Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

Uchambuzi wa stori hadi hapa tulipofikia


UMUGHAKA Kukosea masharti ilikuwa planned,....hivi ndivyo huu utajiri unavyoenda / unapumbazwa then unakosea masharti. Ili uingie kwenye mfumo then mfanye collective bargaining upya


Hata ujitahidi vipi kujifanya innocent wa kufuata masharti .......lazima Kuna siku utajaa kwenye mfumo


UMUGHAKA ilikuwa lazima akosee masharti ili price itimizwe

References from different movies

shenala the chronicles & Merlin

."....for every magic there is price to pay"
 
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 22


Aliendelea "Nakuuliza wewe,mbona upo kimya!?"


Mimi "Kaka kwani kuna nini?"

Ally Mpemba "Hujui ulichokifanya?"

Mimi "Kaka nipe nusu saa tuongee maana sipo salama kuzungumza!"

Baada ya kumwambia vile akawa amekata simu kwa jazba na kufyonza,nilitaka angalau nitoke nje niende hata kwenye gari nikazungumze na kaka Ally kwakuwa hadi muda huo sikuwa nimelielewa kosa langu hasa lilikuwa ni nini!.Niliamka nikaelekea kuoga kisha nikawa nimevaa vizuri nijiandae kutoka lakini Rehema nae akawa amesema nimsubiri akaoge kisha nimsindikize aondoke.Baada ya Rehema kumaliza kuoga alivaa nguo yake nzuri ya kitenge kisha tukawa tumetoka nje na kuondoka,sasa tulipofika kwenye gari,Rehema alishika kitasa cha mlango wa Mbele akawa amejiandaa kuufungua na kuingia ndani nilikumbuka maneno ya Ally Mpemba na nikamuwahi haraka nikawa nimemwambia asikae kiti cha mbele kwakuwa ni kibovu lakini ni kama hakunielewa na alidhani uenda ninamkataza kukaa mbele kwakuwa sitaki wanawake zangu wamuone.


Rehema "Wewe sema tu hutaki wanawake zako wanaione huna lolote"

Mimi "Kweli baby hicho kiti cha mbele huwa ni kibovu"

Rehema "Nshakwambia wewe sema hutaki wanawake zako wanione tu basi inatosha,mbona jana hukuniambia hivyo na tumekuja wote nikiwa nimekaa mbele! au kwasababu ilikuwa usiku ?"

Baada ya kuniambia jana usiku alikaa mbele ndipo nilizidi kuchanganyikiwa kabisa,sikutaka kumuonyesha nimeshituka ili asije kunishangaa,kiukweli hakuna siku niliyo ichukia pombe kama siku hiyo,kumbe baada ya kunywa bia kadhaa pale Tabata ukichanganya na kuchanganyikiwa kwa penzi jipya nikawa nimejisahau kabisa kwamba Ally Mpemba aliwahi kuniambia asije akatokea mtu yeyote akakaa kwenye siti ya mbele ya ile gari isipokuwa ndugu zake,sasa baada ya Rehema kuwa ameniambia vile ikabidi nimruhusu tu aendelee kukikalia kile kiti ili apunguze wivu kwakuwa kama ni kosa lilikuwa lishatokea.

Mimi "Basi baby kaa ili usinifikirie vibaya"

Rehema "Akuu wewe twende mi nitakaa nyuma nisije kukuletea shida kwa wanawake zako"


Mimi "Hapana baby kaa mbele twende maana ushanzaa nifikiria vibaya"

Baada ya kumbembeleza kidogo Rehema alifungua mlango wa mbele na kuingia ndani,niliwasha gari na kuondoka kuelekea Ubungo kumrudisha Rehema kwao;wakati tukiwa njiani nilikuwa nikimwambia kile kiti anakisikiaje ili kuendelea kutetea pointi yangu ya ubovu wa kiti asiendelee kunifikiria vibaya.

Mimi "Hausikii hicho kiti kama kinacheza?"

Rehema "Hapana,mbona mimi sisikiii?"

