Utajiri wa Waarabu wa Tanzania

Kwetu Tanzania utajiri dhambi kubwa sana.

huyo mtoa mada ana Agenda yake ya siri nandio maana kataja Tabaka la watu AKINA MENGI NK WAO NI MARAIKA sikuzote Maraika hua Aibi ila anachukua nahata akiwa halipi Kodi hua ni haki yake akifanya MWARABU huyo atakua GAIDI...JANGIRI..MWIZI...NK.. kuna kitu ameficha kusema hapo...
 
huyo mtoa mada ana Agenda yake ya siri nandio maana kataja Tabaka la watu AKINA MENGI NK WAO NI MARAIKA sikuzote Maraika hua Aibi ila anachukua nahata akiwa halipi Kodi hua ni haki yake akifanya MWARABU huyo atakua GAIDI...JANGIRI..MWIZI...NK.. kuna kitu ameficha kusema hapo...

Hata mimi simuungi mkono muanzisha mada, lkn siungi mkono pia huko unakoelekea. Tungepaswa kujadili ujinga wa mwanzisha mada kuwashambulia watu lkn sio na sisi kuanza kuwashambulia wengine. Mengi amekujaje hapa?

Ondoa hiyo inferiority complexion kwenye mind yako. Inafanya kila kitu ukipange alphabetically hata kama ni numeric.

NB: Nachefuka sana na Kiswahili kibovu mkuu. Inaniumiza moyo kuona unaweza ku-type lkn lugha yako inakushinda. MARAIAKA ndio kitu gani kama sio madoa ya uchafu kwenye lugha yetu nzuri?

HUA = huwa
AIBI = haibi
ATAKUA = atakuwa

HUa ni njiwa, AIBI ni neno lisilokuwepo kwenye msamiati wa Kiswahili, ATAKUA nayo ni makosa ya kisarufi. Kuna tofauti kati ya KUA na KUWA.

Kukua ni kuongezeka na KUWA ni hali.

Tafadhali chukua hatua, kiwango chako cha uelewa wa lugha ni duni sana.
 
hili ndio tatizo la kutegemea misaada ya tende na mchele wa pilau toka kwa matajiri wa kiarabu wenye asili ya tanzania.matokeo yake ndio haya mnaanza kuwachukulia ni kama miungu watu na mfano wa kuigwa ktk jamii.acheni uvivu ndugu zetu.
 
Sijakuelewa kabisa.

Kwa hiyo we unasoma elimu ya biashara ili UELIMIKE tu na sio ili uitumie kufanya biashara? Hiki kweli ni kichekesho mkuu. Yaani unasugua benchi za shule miaka ili tu uwe umesoma na sio ili upate elimu na kuitumia.

Kwa hiyo na madaktari nao wanasoma udaktari ili waelimike lkn sio ili wawe wafanya biashara?

Unasema kufaidika na elimu (hapo kwenye red). Sasa unafaidika nini kama huitumiii? Una Bachelor ya Business Administration lkn huitumii kusimamia biashara zako umekaa kusubiri NBC wakuajiri, huko ndio kkufaidika mkuu? Mawazo mgando, tena janga kwa taifa mkuu

Maendeleo yote kwa ujumla kitafiti na weledi: Sina hakika kama unajua ulichoandika au uliandika tu ili na wewe uwe umetoa maoni. Maendeleo gani yanakuja kwa kuwa watu wamesoma? Mkuu, kusoma peke yake haitoshi. Ili tuendelee tunahitaji wasomi watumie taaluma zao kwa nguvu ndio ufanisi upatikane.

Tanzania ina biashara nyingi ambazo zinafanywa kwa kubangaiza na watu wasio na elimu ya biashara. Biashara za namna hii zinakosa tija kwa wenye nazo kukosa elimu ya biashara. Kama wewe unaamini unasoma biashara ili tu UENDELEZE FANI, basi sioni sababu ya kusoma, au sijakuelewa sehemu may be.

