Utamaduni wa Kusagana kwa Wanawake: Namna ulivyopenyezwa/Kuenea Afrika na sababu kadhaa za kuenea kwake Tanzania

Hakuna uchochezi, ushahidi wa humuhumu kwenye mitandao upo mwingi tu. Ataependa au kubisha nitaweka.

Unasema "uchochezi wa kidini" unamaanisha kuna "dini" imehalalisha ushoga na usagaji?
Weka ushahidi wako hapa usituharibie uzi kama hujaweka you're among those lesbianists
 
one positive thing about gayhood.

they usually take another dude with them henceforth leaving us a plenty choice of women to https://jamii.app/JFUserGuide around.
 
Mkereketwa_Huyu

Ulivyoongea kwa hisia nikajua unatema cheche za maana kumbe na wewe umesikia kwenye vijiwe vya kahawa... kama alikutwa na uume wa bandia shida iko wapi huenda hua anajipiga nyeto au nyeto nayo hawaruhusu?

Yaani hao viongozi waache kushughulika na nchi waje washughulike na faragha za watu, kua serious wewe.
 
culture gal
YOU ARE WHAT YOU ARE!

mwisho wa siku ni kukubali tu kuwa kila mtu ana changamoto na furaha zake za maisha!
If mine doesn't harm you, so be it!
If yours doesn't either, who am I to say NO! SIJUI HAIKUBALIKI!

deep down you najua imekuchukua miaka kadhaa kupata hii confidence!
naelewa the struggle ya STRAIGHT OR LESBO/GAY.
nimeshuhudia watoto kadhaa kwenye umri wa puberty wakipita hapo!
Bahati mbaya zaidi hatuna jamii inayotambua hii kama miongoni mwa vitu vya kusaidia kujitambua au kutambulika!
VILE TUNANYOOSHA VIDOLE KWA GAYS NA LESBIANs ni kana kwamba DHAMBI ZETU ZINASAMEHEKA KWA WAO KUWA GAYS NA LESBIANs!

Bahati mbaya zaidi tabia zetu za kingono si miongoni mwa mambo yanazungumzika kwa urahisi! NDIO MAANA TUNA CASE AMBAZO ZINGINE ZINAWEZA KUZUILIKA, AU ZINGINE ZINGEWEZA KUTOKUTOKEA KABISA!
katika USIRI WA HALI, si rahisi kujua if one is really a case tunapaswa kuicategorise huko!
TATIZO NI KUBWA KULIKO VILE TUNAFIKIRI NA KUAMINI!
Wengi tunaamini hali ni shwari kabisa, KUMBE!
 
Jinsi wanaume walivo... Sometime napata mawazo ya kuwa lesbian ila naogopa
Tusamehe tu.. Wengine faraja ya mapenzi hatuipati.. Tunapenda kwelikweli ila unagundua mwenzio hayupo nawe kama unavofikiria..
Hebu mkilalamika muwe mnatazama mnalalamika nini....

Hapa nikikutongoza utaanza leta mabreka utadhani nyoka kwenye pipa la mafuta ya taa....

Tatizo mnachagua sana na vigezo vyenu utadhani mnatafuta actor wa kwenye movie.....maisha hayataki mbwembwe, watoto wa kike now days mnakuwa kama scientists, mnatengeneza theories na hypothesis halafu mnataka kuzifanyia test kwenye mahusiano, hivi ni nani yupo tayari kucheza mind games na maisha yalivyo magumu hivi?!

Yaani niache kutafuta mtu tutakayejenga maisha, nitafute mtu tutakayekuwa tunaigiziana.....

Hebu achaneni na mizaha kuweni serious na maisha haya jamani.
 
Hizo zote porojo. Usenge (ushoga) na usagaji chanzo chake kikuu ni majumba (makazi) yanayofuga wanaume peke yao na wasiruhusiwe kuoa na yanayofuga wanawake peke yao wasiruhusiwe kuolewa (usagaji).

Si unajuwa wapi yanapatikana hayo majumba?

Ataesema hayafahamu hayo majumba atakuwa ni punguani wa hali ya juu.
Hebu tusaidie tufahamu mpenzi wangu, mwandani wangu niliyejaliwa na maulana
 
Hapana sio wazima ndio maana tunawaibia dada zenu na wake zenu bila huruma.
Me siwezi kusikia wivu nikisikia unatoka na mke wangu. Ila nitawawekea mtego, nikiwakuta niwapige upumbu kwapa moja halafu nawaoa wote ili mje mfanyie nyumbani vizuri....
 
Nikuulize swali la kizushi. Hivi hasa nini faida yake ?!. Sisi hua tunaingia kwenye mahusiano kutafuta mapenzi, watoto na wasaidizi. Je huo wa kwenu mnatafuta nini ??!!!
Hili swali linataka hekima katika kulijibu, sina uhakika kama muhusika anasalio la hekima ya kulijibu hili swali
 
Mi sihitaji kuridhika tu. Nahitaji mapenzi ya kweli
Kama hauna unakia mkweli unsepa tu
Define mapenzi ya kweli!

Cause nimeshaona aina hii ya malalamiko na ukimchunguza muhusika unakuja kugundua ana drama nyingi na ndizo zinazomrudisha nyuma kila siku akilalamika kuwa wanaume sijui hawafai ila ni yeye anabehave kwa namna inayowafanya wanaume wasifae....

Unajua ukiona unakutana na sampuli ile ile kila unapoingia katika mahusiano, basi tambua shida ni wewe katika namna inaingia na nani katika mahusino.....

As i argue here.....kuna mdada anapanga na jamaa wake kupata mtoto wa pili na wanapanga maisha and life is very good
 
Define mapenzi ya kweli!

Cause nimeshaona aina hii ya malalamiko na ukimchunguza muhusika unakuja kugundua ana drama nyingi na ndizo zinazomrudisha nyuma kila siku akilalamika kuwa wanaume sijui hawafai ila ni yeye anabehave kwa namna inayowafanya wanaume wasifae....

Unajua ukiona unakutana na sampuli ile ile kila unapoingia katika mahusiano, basi tambua shida ni wewe katika namna inaingia na nani katika mahusino.....

As i argue here.....kuna mdada anapanga na jamaa wake kupata mtoto wa pili na wanapanga maisha and life is very good
Man umebonga kitu conscious sana aisee, hawa maviumbe wanajifanyaga wanamaind macare nini halafu baadae wanazingua wenyewe. Mi kuna mamzi yangu niliielewa vibaya nikaifanyia maniaje geto full ma flat screen mixer dstv, ma rice cooker freezer niaje Yan ile full. Still analalamika ye anamaind tu kila siku kila muda muwe mnabonga tu kwenye simu na kuchat hajui muda mwingine unasaka Doo au simply unakua off-mood. Ila akihitaji peringo anakucheki fasta mahewani, we mamnzi gani anaomba hela ya gesi leo unamtumia ya kutosha tena zaidi halafu baada ya wiki mbili anakupigia eti anaanza maperiod halafu hana doo umfanyie maflekecheton akanunue pedi kweli? Inamaana hakuanticipate kwamba hayo mamzunguko niaje yanaanza baada ya muda gani akasave mpunga? Mi ndomana naona Bora nikamate mamnzi nipige bwera tuzae lakini mahabari ya ndoa mzee unaweza ukaja juta maisha haya.
 
Back
Top Bottom