Tyta
JF-Expert Member
- May 21, 2011
- 12,767
- 10,536
ukweli hata si utani....hiyo ilikua boarding school..na kitafunio ilikua ni mara 2 tu kwa wiki...akaona isiwe tabu...acha aasumeHa ha haaaaaaa umeuaaa...
ukweli hata si utani....hiyo ilikua boarding school..na kitafunio ilikua ni mara 2 tu kwa wiki...akaona isiwe tabu...acha aasumeHa ha haaaaaaa umeuaaa...
niliwahi kula wali kwa uji wa mchele..
nilikosa mboga,mchele upo,nikaupika uji.
Ndio mambo ya kula ugali na picha ya samaki
mambo ya bording school ugali kwa sukari.
Chai na mabungo.
mi nilikuwa napiga na chumvi
kozo okamoto si ungenambia tu mdogo wako nkakupa mboga nimepika mahanjumati tele tu hadi vimebaki naweka frijini....ndo lunch yenyewe hiyo!!!
jamani mbona cocacola wanaendesha mashindano kimyakimya hivyoo....
mkate na jam
![]()
Minaona anataka kutengeneza sumu tu inamaana hata dagaa wa 200/= kakosa ?
kozo okamoto si ungenambia tu mdogo wako nkakupa mboga nimepika mahanjumati tele tu hadi vimebaki naweka frijini....
Halafu hujapata changu maskini....
dah kweli leo neema itaniangukia,kila siku nalilia unionjeshe hutaki,leo umekubali? dadadeki!!!!,ngoja nikanawe mikono baharini ndo nije......sijapata lichangu lilionona,bado natafuta lililonona
Kwani hiyo mikono ina nini hadi ikanawiwe baharini😱😱😱😱
ili nisije nikapata nuksi ya kunyimwa kuonjeshwa tena!!!
Ahaaa kumbe ndio ulikua unataka kudoea kila siku?
mambo gani haya ....
haya bana,,,nawaona cku hizi wana wa ''pm'' wanywa chupa nzima wakija na promotion...Unataka kupewa taarifa wakati nusu chupa huwezi kunywa😛😛😛😛😛
kama diet ni hivi , bora nibaki nilivyo....diet mkuu
Hizi bangi.....mkate na jam
![]()
kama diet ni hivi , bora nibaki nilivyo....
ndo lunch yenyewe hiyo!!!
Hizi bangi.....