JF Member
JF-Expert Member
- Dec 14, 2014
- 7,398
- 9,680
Picha: Benard Membe
Kwa kawaida Hawa watu walioshika nyanja za juu za uongozi na wakagombea urais Huwa Wana miguso katika jamii.
Sasa Uzi huu utakuwa kwa ajili ya kumbukumbu ya Membe.
Kati ya Mambo yanayokumbukwa kwa ajili ya Mh.. Membe kutoka kwa jamii ni kama haya hapa.
1. Kula pesa za Libya.
2. Kusimamia misimamo yake wakati wote.
3. Kutataa kumsamehe Msibani waziwazi siku chache kabla ya kifo.
4. Waziri ambae hakuhusishwa na ufisadi wa Moja kwa Moja kutokana na majukumu yake hapa nchini.
N k.