Mimi "Duuuu!..,nikishika kwa mfano breki mi naona kabisa kinaenda mbele na nikiachia kinakuwa kama kinarudi nyuma,wewe huwezi kuona "


Mimi "Nadhani baadae itanibidi niipeleke gereji warekebishe"

Maneno yote hayo ilikuwa ni kumfariji Rehema tu ili asinifikirie vibaya kuhusu maneno yangu yale ya uongo.Baada ya kumfikisha Rehema pale Ubungo nilimuachia na hela kiasi kwa ajili ya matumizi yake ya kawaida kisha nikaondoka zangu kuelekea Magomeni kwa Ally Mpemba.Nipofika nilifungua geti na kuiingiza ile gari ndani,nilishukaka nikaelekea kuufungua mlango na kuingia ndani ya nyumba.

Vile vyakula vya Maya vilikuwa pale sebuleni kama kawaida kwakuwa usiku ule hakuwa amekula na mimi sikutaka kabisa kuvitoa nikawa nimeacha palepale,nilikaa kwenye sofa pale sebuleni nikawa ninatafakari kwa kina jambo ambalo nilikuwa nimelifanya na kiukweli nilijuta sana na niliona kabisa naweza kukosana na Ally Mpemba hivi hivi!.Nijitahidi sana kuilazimisha furaha lakini moyoni mwangu tayari kulikuwa na majonzi makubwa mno.Baada ya masaa mawili kupita nikiwa naendelea kutafakari yaliyotokea,Ally Mpemba akanipigia simu tena na bado alionekana kukasirishwa na kukerwa kwa kile kitendo,kiukweli jamaa sikuwahi kumuona akiwa mkali kiasi kile.

Ally Mpemba "Nikwambia tangu mwanzo uwe makini lakini naona unataka kunitia kwenye umasikini,mimi siwezi kukubali kaka hiyo itakugharimu sana"

Mimi "Nisamehe sana kaka najuta kwa nilichokifanya"

Ally Mpemba "Mimi nikusamehe kama nani?,uliyemkosea yupo na ndiye mwenye mali unapaswa kumuomba msamaha"

Aliendelea "Umenikwaza sana Master pamoja na kukuamini lakini kumbe wataka kunirudisha kwenye umasikinik,aiseee wewe ni mtu mbaya sana"

Mimi "Kaka nilipitiwa tu nisamehe"

Ally Mpemba "Hebu kamuombe msamaha haraka kaka usije niletea matatizo!"

Kwakuwa nilifahamu kabisa kile kitendo nilichokuwa nimekifanya kilikuwa kimemkwaza Maya,moja kwa moja baada ya kuzungumza na Ally,nilichukua fungua nikausogelea mlango wa chumba cha Maya kisha nikaufungua na kuingia ndani,nilipoingia ndani sikutaka kabisa kuufunga ule mlango kwani niliogopa na nikaona ishu ikiwa ngumu basi mimi ni kutoka nduki!.

Nilipofika ndani nilianza kuongea kwa sauti ya upole na majuto ili kuonyesha nimefanya kosa na nalijutia.

Mimi "Nimekuja mbele yako Maya nakuomba unisamehe sitorudia tena!"

Mimi "Maya nakuomba unisikie na unisamehe kwa kitendo nilichokifanya na sitorudia tena"

Wakati naongea hivyo lile kabati ambalo ni kama mlango wa kuingilia kwenye lile shimo alimokuwa anakaa Maya lilikuwa limefungwa na ndipo nikaanza kusikia sauti za kilio cha kwikwi,kile kilio kilianza taratibu lakini kadiri dakika zilivyosogea ndipo nacho kilikuwa kikiongezeka.Mimi sikukata tamaa hata kidogo,niliendelea kumuomba msamaha lakini bado sikuona majibu.
Baada ya muda niliona ule mlango wa kabati ukifunguliwa na Maya akawa ametoka,kiukweli alikuwa amekasirika sana tofauti na mwanzo nilivyowahi kumuona,sikuwahi kumuona akiwa amejaa sumu kiasi kile huku machozi yakiwa yanamtoka,alisimama akawa ananiangalia huku akitetemeka kwa nguvu na kutoa sauti kama Nguruwe.Kile kitendo kiliniogopesha sana na nikaona naweza kupoteza maisha kimzaha mzaha,niliondoka kwenye kile chumba nikawa nimekimbilia sebuleni kwenye mlango wa kutokea nje,nilisimama pale mlangoni nikiendelea kuangalia hali itakuwaje na kama hali ingekuwa mbaya zaidi nilipanga kutoka nduki kuelekea nje.

Nikiwa nimesimama pale mlangoni Ally Mpemba akanipigia simu tena.

