kujiita mlokole....
Hamna lolote, hypocracy at best....!!!
Wanaliwa ka samaki cheaply...
anasali kanisa la mapepo wachafu
Wanaojiita wameokoka ni wale ambao Maisha yamewashinda as well ambao wametenda dhambi saaana so they lost who they are.... hawajiamini... spiritual fatigue ipo juuu... anaamua kujiita mlokole....
Hamna lolote, hypocracy at best....!!!
Wanaliwa ka samaki cheaply...
Mademu wengi wakishindikana kuolewa kitaa hukimbilia church,hapo ndo utajua kuna church goers na true worshipers!
Anasali kanisa gani huyu na mimi nihamie?
no
research
no
right
to
speak.
Kama kweli vile....