Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,272
- 96,398
Bwana, eeh Bwana kwanini wasimama mbali?
Kwanini kujificha wakati wa kiza?
Kaizer piga ile makitu yetu tafazali tumwimbie Bwana wa Majeshi.
Last edited by a moderator:
Bwana, eeh Bwana kwanini wasimama mbali?
Wanaojiita wameokoka ni wale ambao Maisha yamewashinda as well ambao wametenda dhambi saaana so they lost who they are.... hawajiamini... spiritual fatigue ipo juuu... anaamua kujiita mlokole....
Hamna lolote, hypocracy at best....!!!
Wanaliwa ka samaki cheaply...
Jamani tupeni contact za makanisa wanayosali hawa mabinti!! Haki ya nani ni lazima niokoke kwa gear ya kumpata mke!!! My God precious!!
Hebu sikia alichoambiwa mlinzi wa gereza alilofungwa Paulo na Silahivi mtu akishafanya tukio gani ndo anajiita ameokoka
Labda nikuulize tu swali moja; Mpaka umri huo uliofikia umeshawahi kusikia kisa cha maiti kuongea?hivi tunaokoka tukiwa hapa dunia ama baada ya kufa mwokozi ndo atatuokoa
Yes, kwa matendo wokovu huonekana. Lakini usijichanganye na kundi la waovu wafanyao ibada za giza ukijiaminisha kuwa kutenda mema ndio wokovu. Kajisomee Mathayo 19:16-26afu matendo ndo yana dictate wokovu ama mahali unaposali manake it is contradicting
Mabinti waliookoka hawavai hereni, mikufi, pete, na bangili.
Mabinti waliookoka hawajirembi kwa rangi za mdomo, rangi za uso, kucha wala rangi za macho.
Babinti waliookoka 'hawakaangi' nywele zao, wala hawasuki nywele wala hawajipambi kwa nguo za thamani kubwa.
Biblia inasema hivi katika 01 Timotheo 02:09-10:-
" 09: Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;10: bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu".
hapa sijui nichangie nini......! hebu ngoja kwanza, ntarudi
Biblia inasema ukimkiri Yesu kwa kinywa chako na kuamini kuwa yeye ni bwana na mwokozi wa maisha yako utaokoka ! hakuna kujiita umeokoka bali ni kanuni ya Mungu ambayo ukiifuata kuokoka ni matokeo yake. Perception ya watu kwamba 'wanajiita wameokoka' ndo inayo wapoteza wengi kwa kudhani wokovu ni kitu cha kawaida kama dini zilivyo. Kwa mujibu wa maandiko ni kwamba, ukimkiri Yesu utaokoka na sio ukimkiri Yesu siku ya mwishi utaokoka. kwahiyo kujibu swali lako ni kwamba wokovu unakuja punde unapomkiri Yesu and you feel the difference. Mahali unaposali si tatizo ilimradi waamini kile biblia inachosema,maana huwezi kuokoka halafu ukasali mahali ambapo wanasema hakuna kuokoka duniani pamoja na kuwa wanmtaja Yesu. kwahiyo uko huru kusali popote ilimradi wawe wanamwabudu Yesu wa kweli. Usidanganyike na matendo, matendo yako ni determinant factor ya ukubwa wa hukumu yako weather uwe umeokoka au hujaokoka. Ukiwa hujaokoka kitafunguliwa kitabu cha watenda maovu halafu yataangaliwa matendo yako ndipo utahukumiwa. kama uliokoka kitafunguliwa kitabu cha uzima halafu yataangaliwa matendo yako baaday a wokovu kisha utapewa taji kulingana na kazi yako. kama ulianguka dhambini inamaana hautakuwepo kwenye kiatabu cha uzima.hivi mtu akishafanya tukio gani ndo anajiita ameokoka hivi tunaokoka tukiwa hapa dunia ama baada ya kufa mwokozi ndo atatuokoaafu matendo ndo yana dictate wokovu ama mahali unaposali manake it is contradicting
Mbinguni hakuna ukimwi wala VVUVipimo vyao vya VVU vinasemaje? Maanake wote wanaookoka apple zao zilikwisha chumwachumwa sana.
Hawa mabinti waliokoka ni noma.Arusha kuna mmoja ameokoka anasema ameletwa na mungu kwa vile sio mzaliwa wa hayo maeneo.Ukimtongoza hakatai ila usiku anajibadili kuwa dume anakuamuru geuka anakula kalio(anakulawiti) kwa vile mlikutana kwenye maombi inabidi unyamaze.
Mademu wengi wakishindikana kuolewa kitaa hukimbilia church,hapo ndo utajua kuna church goers na true worshipers!
Acha uongo..Thats too general.Halafu hata kama ni kweli zilichumwachumwa cha msingi si mabadiliko?Vipimo vyao vya VVU vinasemaje? Maanake wote wanaookoka apple zao zilikwisha chumwachumwa sana.
uwongo ni dhambi,kama nimekuelewa ulichomaanishaVipimo vyao vya VVU vinasemaje? Maanake wote wanaookoka apple zao zilikwisha chumwachumwa sana.