Ally Mpemba "Ushamuomba msamaha?"

Mimi "Ndiyo kaka nishamuomba msamaha lakini naona hajibu yupo kimya?"

Ally Mpemba "Yupoje?"

Mimi "Yupo vile vile tu kaka uchi"

Ally Mpemba "Nachotaka kufahamu yeye yupoje?,analia au anacheka?"


Mimi "Analia tu kaka na kutetemeka!"

Ally Mpemba "Hebu funga hiyo nyumba na uondoke haraka kuelekea Unguja,naomba ufanye haraka vinginevyo sitokuwa na huruma na wewe!"

Mimi "Kaka Unguja au Chumbe?"

Ally Mpemba "Usiendelee kupoteza muda hapo nimekwambia funga nyumba uondoke kwenda Unguja kwa Sheikh"

Mimi "Sawa kaka naondoka"



Ally Mpemba akawa amekata simu kwa jazba sana,Kiukweli jamaa alikuwa amechukia sana na ndipo sasa niliiona sura halisi ya Ally Mpemba akiwa amechukia namna anavyozungumza kwa ukali,mara zote nilikuwa nikimchukulia poa kumbe haikuwa kama nilivyodhani,niliondoka nikawa nimeenda kupanda daladala zilizokuwa zinaelekea posta maeneo ya bandari ili niwahi kuelekea Unguja kama alivyokuwa ameniambia Ally.Nilifanikiwa kuondoka mida ya saa 9 alasiri kuelekea Unguja ambapo baada ya kufikia kuna jamaa nilikuta ananisubiri na ndiye aliyeniepeleka hadi Chumbe kwa mzee yule ambaye nimewahi kwenda kwake nikiwa na Ally Mpemba.

Baada ya kufika pale hatukumkuta na jamaa yeye akawa ameniacha akaondoka,kuna mwanamke ambaye alikuwa mke wa mzee akawa amesema ametoka na hivyo ikabidi nimsubiri hadi arejee.Yule mzee alirejea saa 1 usiku na baada ya kufika tu swali lake la kwanza ilikuwa ni kwanini niko pale bila uwepo wa Ally Mpemba.

Mimi "kaka Ally ndiye kaniambia nije kwako"

Mzee "Mambo ni matamu ila mnashindwa kufanya utamu kuendelea kuuzuia utamu"

Aliendelea "watu wa bara mwatumia nguvu sana mahali isipohitajika!"

Mimi niliendelea kukaa kimya huku nikimsikiliza mzee akininanga kwa maneno ya kiswahili yasiyokuwa na chembe ya huruma.

Mzee "Mwenzio kajitahidi kutafuta mambo matamu nawe wataka mtia shubiri!"

Aliendelea "Haya wataka mie nikusaidie nini!"

Mimi "Kuna jambo limetokea mzee wangu ndipo baada ya kuwasiliana na Ally akaniambia nije kwako"

Mzee "Mie naelewa kila kitu weye ulichofanya,sasa hapa kwangu kuna mambo mawili,nsikize kwa makini,moja ni damu na mbili ni ufe wewe!"

Mimi "Sijakuelewa mzee tafadhali nieleweshe"

Mzee "Tangu lini watu wa bara mkaelewa!"

Aliendelea "Kuna mambo mawili weye uchague,moja utoe damu na mbili ufe weye!"

Mimi "Kufa hapana kwakweli,nitoe damu mzee wangu"

Mzee "Hupendi kufa na weye wafanya ujinga!"

Aliendelea "Haya nsikize kwa makini,huyo aliyesababisha haya inapaswa afe kwa kumwaga damu,sasa kuna dawa nitakupatia na nguo hivyo ukifika bara hakikisha unafanya kama nitakavyokueleza"

Mimi "Sawa mzee"

Usiku ule mzee alinichukua akawa amenipeleka kwenye nyumba moja ambayo hakukuwa na mtu ndani yake,tulivyofika hapo alichukua nguo ya ndani ya mwanamke (Chupi)ambayo ilikjwa mpya kabisa na ilikuwa ya rangi nyekundu,kisha akachukua kopo moja ambalo kulikuwa na unga fulani ambao sikuuelewa kisha akaniambia kwakuwa Mwanamke niliyekuwa naye usiku ndiye chanzo cha matazizo ni lazima yeye afe ili mimi nisalimike kwakuwa kosa lile halikuwa na mzaha hata kidogo,kimuonekano waweza kudhani kosa la kukaa siti ya mbele lilikuwa la kawaida kumbe haikuwa kama nilivyokuwa nimedhani.

