GemMaster II
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 3,426
- 10,669
kumbe changamsha genge.....Oya halafu sikia Wewe bwamdogo huna cha kunipangia ushasikia madogo wasumbufu wasumbufu km nyinyi humu hua nawakata makonzi emu tulia kwanza nyambafu
Sore bulaza.
kumbe changamsha genge.....Oya halafu sikia Wewe bwamdogo huna cha kunipangia ushasikia madogo wasumbufu wasumbufu km nyinyi humu hua nawakata makonzi emu tulia kwanza nyambafu
Hivi unajua domino effect au nounas in chain of cause and effect au chain reaction au slippery effect?Asubutu
Naomba usinimalizie shibe yangu..Hivi unajua domino effect au nounas in chain of cause and effect au chain reaction au slippery effect?
Waliona wanafuga kijiwe cha matonya wanaume wambeaNdiyo niliona jana. Hivi ni kwanini?
Ndio afrika yetu 😂Nani yupo likizo sasa 😂😂😂
Huwezi elewaNaomba usinimalizie shibe yangu..
Shida nn vocha auUnatuma vocha za jero jero halafu unaficha namba tagri
Kweli hata mimi Dodoma sijawahi sikia hii kitu, given mtaa wangu ni pembeni ya mji.Only in DSM.. aaaah njegereeeee kwa ubwabwa 🤣🤣
Vibua, samaki wabichi dagaa mchele
Mwaka wa 5 huu nipo Arusha sijawahi kusikia hayo mambo.
Kuna siku nlikuwa naenda Kongowe nlipandia gari pale pale Roundabout kigogo, pale nliona abiria wengi walikua wanatoka Kwa Mwamposa...pale Kuna pastor kwenye gari akaanza kuhubirr akawa anakosoa kinachofanywa na Mwamposa dadeq wamama walipiga kelele mpaka pastor akashushwa.Niliwai panda daldala nikawa naenda chamazi nilicheka up nikatoa machozi mtu anaongea na mumewe wanagombana kwenye simu af yeye yupo kwenye daladala anaongea wala hajari tena anamstopisha konda acha kubwata
hahaha ninini hiyo?
Hazionekani namba za mwisho na mwanzo.Shida nn vocha au
Bora alikufa maana alikua anaenda kumteketeza mtu ambae hana hatia FibonacciHuyo jamaa alikufa kizembe sana.
Fibonacci sio alimchoma mpaka akaenda jera ......ndio alikuwa anataka alipe kisasi.Bora alikufa maana alikua anaenda kumteketeza mtu ambae hana hatia Fibonacci
Vyuma chakavu 🤣🤣hahaha ninini hiyo?
HahaUende wapi? Uswahilini kutamu ww....ni kutembea ubavu ubavu na kuruka mitaro ya maji mpaka ufike kwako, ukifika sehemu pana miguno ya kimasihara unapunguza mwendo
Hizi ni za majumbani kabisa katika familia zetu zile:I)Mzazi anazaa ili aje kusaidiwa uzeeni na mtoto
ii)"Amejiteka mwenyewe".
iii)ujanja ni kuwa na simu ya gharama Kama Iphone.
Ongezea
Mi maisha ya Uswazi nayapenda sana..... nikihamia sehemu natafuta mdada nastay nae hata wiki mbili hv afanye ujasusi kidogo baada ya hapo naishi Kwa amani na abcHaha
Siku moja nilipigwa tukio na jirani nusu nikale chabo.
Kweli uswazi noma.
Ule ukanda unavitukoKuna siku nlikuwa naenda Kongowe nlipandia gari pale pale Roundabout kigogo, pale nliona abiria wengi walikua wanatoka Kwa Mwamposa...pale Kuna pastor kwenye gari akaanza kuhubirr akawa anakosoa kinachofanywa na Mwamposa dadeq wamama walipiga kelele mpaka pastor akashushwa.
Watu ni wengi sana kuleUle ukanda unavituko