Utamjuaje mke mwema?

Utamjuaje mke mwema?

Wote Wema..., kama sio mwema kwako ni mwema kwa mwingine na vice versa
 
Mscan kwanza ukiona computer inastac jua cyo mwema ana virus sugu, kwi kwiiiiiii,,,,,,,,,
 
so hata akiwa mwizi mlevi anafaa kisa kakupenda?
hivi ni vigezo minner sana ambavyo wengi mnatumia halafu mnakimbilia wasiokunywa wala wezi na kuchukua wazuri halafu wanageuka mbwa mwitu.....

any way we choose according to your vigezo tu
 
Chukua changudoa anayejiuza au baamedi weka ndani. Jamaa yangu mmoja alikuwa mfanyakazi mwema tu wa serikali lakini mke wa ndoa alipozingua akaenda kuchukua changu mmoja bomba flani hivi leo ni mwaka wa 8 maisha yao yanakwenda . Amesitirikaa
 
Utamjua akishakuwa mke wako.Au ulikuwa una maanisha mchumba mwema?
 
Na Yule Anaekupenda Ukiwa Na Hela Sio Mwema?Mana Anakufundisha Utafutaji
 
Akiwa anapenda sana hela basi huyo ndio mke mwema.
 
Kwa Kule Kilimanjaro Mke Mwema Lazima Apende Hela Ili Utafute Hela Ama Kwa Miji Yote Kama Dar,mwanza,arusha Nk
 
Mke mwema ni aliyetulia kiakili pasipo kuwa na wenge,asiwe na shobo na vitu vya watu,afuate yake tu sio kuendekeza kupiga ukuda na mashosti zake (Akiwa hana kabisa itasaidia zaidi ili atulie ndani kwake),Mwenye heshima kwa ujumla unapokuwa nae na ukiwa mbali naye (awe responsive),Asiwe mchoyo,Asiwe mjuaji apende kuskiliza muongozo wako zaidi,Awe na roho ya kupenda mfanikiwe kwa kukupa mawazo mazuri,Awe social itasaidia kujenga mahusiano mazuri na ndugu jamaa na marafiki zako,Awe anakupenda kwa dhati,Awe ana moyo wa kujituma yan fighter atakuwa msaada pindi mambo yako yakiwa hovyo kwa mfano ukiumwa sana ukawa huwezi kufanya kazi tena (Mara nyingi mwanamke wa hivi hujulikana tu pale mnapoanza kuwa karibu kimahusiano kutokana na mitazamo yake tu kimaisha),Awe msafi wa mwili wake na mazingira and finally awe amekupenda kwa dhati ofcoz lazma msichana awe amekukubali kiukweli kwelii,atafanya yote hayo apo juu.

Wanawake wa hivi ni waliolelewa kwenye maadili mazuri na huwa wapo tu sema huwa wanaume tunakurupukaga bila kuwasoma vizuri tunajikuta tunaangukia kwa wababaishaji,naamini ukitulia unampata mbona ingawa kwa Dar ni changamoto!
 
Back
Top Bottom