Nape Nnauye jiandae kisaikolojia, Mtama wanataka Steve Membe kuwaongoza!

Desprospero

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
887
2,201
Wana wema!

Siasa za Lindi Jimbo la Mtama zimeanza kushika kasi ambapo harakati za kumtaka mdogo wake Hayati Bernard Membe, Steve Membe anatajwa kutakiwa kumrithi kaka yake jimbo la Mtama kama hatua ya kumuenzi huyo Mwamba wa Kusini.

Jitihada hizo inadaiwa kufanywa vigogo wa chama huku majina makubwa ya viongozi Wastaafu na walioko madarakani wakitaka kumuenzi Membe kwa kumfanya mdogo wake ambaye ni daktari kitaaluma Steve Membe kuchukua mikoba hiyo.

Mwenyewe Steve Membe amenukuliwa na moja ya t online akisema, "ni mapema mno kutamka juu ya hilo maana chama Cha CCM kina taratibu zake lakini kama wana-Mtama wametaka hivyo Mimi ni nani niwakatalie?"

Hatua hii inamuweka Mbunge wa Mtama kwa Sasa ambaye pia ni Waziri Nape Moses Nnauye katika wakati mgumu mno kisiasa jimboni hapa kuelekea 2025.
 
Wana wema!

Siasa za Lindi Jimbo la Mtama zimeanza kushika kasi ambapo harakati za kumtaka mdogo wake Hayati Bernard Membe, Steve Membe anatajwa kutakiwa kumrithi kaka yake jimbo la Mtama kama hatua ya kumuenzi huyo Mwamba wa Kusini.

Jitihada hizo inadaiwa kufanywa vigogo wa chama huku majina makubwa ya viongozi Wastaafu na walioko madarakani wakitaka kumuenzi Membe kwa kumfanya mdogo wake ambaye ni daktari kitaaluma Steve Membe kuchukua mikoba hiyo.

Mwenyewe Steve Membe amenukuliwa na moja ya t online akisema, "ni mapema mno kutamka juu ya hilo maana chama Cha CCM kina taratibu zake lakini kama wana-Mtama wametaka hivyo Mimi ni nani niwakatalie?"

Hatua hii inamuweka Mbunge wa Mtama kwa Sasa ambaye pia ni Waziri Nape Moses Nnauye katika wakati mgumu mno kisiasa jimboni hapa kuelekea 2025.
Steve amejianzishia uzi

Hamna Steve mwenye akili
Steve nyerere
 
Wana wema!

Siasa za Lindi Jimbo la Mtama zimeanza kushika kasi ambapo harakati za kumtaka mdogo wake Hayati Bernard Membe, Steve Membe anatajwa kutakiwa kumrithi kaka yake jimbo la Mtama kama hatua ya kumuenzi huyo Mwamba wa Kusini.

Jitihada hizo inadaiwa kufanywa vigogo wa chama huku majina makubwa ya viongozi Wastaafu na walioko madarakani wakitaka kumuenzi Membe kwa kumfanya mdogo wake ambaye ni daktari kitaaluma Steve Membe kuchukua mikoba hiyo.

Mwenyewe Steve Membe amenukuliwa na moja ya t online akisema, "ni mapema mno kutamka juu ya hilo maana chama Cha CCM kina taratibu zake lakini kama wana-Mtama wametaka hivyo Mimi ni nani niwakatalie?"

Hatua hii inamuweka Mbunge wa Mtama kwa Sasa ambaye pia ni Waziri Nape Moses Nnauye katika wakati mgumu mno kisiasa jimboni hapa kuelekea 2025.
Wataligawa hilo Jimbo na ndo itakavyo kuwa
 
Kifupi Membe mwenyewe hakukubalika Mtama..huyo nape 2015 alitumia hadi bastola kuwatishia ili atangazwe mshindi na hadi wakachoma nyumba yake moto pale mtama.

Wenyewe wanakuambia huyo mwendazake alikuwa mbinafsi, hakuwahi kuwa mwanamtama mwenzao kwa maana ya mashirikiano na mahusiano na aliibuka tu from nowhere.

Labda pengine kwa sasa huyo dr anaweza kukubalika kama amejitengeneza huko. Na hili jambo najua Nape hatokubali. Maana kwa nafasi aliyonayo kwa sasa kukosa jimbo ni aibu na fedheha. Utampeleka jimbo gani atakalopokelewa. Maana utaibua machafuko tu huko atakopelekwa.

Bora hapo mtama japo hakubaliki ila hatakosa kura chache za kweli katika nyingi za feki.
 
Back
Top Bottom