Utajuaje upo Afrika?

Utajuaje upo Afrika?

Kaka una-contents sana.

I appreciate.
Mkifikia hatua ya kumtafuta mshenga kwamba sasa kaka nimekukubari nakukabidhi dada yangu huyu au huyu Manzi yangu naona atakufaa Wewe zaidi msisahau PM yangu ipo wazi na kwenye mbishe za kusimama mtu kati nipo vizuri sana
 
Mkifikia hatua ya kumtafuta mshenga kwamba sasa kaka nimekukubari nakukabidhi dada yangu huyu au huyu Manzi yangu naona atakufaa Wewe zaidi msisahau PM yangu ipo wazi na kwenye mbishe za kusimama mtu kati nipo vizuri sana
Unatafuta Basha wa kukuna hiko kijambio chako kwa nguvu sana.

Hayo mambo me siwezi
,mzabanga ushindwe wewe
 
Afrika ni atari kwa mtazamo wa projet , utasikia mtu ni watu, ivi tugeuze kwanza ili , watu ni.strees, na sio pesa
 
Viwanja viwanja viwanja….

Sumu ya panya kunguni viroboto

Ice cream ice cream.

Mchicha njegere mbaazi njugu chainizi.

(Siku nikijipata, nahama uswahilini mimi) 😒
Uende wapi? Uswahilini kutamu ww....ni kutembea ubavu ubavu na kuruka mitaro ya maji mpaka ufike kwako, ukifika sehemu pana miguno ya kimasihara unapunguza mwendo
 
Back
Top Bottom