Mzee "Shika hii!"

Niliichukua ile chupi nikawa nimeishika kama alivyokuwa amenitaka kufanya.

Mzee "Hii dawa utaipaka hivi,na ukishamaliza kuipaka utampelekea huyo mwanaizaya huu mzigo na uhakikishe anaupokea kwa mikono yake miwili usije mpa mtu mwingine kuipokea badala yake,ukifanya hivyo usije kunilaumu!"

Mimi "Sawa mzee"


Mzee "Hii chupi ataivaa na akishaivaa utanipa majibu"

Mimi "Sasa hawezi kuikataa?"

Mzee "Hawezi!,ukifika bara ingia duka lolote mnunulie chupi nyingine kama zawadi na umpelekee kwa pamoja ikiwemo na hii"

Mimi "Itamtosha kweli?"

Mzee "Hiki ndicho kipimo chake na hakikisha utakazonunua zilingane saizi na hii"

Mimi "Sawa ,nimekuelewa mzee"

Baada ya maelekezo yale mzee alinitaka niwe makini tena siku nyingine kwenye harakati kwasababu mambo huwa si mepesi kama nilivyodhani,nililala pale kwake na Asubuhi mida ya saa 2 niliodnoka kuelekea bandarini kwa ajili ya kuianza safari ya kuelekea Dar es salaam.

Nilipofika Dae es salaam nilielekea mitaa ya Kkoo kununua chupi nyingine kama zuga ili nije nimpelekee Rehema kama zawadi,chupi nilizonunua zilikuwa za rangi tofauti na zilikuwa jumla tano na hakukuwa na ugumu kwasababu nilipoingia kwenye lile duka nilimuonyesha ile chupi nyekundu na nikawa namwambia ni size ya mpenzi wangu hivyo anipatie size kama hiyo.


Itaendelea..................
@Demi
 
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 22


Aliendelea "Nakuuliza wewe,mbona upo kimya!?"


Mimi "Kaka kwani kuna nini?"

Ally Mpemba "Hujui ulichokifanya?"

Mimi "Kaka nipe nusu saa tuongee maana sipo salama kuzungumza!"

Baada ya kumwambia vile akawa amekata simu kwa jazba na kufyonza,nilitaka angalau nitoke nje niende hata kwenye gari nikazungumze na kaka Ally kwakuwa hadi muda huo sikuwa nimelielewa kosa langu hasa lilikuwa ni nini!.Niliamka nikaelekea kuoga kisha nikawa nimevaa vizuri nijiandae kutoka lakini Rehema nae akawa amesema nimsubiri akaoge kisha nimsindikize aondoke.Baada ya Rehema kumaliza kuoga alivaa nguo yake nzuri ya kitenge kisha tukawa tumetoka nje na kuondoka,sasa tulipofika kwenye gari,Rehema alishika kitasa cha mlango wa Mbele akawa amejiandaa kuufungua na kuingia ndani nilikumbuka maneno ya Ally Mpemba na nikamuwahi haraka nikawa nimemwambia asikae kiti cha mbele kwakuwa ni kibovu lakini ni kama hakunielewa na alidhani uenda ninamkataza kukaa mbele kwakuwa sitaki wanawake zangu wamuone.


Rehema "Wewe sema tu hutaki wanawake zako wanaione huna lolote"

Mimi "Kweli baby hicho kiti cha mbele huwa ni kibovu"

Rehema "Nshakwambia wewe sema hutaki wanawake zako wanione tu basi inatosha,mbona jana hukuniambia hivyo na tumekuja wote nikiwa nimekaa mbele! au kwasababu ilikuwa usiku ?"

Baada ya kuniambia jana usiku alikaa mbele ndipo nilizidi kuchanganyikiwa kabisa,sikutaka kumuonyesha nimeshituka ili asije kunishangaa,kiukweli hakuna siku niliyo ichukia pombe kama siku hiyo,kumbe baada ya kunywa bia kadhaa pale Tabata ukichanganya na kuchanganyikiwa kwa penzi jipya nikawa nimejisahau kabisa kwamba Ally Mpemba aliwahi kuniambia asije akatokea mtu yeyote akakaa kwenye siti ya mbele ya ile gari isipokuwa ndugu zake,sasa baada ya Rehema kuwa ameniambia vile ikabidi nimruhusu tu aendelee kukikalia kile kiti ili apunguze wivu kwakuwa kama ni kosa lilikuwa lishatokea.

