Utamjuaje mke mwema?

Utamjuaje mke mwema?

Mke ni yule unayeishi naye kwny ndoa, kumjua kama ni mwema ama kapi ni matendo yake ndani ya ndoa..labda kama cjaelewa swali
 
Walishakufaga hao siku nyingi tu, siku hizi ni hela tu
 
1.anapua ndefu na kubwa
2.mara nyingi wavivu kupiga mswaki
3.anaweza vaa kanga moja akaenda hadi mtaa wa saba
ukiona mwanamke anasifa hizi we oa ndo mke mwema huyo
 
* Kama hayupo JF.
* Haangalii bongo movies.
* Aki-post picha insta na kwingineko habetui mdomo wala mgongo.
* Anaridhika hata na Tecno.
* Sio atoto, wala hawana undugu/ukaribu.
* Sio team Kiba/Dai.
* Hatanishambulia kwa nilichokisema hapa.

*Ladies, i'm only being my stupid-self. Please don't shoot*
 
Last edited by a moderator:
Hivi kwanini mnapenda kukusema swala la wanawake na pesa? Inamaana wanaume wa humu ndani wote wanapata wanawake ambao hawana hela? Huwa sielewi hii ishu kwakweli
 
Back
Top Bottom