By the way, mwanzisha mada ameuliza swali la msingi japo siungi mkono jealous zake. Ukiona umekesha madarasani na hutumii output yake kuishi basi hujaelimika bado. Jenga picha unajifunza kupiga piano miaka 6 halafu unafuzu na kutulia nyumbani badala ya kujiunga na kwaya au bendi

Huu uzi ni wa zamani mpaka nilishasahau kama niliwahi kuandika kitu kama hicho.
nadhani hujanielewa... Na hukuelewa mantiki ya mchango wangu. kwakuwa hunijui na wala hujui nafanya nini maishani, itakuwa rahisi sana kutoa mtazamo wako kwa upeo wako wa kutonijua kifikra.

Si kila mtu anapaswa kuwa mfanyabiashara au muwekezaji. Kila mtu ana uchaguzi binafsi wa muendelezo wa taaluma yake. Kwani hujawahi kuona wamiliki wa Hospitali hawajasoma Hizi elimu zetu za kimitaala na hawana hata BA/MBA na wameajiri madaktari bingwa na wapasuaji wakubwa duniani?
Unamfahamu Sir Richard Branson? (aliyeanzisha Virgin) huyu anamiliki Ndege, Treni, Kampuni Ya Muziki, Space tourism company, Cable TV nk, na hata high school hajamaliza... Lakini waliosoma ili waelimike wana MBA na PHD zao wameajiriwa katika kampuni zake na Mambo yanakwenda Kiweledi na Tafiti... Biashara Sio TU Elimu ya Biashara Mkuu... na kumiliki empire katika ulimwengu wa biashara hakuhitaji elimu yeyote ya kimitaala... Ni Kujituma na Kujifunza Basics tu za kuendesha Biashara....Elimu sio mpaka SHULE/DEGREE nk... Knowledge is What remains in your Brain After Learning.... Kwani Watoto wanasoma SHULE Gani ya Kuwafundisha Kuongea lugha mbali mbali? Si wanatusikiliza wazazi Then wanalearn Na elimu inabaki vichwani mwao?
Mfano Mdogo tu, Mimi Ni Graphics Designer Na Sijasoma SHule yeyote ya Graphics, Sina Diploma wala Degree wala cheti... Ni Youtube Tu na Kusoma vitabu na journals mbali mbali kumenifikisha nilipo... Na Kwakuwa Nimeamua Kujiajiri, hakuna ninapoulizwa Cheti na Mambo yangu kikazi yanaenda poa sana...Tena Poa kuliko waliosoma na kuajiriwa kwenye media companies mbali mbali...
Unamjua Sir Allan Suger??? Anayeendesha Kipindi cha apprentice? Aliacha SHule Akiwa na Miaka 16 na sasa Hv ni Bilionea Wa POUNDS.... Unamjua P Didy??? Alidrop out High School na sasa hv ana Music Empire na Fashion Mogul.....
Cha Muhimu Katika Biashara Sio MBA/BA/BSc nk... Unaweza kuwa na Degree na ukashindwa kazi na apprentice aliyeishia sekondari....
Kwani Bakhresa amesoma Wapi vile???

ELIMU SI KWA AJILI YA BIASHARA... Bado nina Msimamo wangu ule ule "Tunasoma Ili TUELIMIKE, TUFAIDIKE NA ELIMU, NA TUENDELEZE TAALUMA na MAENDELEO YOTE KWA UJUMLA KITAFITI NA WELEDI... Sio Ili Tuwe wafanya Biashara."

NB: FAIDA ZA ELIMU SIO TU ZITULETEE PESA NA MAENDELEO YA KIBIASHARA....Unapoelimika kuhusu utunzaji wa mazingira na ukafata yaliyo ndani ya elimu ile?? Umefanya biashara gani hapo? na umepata pesa ngapi?
Unapokuwa na elimu ya afya, ukajua ule nini, ukae kwenye hewa gani, uishi kwa mazingira gani? hapo biashara inahusikaje?
Unapoelimika kuhusu usalama wa barabarani na ukafata taratibu zote za barabara, umefanya biashara gani? au umepata pesa ngapi??? Sio kila kitu lazima kisemwe bali mjumuiko wa maana ndio una tija katika tuyaongeayo...
Niliposema Tufaidike na Elimu nilimaanisha Kuisoma, kuielewa, kuitumia na kuiendeleza... Hizo ndio faida za elimu na maisha ya wasomi...
Kufanikiwa si tu kipesa... Mimi binafsi nimefanikiwa mengi sana maishani ikiwepo Kupata Furaha na Faraja katika maisha yangu ya kila siku...Je Hapo nimetumia pesa au elimu ya mitaala???