Mimi "Basi baby kaa ili usinifikirie vibaya"

Rehema "Akuu wewe twende mi nitakaa nyuma nisije kukuletea shida kwa wanawake zako"


Mimi "Hapana baby kaa mbele twende maana ushanzaa nifikiria vibaya"

Baada ya kumbembeleza kidogo Rehema alifungua mlango wa mbele na kuingia ndani,niliwasha gari na kuondoka kuelekea Ubungo kumrudisha Rehema kwao;wakati tukiwa njiani nilikuwa nikimwambia kile kiti anakisikiaje ili kuendelea kutetea pointi yangu ya ubovu wa kiti asiendelee kunifikiria vibaya.

Mimi "Hausikii hicho kiti kama kinacheza?"

Rehema "Hapana,mbona mimi sisikiii?"

Mimi "Duuuu!..,nikishika kwa mfano breki mi naona kabisa kinaenda mbele na nikiachia kinakuwa kama kinarudi nyuma,wewe huwezi kuona "


Mimi "Nadhani baadae itanibidi niipeleke gereji warekebishe"

Maneno yote hayo ilikuwa ni kumfariji Rehema tu ili asinifikirie vibaya kuhusu maneno yangu yale ya uongo.Baada ya kumfikisha Rehema pale Ubungo nilimuachia na hela kiasi kwa ajili ya matumizi yake ya kawaida kisha nikaondoka zangu kuelekea Magomeni kwa Ally Mpemba.Nipofika nilifungua geti na kuiingiza ile gari ndani,nilishukaka nikaelekea kuufungua mlango na kuingia ndani ya nyumba.

Vile vyakula vya Maya vilikuwa pale sebuleni kama kawaida kwakuwa usiku ule hakuwa amekula na mimi sikutaka kabisa kuvitoa nikawa nimeacha palepale,nilikaa kwenye sofa pale sebuleni nikawa ninatafakari kwa kina jambo ambalo nilikuwa nimelifanya na kiukweli nilijuta sana na niliona kabisa naweza kukosana na Ally Mpemba hivi hivi!.Nijitahidi sana kuilazimisha furaha lakini moyoni mwangu tayari kulikuwa na majonzi makubwa mno.Baada ya masaa mawili kupita nikiwa naendelea kutafakari yaliyotokea,Ally Mpemba akanipigia simu tena na bado alionekana kukasirishwa na kukerwa kwa kile kitendo,kiukweli jamaa sikuwahi kumuona akiwa mkali kiasi kile.

Ally Mpemba "Nikwambia tangu mwanzo uwe makini lakini naona unataka kunitia kwenye umasikini,mimi siwezi kukubali kaka hiyo itakugharimu sana"

Mimi "Nisamehe sana kaka najuta kwa nilichokifanya"

Ally Mpemba "Mimi nikusamehe kama nani?,uliyemkosea yupo na ndiye mwenye mali unapaswa kumuomba msamaha"

Aliendelea "Umenikwaza sana Master pamoja na kukuamini lakini kumbe wataka kunirudisha kwenye umasikinik,aiseee wewe ni mtu mbaya sana"

Mimi "Kaka nilipitiwa tu nisamehe"

Ally Mpemba "Hebu kamuombe msamaha haraka kaka usije niletea matatizo!"

Kwakuwa nilifahamu kabisa kile kitendo nilichokuwa nimekifanya kilikuwa kimemkwaza Maya,moja kwa moja baada ya kuzungumza na Ally,nilichukua fungua nikausogelea mlango wa chumba cha Maya kisha nikaufungua na kuingia ndani,nilipoingia ndani sikutaka kabisa kuufunga ule mlango kwani niliogopa na nikaona ishu ikiwa ngumu basi mimi ni kutoka nduki!.

Nilipofika ndani nilianza kuongea kwa sauti ya upole na majuto ili kuonyesha nimefanya kosa na nalijutia.

Mimi "Nimekuja mbele yako Maya nakuomba unisamehe sitorudia tena!"

