TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 25,017
- 11,413
@Ritz... ni kweli uhsahidi ni muhimu sana kwenye hii matter, lakini je unadhani ni kwanini yeye mwenyewe hakanushi?? au je unadhani Mtikila hajawahi kumuita rostam fisadi??
Na kama unaishi bongo huhitaji ushahidi wa magazetini... things are there to be seen, so kama ridhiwani ni fisadi, yataonekana, ingawa bado naamini dogo kuna siku will come clean
very bad these days, maana information imekua so free sio kama enzi za mwalimu
Na kama unaishi bongo huhitaji ushahidi wa magazetini... things are there to be seen, so kama ridhiwani ni fisadi, yataonekana, ingawa bado naamini dogo kuna siku will come clean
very bad these days, maana information imekua so free sio kama enzi za mwalimu