Walioajiriwa Sio kuwa wana mawazo Mgando, bali ni chaguzi wamezifanya wenyewe kwa matakwa yako... elewa kuna watu wanafanya kila jitihada ili wapande vyeo kazini, hayo ndio malengo yao na kimantiki wana furaha na chaguzi zao... na kuna wanaofanya kila wawezalo kuweza kupata vipato kwa njia zozote zile (za haramu na Halali)... Kifupi Binadamu tuko tofauti sana...Kila mmoja ana maamuzi yake... Usitake kulazimisha watu wote wasome biashara na waitumie kuendesha biashara zao... Kuna wengine wako happy kufanya kazi katika kampuni zilizofanikiwa kama google na Microsoft... Hivi kila mtangazaji angeamua kutafuta funds aweze kufungua radio station yake... tungekuwa na radio ngapi????
Naweza nisimalize kuandika hapa... Ngoja tu nikuache mkuu.... Utakuja kunielewa siku moja.
 
Kwangu tatizo ni pale serikali inaposema ni masikini wakati hawa waarabu kwa asilimia flani wamechangia na wanachangia umasikini huo kwa kushirikiana na viongozi

Rais yuko njian kila siku akiomba huku na kule, akijinasibu inchi ni masikini sana wageni wanabebelea kila kitu mpaka twiga wazimawazima hukohuko arabuni????

- Maliasili na madin ilibidi iwefaida kwa watanzania wote, serikali ilitakiwa kudhibiti aina zote za uwindaji haramu na ule uchimbaji madini haramu, kuhakikisha mapato yote sahihi yanawafaidi watanzania kupata Elimu bora, afya bora na miundombinu iliyonatija kwa wote.

Kimtazamo mtu yeyote aliyejipatia mali kwa njia haramu ni mwizi na tofauti yake na wale walioficha fedha nje ni kama 50% kwasababu hawa wamewekeza hapahapa na hivyo kiasi flani wameongeza ajira kwa watanzani.

Kunawatu wanapiga kelele na mfumo kristo (Dhana mufilisi ya kufikrika) lakini hapa wanafanya utetezi kwa hawa waarabu ambao ni wezi! fedha hiyo ingetumika vema serikali ingeweza kuboresha mashule na hospitali. Lakini kwasababu waliokwiba meno yatembo wetu, madini nk wamejimilikisha na serikali kubaki hoi bin taaban bila fedha.

Majambazi wa EPA, Deep Green, Kagoda, kiwira, meremeta, nk na hawa waarabu nikama sawa maana wote ni wezi
 
Huu uzi ni wa zamani mpaka nilishasahau kama niliwahi kuandika kitu kama hicho.
nadhani hujanielewa... Na hukuelewa mantiki ya mchango wangu. kwakuwa hunijui na wala hujui nafanya nini maishani, itakuwa rahisi sana kutoa mtazamo wako kwa upeo wako wa kutonijua kifikra.

