Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,957
- 93,938
Weewe...si atakaa wazi?
Hahahah sasa si ye mwenyewe anadai kawavulia nguo wanaume...ndio maana nikamshauri amalizie na hizo mbili zilizobaki
Weewe...si atakaa wazi?
kweli umethubutusio kuwaponda bali kuwadidimiza kabisa kwani wako wanaume ambao wana tabia mbovu kabisa wew janaume zima kazi umekalia umbeya una kitu cha kufanya unatoa mambo ya lady huku na kumpelekea mume wake huoni hunaharibu ndoa za watu wameniuzi ndo mana nimeamua kuwadidimiiza na kuwapondaponda na kuwasagasaga kabisa kwa tabia yao hiyo
Haya nimekuelewa...
Hahahah sasa si ye mwenyewe anadai kawavulia nguo wanaume...ndio maana nikamshauri amalizie na hizo mbili zilizobaki
chonde mume wa mtu huyo
mwanaume sio mmbea bali mwanaume ni mtafiti, wanawake ndio wambea yaani wachonganishi vibaya sana
umekuwa mpole siku hizi baba mkubwa?
kwani hujapitia shule ya awali na msingi wewe?
mwanaume sio mmbea bali mwanaume ni mtafiti, wanawake ndio wambea yaani wachonganishi vibaya sana
kweli umethubutu
Hahahah sasa si ye mwenyewe anadai kawavulia nguo wanaume...ndio maana nikamshauri amalizie na hizo mbili zilizobaki