Giddy Mangi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 831
- 184
Jakaya nakuomba na ninamwomba Mungu pia uweze kupata ufahamu wa kuona kesho yako kwani watanzania watakupitisha njia moja mara mbili.Ninapata hofu siku utakapo HASIWA kama mbuzi dume angalau upate uchungu ambao labda ndio utakaoufananisha na machungu iliyo mioyoni mwa Watanzania dhidi yako.