Si kila mtu anapaswa kuwa mfanyabiashara au muwekezaji. Kila mtu ana uchaguzi binafsi wa muendelezo wa taaluma yake. Kwani hujawahi kuona wamiliki wa Hospitali hawajasoma Hizi elimu zetu za kimitaala na hawana hata BA/MBA na wameajiri madaktari bingwa na wapasuaji wakubwa duniani?
Unamfahamu Sir Richard Branson? (aliyeanzisha Virgin) huyu anamiliki Ndege, Treni, Kampuni Ya Muziki, Space tourism company, Cable TV nk, na hata high school hajamaliza... Lakini waliosoma ili waelimike wana MBA na PHD zao wameajiriwa katika kampuni zake na Mambo yanakwenda Kiweledi na Tafiti... Biashara Sio TU Elimu ya Biashara Mkuu... na kumiliki empire katika ulimwengu wa biashara hakuhitaji elimu yeyote ya kimitaala... Ni Kujituma na Kujifunza Basics tu za kuendesha Biashara....Elimu sio mpaka SHULE/DEGREE nk... Knowledge is What remains in your Brain After Learning.... Kwani Watoto wanasoma SHULE Gani ya Kuwafundisha Kuongea lugha mbali mbali? Si wanatusikiliza wazazi Then wanalearn Na elimu inabaki vichwani mwao?
Mfano Mdogo tu, Mimi Ni Graphics Designer Na Sijasoma SHule yeyote ya Graphics, Sina Diploma wala Degree wala cheti... Ni Youtube Tu na Kusoma vitabu na journals mbali mbali kumenifikisha nilipo... Na Kwakuwa Nimeamua Kujiajiri, hakuna ninapoulizwa Cheti na Mambo yangu kikazi yanaenda poa sana...Tena Poa kuliko waliosoma na kuajiriwa kwenye media companies mbali mbali...
Unamjua Sir Allan Suger??? Anayeendesha Kipindi cha apprentice? Aliacha SHule Akiwa na Miaka 16 na sasa Hv ni Bilionea Wa POUNDS.... Unamjua P Didy??? Alidrop out High School na sasa hv ana Music Empire na Fashion Mogul.....
Cha Muhimu Katika Biashara Sio MBA/BA/BSc nk... Unaweza kuwa na Degree na ukashindwa kazi na apprentice aliyeishia sekondari....
Kwani Bakhresa amesoma Wapi vile???

ELIMU SI KWA AJILI YA BIASHARA... Bado nina Msimamo wangu ule ule "Tunasoma Ili TUELIMIKE, TUFAIDIKE NA ELIMU, NA TUENDELEZE TAALUMA na MAENDELEO YOTE KWA UJUMLA KITAFITI NA WELEDI... Sio Ili Tuwe wafanya Biashara."

NB: FAIDA ZA ELIMU SIO TU ZITULETEE PESA NA MAENDELEO YA KIBIASHARA....Unapoelimika kuhusu utunzaji wa mazingira na ukafata yaliyo ndani ya elimu ile?? Umefanya biashara gani hapo? na umepata pesa ngapi?
Unapokuwa na elimu ya afya, ukajua ule nini, ukae kwenye hewa gani, uishi kwa mazingira gani? hapo biashara inahusikaje?
Unapoelimika kuhusu usalama wa barabarani na ukafata taratibu zote za barabara, umefanya biashara gani? au umepata pesa ngapi??? Sio kila kitu lazima kisemwe bali mjumuiko wa maana ndio una tija katika tuyaongeayo...
Niliposema Tufaidike na Elimu nilimaanisha Kuisoma, kuielewa, kuitumia na kuiendeleza... Hizo ndio faida za elimu na maisha ya wasomi...
Kufanikiwa si tu kipesa... Mimi binafsi nimefanikiwa mengi sana maishani ikiwepo Kupata Furaha na Faraja katika maisha yangu ya kila siku...Je Hapo nimetumia pesa au elimu ya mitaala???

Walioajiriwa Sio kuwa wana mawazo Mgando, bali ni chaguzi wamezifanya wenyewe kwa matakwa yako... elewa kuna watu wanafanya kila jitihada ili wapande vyeo kazini, hayo ndio malengo yao na kimantiki wana furaha na chaguzi zao... na kuna wanaofanya kila wawezalo kuweza kupata vipato kwa njia zozote zile (za haramu na Halali)... Kifupi Binadamu tuko tofauti sana...Kila mmoja ana maamuzi yake... Usitake kulazimisha watu wote wasome biashara na waitumie kuendesha biashara zao... Kuna wengine wako happy kufanya kazi katika kampuni zilizofanikiwa kama google na Microsoft... Hivi kila mtangazaji angeamua kutafuta funds aweze kufungua radio station yake... tungekuwa na radio ngapi????
Naweza nisimalize kuandika hapa... Ngoja tu nikuache mkuu.... Utakuja kunielewa siku moja.

Yapo mambo ambayo naweza kuja kukuelewa lakini si kuniambia kuwa elimu haina nafasi katika tuyafanyayo eti tu kwa sababu umefanikiwa kubangaiza designing bila kwenda darasani.