Mimi "Maya nakuomba unisikie na unisamehe kwa kitendo nilichokifanya na sitorudia tena"

Wakati naongea hivyo lile kabati ambalo ni kama mlango wa kuingilia kwenye lile shimo alimokuwa anakaa Maya lilikuwa limefungwa na ndipo nikaanza kusikia sauti za kilio cha kwikwi,kile kilio kilianza taratibu lakini kadiri dakika zilivyosogea ndipo nacho kilikuwa kikiongezeka.Mimi sikukata tamaa hata kidogo,niliendelea kumuomba msamaha lakini bado sikuona majibu.
Baada ya muda niliona ule mlango wa kabati ukifunguliwa na Maya akawa ametoka,kiukweli alikuwa amekasirika sana tofauti na mwanzo nilivyowahi kumuona,sikuwahi kumuona akiwa amejaa sumu kiasi kile huku machozi yakiwa yanamtoka,alisimama akawa ananiangalia huku akitetemeka kwa nguvu na kutoa sauti kama Nguruwe.Kile kitendo kiliniogopesha sana na nikaona naweza kupoteza maisha kimzaha mzaha,niliondoka kwenye kile chumba nikawa nimekimbilia sebuleni kwenye mlango wa kutokea nje,nilisimama pale mlangoni nikiendelea kuangalia hali itakuwaje na kama hali ingekuwa mbaya zaidi nilipanga kutoka nduki kuelekea nje.

Nikiwa nimesimama pale mlangoni Ally Mpemba akanipigia simu tena.

Ally Mpemba "Ushamuomba msamaha?"

Mimi "Ndiyo kaka nishamuomba msamaha lakini naona hajibu yupo kimya?"

Ally Mpemba "Yupoje?"

Mimi "Yupo vile vile tu kaka uchi"

Ally Mpemba "Nachotaka kufahamu yeye yupoje?,analia au anacheka?"


Mimi "Analia tu kaka na kutetemeka!"

Ally Mpemba "Hebu funga hiyo nyumba na uondoke haraka kuelekea Unguja,naomba ufanye haraka vinginevyo sitokuwa na huruma na wewe!"

Mimi "Kaka Unguja au Chumbe?"

Ally Mpemba "Usiendelee kupoteza muda hapo nimekwambia funga nyumba uondoke kwenda Unguja kwa Sheikh"

Mimi "Sawa kaka naondoka"



Ally Mpemba akawa amekata simu kwa jazba sana,Kiukweli jamaa alikuwa amechukia sana na ndipo sasa niliiona sura halisi ya Ally Mpemba akiwa amechukia namna anavyozungumza kwa ukali,mara zote nilikuwa nikimchukulia poa kumbe haikuwa kama nilivyodhani,niliondoka nikawa nimeenda kupanda daladala zilizokuwa zinaelekea posta maeneo ya bandari ili niwahi kuelekea Unguja kama alivyokuwa ameniambia Ally.Nilifanikiwa kuondoka mida ya saa 9 alasiri kuelekea Unguja ambapo baada ya kufikia kuna jamaa nilikuta ananisubiri na ndiye aliyeniepeleka hadi Chumbe kwa mzee yule ambaye nimewahi kwenda kwake nikiwa na Ally Mpemba.

Baada ya kufika pale hatukumkuta na jamaa yeye akawa ameniacha akaondoka,kuna mwanamke ambaye alikuwa mke wa mzee akawa amesema ametoka na hivyo ikabidi nimsubiri hadi arejee.Yule mzee alirejea saa 1 usiku na baada ya kufika tu swali lake la kwanza ilikuwa ni kwanini niko pale bila uwepo wa Ally Mpemba.

Mimi "kaka Ally ndiye kaniambia nije kwako"

Mzee "Mambo ni matamu ila mnashindwa kufanya utamu kuendelea kuuzuia utamu"

Aliendelea "watu wa bara mwatumia nguvu sana mahali isipohitajika!"

Mimi niliendelea kukaa kimya huku nikimsikiliza mzee akininanga kwa maneno ya kiswahili yasiyokuwa na chembe ya huruma.

Mzee "Mwenzio kajitahidi kutafuta mambo matamu nawe wataka mtia shubiri!"

Aliendelea "Haya wataka mie nikusaidie nini!"