Mkuu @Dolytine, mimi sikusema elimu ni ya biashara tu. Na biashara si ya Bakhresa tu, bali hata kulima ni biashara. Nilichokuwa nazungumzia ni umuhimu wa elimu katika yale tuyafanyayo, sasa nilichokosoa kwenye maoni yako kuwa HATUSOMI ILI TUWE WAFANYA BIASHARA.

Kumbuka kuwa ufahamu ndio uletao ufanisi, na elimu ndio ufahamu.
Sasa kama elimu ndio ufahamu, swali la muanzisha mada lilikuwa; Kwa nini wenye ufahamu hawafanyi biashara?

Kama wasio na elimu ya biashara wanafanya biashara, kwa nini wasomi hawafanyi biashara, hilo ndio lilikuwa swali la msingi na wewe jibu lako likawa HATUSOMI ILI TUFANYE BIASHARA. Ok then, tunasoma ili tufanye nini? Ndio ukasema ILI TUELIMIKE, TUENDELEZE FANI n.k

Kama tunapoenda darasani lengo ni kupatiwa Enterpenuer Mindset, inakuwaje tunapotoka humo hatujihusishi na hayo in practise?

Kamwe sitakuja kuamini kuwa tunasoma just for the sake of kusoma. Mimi binafsi, next year kama mambo yangu yanakwenda sawa nakwenda Umtata kusoma Animal Husbandry, lengo langu mimi sio kusoma tu just for the sake of kusoma kama ilivyo kanuni yako, bali mimi naenda kusoma ili niwe mfanyabiashara wa mazao ya mifugo. Hiyo ndio tofauti yetu. Wewe unasema unafanya graphics bila kusoma, lkn kwangu mimi ni hatari kwa kuwa utakuwa ni wazimu kwangu kununua ndama kwa sh 600,000 halafu afe kwa kuwa nimemfuga kwa kubahatisha. Hapo ndio ninapoona application ya elimu kwenye biashara nayotaka kufanya
 
yani muanzisha mada ni ma**ko kweli bakhressa na meno ya tembo ni wapi na wapi huyu muunguja kaja dar baada ya kuuza vyungu na kushona saana kobadhi pale mtendeni unguja huna lolote wivu tu na chuki zako wa waarabu na waislam bora hata ungesema oil com walikuwa wakiishi huko ngerengere morogoro marehemu baba yao aliwahi kudeal lakini sokoine aliwafilisi kabisa 1984 wakati wa O C D(operationcrack down)
 
Bakhresa ni jitihada binafsi!

Wangapi wanaanzia kuuza urojo na kuishia kuwa mabilionea? Mpe his due credits usimbania ame struggle!

mpuuzi huyo kokolo....hivi hajui kama bakhressa amewahi kufanya kazi ya ufundi viatu? yeye anaweza kufanya hiyo kazi??

well said mkuu....Bakhressa ni jitihada binafsi!!!
 
mtabisha sana lkn huo ndiyo ukweli wenyewe meno ya tembo, faru na tunu nyingine za wanyama zimewainua sana.
Ingawa nasi hatujibidiishi sana ktk kazi, na hata ukifanifanikiwa usiposapoti chama tawala kwa pesa u are in trouble kuna watu yamewakuta haya msibishe!!!!
 
Doltyne, Mwana Mtoka Pabaya,

..naona wote mko sawa.

..sikubaliana na madai ya Doltyne anapodai kwamba "hajasoma."

..elimu na ujuzi wa Graphics design anayo, ila ameipata kwa njia ambayo ni "informal."
 
Last edited by a moderator:
Doltyne, Mwana Mtoka Pabaya,

..naona wote mko sawa.

..sikubaliana na madai ya Doltyne anapodai kwamba "hajasoma."

..elimu na ujuzi wa Graphics design anayo, ila ameipata kwa njia ambayo ni "informal."
Ofcourse nimesoma, elimu formal mpaka degree (bsc business information system) katika chuo kikubwa sana duniani (cardiff uni).
Nadhani wengi sana wanahusisha elimu na vyeti... Hapo ndio kuna matatizo. Si kila aliye na vyeti basi kasoma na kaelimika.... Hivi ni wangapi wana degree na hawakumbuki hata majina ya masomo waliyosoma undergraduate kwa mlolongo wa orodha.???
Ukimuuliza mwaka wa kwanza ulisoma masomo mangapi semister ya pili na ayataje atatoa macho kama hajawahi hata kukanyaga chuo... Sasa hawa kweli ndio wasomi tunaowategemea? LoL
 
Last edited by a moderator:
Yapo mambo ambayo naweza kuja kukuelewa lakini si kuniambia kuwa elimu haina nafasi katika tuyafanyayo eti tu kwa sababu umefanoikiwa kubangaiza designing bila kwenda darasani.

Mkuu @Dolytine, mimi sikusema elimu ni ya biashara tu. Na biashara si ya Bakhresa tu, bali hata kulima ni biashara. Nilichokuwa nazungumzia ni umuhimu wa elimu katika yale tuyafanyayo, sasa nilichokosoa kwenye maoni yako kuwa HATUSOMI ILI TUWE WAFANYA BIASHARA.

Kumbuka kuwa ufahamu ndio uletao ufanisi, na elimu ndio ufahamu.
Sasa kama elimu ndio ufahamu, swali la muanzisha mada lilikuwa; Kwa nini wenye ufahamu hawafanyi biashara?

Kama wasio na elimu ya biashara wanafanya biashara, kwa nini wasomi hawafanyi biashara, hilo ndio lilikuwa swali la msingi na wewe jibu lako likawa HATUSOMI ILI TUFANYE BIASHARA. Ok then, tunasoma ili tufanye nini? Ndio ukasema ILI TUELIMIKE, TUENDELEZE FANI n.k

Kama tunapoenda darasani lengo ni kupatiwa Enterpenuer Mindset, inakuwaje tunapotoka humo hatujihusishi na hayo in practise?

Kamwe sitakuja kuamini kuwa tunasoma just for the sake of kusoma. Mimi binafsi, next year kama mambo yangu yanakwenda sawa nakwenda Umtata kusoma Animal Husbandry, lengo langu mimi sio kusoma tu just for the sake of kusoma kama ilivyo kanuni yako, bali mimi naenda kusoma ili niwe mfanyabiashara wa mazao ya mifugo. Hiyo ndio tofauti yetu. Wewe unasema unafanya graphics bila kusoma, lkn kwangu mimi ni hatari kwa kuwa utakuwa ni wazimu kwangu kununua ndama kwa sh 600,000 halafu afe kwa kuwa nimemfuga kwa kubahatisha. Hapo ndio ninapoona application ya elimu kwenye biashara nayotaka kufanya
Nakutakia kila la heri mkuu. Endeleza elimu na ujasiriamali.
Nadhani sote tunamaanisha kitu kimoja japo kila mtu ameeleza kwa mtazamo na lugha tofauti.
 
Doltyne,

..in short, dunia imebadilika na kuna njia nyingi sana za kupata ujuzi na maarifa ktk fani mbalimbali.
 
Last edited by a moderator:
Sasa watanzania acheni hizi. Sifa kubwa ya mfanya biashara ni risk taking sio kuuza meno ya tembo.
 
Kuna mzungu aliwai sema Tz is the only country someone comes as a poor then after sometimes he leaves Tz as a rich person,thereafter he calls his relatives to come and harvest the riches of Tz.
Ofcourse nailaumu serikali yetu kwa kutokuwa makini na maliasiri zetu hasa Mbuga ya Ruaha na Selous kuna watu mpaka leo wanau hao wanyama
Hujakatazwa mkuu. Hata wewe ukiona huna kitu arosto, basi do whatever it takes na wewe uzikamate. La sivyo utaishia kulalama tu hapa. Kanunue bunduki, tafuta vijana wa kazi ingieni mkaue tembo na vifaru ili muuze meno na mpate pesa. Hakuna hata siku moja dunia hii utafundishwa kutafuta fedha. Ni juhudi zako. So go get it!!
 
acha wivu piga kazi nawe uwe kama wao... fikiria biashara ya kuanza ujiajiri kisha tengeneza pesa
 
Back
Top Bottom