Mimi "Kuna jambo limetokea mzee wangu ndipo baada ya kuwasiliana na Ally akaniambia nije kwako"

Mzee "Mie naelewa kila kitu weye ulichofanya,sasa hapa kwangu kuna mambo mawili,nsikize kwa makini,moja ni damu na mbili ni ufe wewe!"

Mimi "Sijakuelewa mzee tafadhali nieleweshe"

Mzee "Tangu lini watu wa bara mkaelewa!"

Aliendelea "Kuna mambo mawili weye uchague,moja utoe damu na mbili ufe weye!"

Mimi "Kufa hapana kwakweli,nitoe damu mzee wangu"

Mzee "Hupendi kufa na weye wafanya ujinga!"

Aliendelea "Haya nsikize kwa makini,huyo aliyesababisha haya inapaswa afe kwa kumwaga damu,sasa kuna dawa nitakupatia na nguo hivyo ukifika bara hakikisha unafanya kama nitakavyokueleza"

Mimi "Sawa mzee"

Usiku ule mzee alinichukua akawa amenipeleka kwenye nyumba moja ambayo hakukuwa na mtu ndani yake,tulivyofika hapo alichukua nguo ya ndani ya mwanamke (Chupi)ambayo ilikjwa mpya kabisa na ilikuwa ya rangi nyekundu,kisha akachukua kopo moja ambalo kulikuwa na unga fulani ambao sikuuelewa kisha akaniambia kwakuwa Mwanamke niliyekuwa naye usiku ndiye chanzo cha matazizo ni lazima yeye afe ili mimi nisalimike kwakuwa kosa lile halikuwa na mzaha hata kidogo,kimuonekano waweza kudhani kosa la kukaa siti ya mbele lilikuwa la kawaida kumbe haikuwa kama nilivyokuwa nimedhani.

Mzee "Shika hii!"

Niliichukua ile chupi nikawa nimeishika kama alivyokuwa amenitaka kufanya.

Mzee "Hii dawa utaipaka hivi,na ukishamaliza kuipaka utampelekea huyo mwanaizaya huu mzigo na uhakikishe anaupokea kwa mikono yake miwili usije mpa mtu mwingine kuipokea badala yake,ukifanya hivyo usije kunilaumu!"

Mimi "Sawa mzee"


Mzee "Hii chupi ataivaa na akishaivaa utanipa majibu"

Mimi "Sasa hawezi kuikataa?"

Mzee "Hawezi!,ukifika bara ingia duka lolote mnunulie chupi nyingine kama zawadi na umpelekee kwa pamoja ikiwemo na hii"

Mimi "Itamtosha kweli?"

Mzee "Hiki ndicho kipimo chake na hakikisha utakazonunua zilingane saizi na hii"

Mimi "Sawa ,nimekuelewa mzee"

Baada ya maelekezo yale mzee alinitaka niwe makini tena siku nyingine kwenye harakati kwasababu mambo huwa si mepesi kama nilivyodhani,nililala pale kwake na Asubuhi mida ya saa 2 niliodnoka kuelekea bandarini kwa ajili ya kuianza safari ya kuelekea Dar es salaam.

Nilipofika Dae es salaam nilielekea mitaa ya Kkoo kununua chupi nyingine kama zuga ili nije nimpelekee Rehema kama zawadi,chupi nilizonunua zilikuwa za rangi tofauti na zilikuwa jumla tano na hakukuwa na ugumu kwasababu nilipoingia kwenye lile duka nilimuonyesha ile chupi nyekundu na nikawa namwambia ni size ya mpenzi wangu hivyo anipatie size kama hiyo.


Itaendelea..................
@wilsonwizzo3

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Uchambuzi wa stori hadi hapa tulipofikia


UMUGHAKA Kukosea masharti ilikuwa planned,....hivi ndivyo huu utajiri unavyoenda / unapumbazwa then unakosea masharti. Ili uingie kwenye mfumo then mfanye collective bargaining upya


Hata ujitahidi vipi kujifanya innocent wa kufuata masharti .......lazima Kuna siku utajaa kwenye mfumo


UMUGHAKA ilikuwa lazima akosee masharti ili price itimizwe

References from different movies

shenala the chronicles & Merlin

."....for every magic there is price to pay"
Shetani ni mbaya sana
 
Ndio maana matajiri wengi wenye utajiri wa kishirikina ni vigumu kusaidia watu sababu wanapitia magumu
Hii story na ukiangalia na maisha ya ndugu zetu waarabu hasa wenye Asili ya visiwani unaona ina ukweli kwa zaidi ya Asilimia 90
Kuna Masharti mengine ni kusaidia watu yaani unaambiwa kila atakaetaka msaada mpe ndio utajiri wako unaongezeka
 
Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani - 21



Niliendelea kupambana katika kazi yangu ya usajili wa line huku nikiendelea kutunza hela nilizozipata,pesa aliyonipatia Ally Mpemba kama mshahara katika ile kampuni yake ya Catering nikiwa kama msimamizi nilikuwa nikihiifadhi pia,kiukweli ilifika mahali nikawa nina fedha sana kiasi kwamba nikasahau kitu kinachoitwa umasikini.

Baada ya kuona pesa ipo ya kutosha,nilianza ujenzi kwenye uwanja wangu niliokuwa nimeununua kule Zingiziwa - Chanika,nilipambana kiasi kwamba ile nyumba nikawa nimeifikisha kwenye lenta,nilipoifikisha hapo niliendelea kupambana ili angalau nipate tena pesa ili niimalizie kabisa kuezeka.Japokuwa nilikuwa ninapesa za kutosha lakini sikutaka kabisa kuidharau kazi yangu ya kusajili line za simu,ni kazi ambayo niliiepnda na ilikuwa kama zuga ili ninapoendelea kupiga pesa kwenye michongo ya kishirikina watu wasinishitukie.

Kabla brother Ally hajarudi kutoka huko alikokuwa ameniambia anakwenda,kuna siku nimetoka zangu pale ofisini buguruni nikawa naelekea kwenye sehemu yangu ya kazi kama kawaida pale Kkoo,sasa nilipofika nikawa nimefungua kuendelea na kazi,mara zote mimi ndiye nilikuwaga nawahi kufungua kabla duka la Ally Mpemba halijafunguliwa,haukupita muda kuna gari ikawa imepaki jirani na duka la Ally Mpemba na akashuka dada Farah akiwa amejifunika Nicab kama kawaida yake,sasa alipofika alinisalimia kana kwamba hatujaonana siku kadhaa nyuma wakati kila siku nilikuwa ninaongea nae.

Farah "Mambo"

Mimi "Poa dada uko poa?"

Farah "Niko poa,za siku?"

Mimi "nzuri"

Farah "Biashara inakwendaje?"

Wakati anaendelea kuniuliza maswali kadhaa niliendelea kumshangaa kwakuwa kila siku niko nae jirani na tunapiga stori kama kawaida,mimi nilidhani uenda labda kwakuwa biashara ya duka huwa ina mambo mengi nikajua atakuwa kuna kitu anafanya ili watu wasielewe chochote,sikutaka kumuuliza dada farah chochote niliamua kujiongeza kama mtu mzima maana biashara zina mambo mengi,lakini kadiri tulivyoendelea kuzungumza ndipo aliendelea kunichanganya kabisa.

Farah "Sijauliziwa kweli?"

Mimi "Na nani?"

Farah "Watu au wateja?"

Mimi "Sasa hivi au jana?"

Farah "Muda wote ambao sijafungua duka!"

Mimi "Muda wote ambao hujafungua!?,kwani lini hujafungua duka dada?"

Aliendelea kufungua duka na swali nililomuuliza ni kama hakulisikia vizuri,baada ya kufungua lile duka aliingia ndani akaendelea na mambo yake,mimi pia niliendelea kupiga kazi kama kawaida.Mara zote nilipokuwa nikisajili line ilikuwa ni lazima mteja awake salio ili aaanze kutumia,kupitia salio atakaloweka mteja ndipo nami nilikuwa najipatia kamisheni,sasa ili upate angalau kamisheni nzuri kila mwezi,ilikuwa ukimsajilia mteja namba mpya unamfungulia na akaunti ya pesa(Tigo pesa,M-pesa,Airtel money)ili aweke salio kwenye akaunti yake kisha unamnunulia salio kupitia akaunti yake,hiyo njia kiukweli ilikuwa nzuri kwetu freelancers kwasababu ilitupatia kamisheni nzuri.

Mimi mara zote pesa nilikuwaga nakwenda kuweka kwenye hilo duka la Ally Mpemba ambalo alikuwa akiuza dada yake aliyeitwa Farah,lile duka lilikuwa la simu lakini pia alikuwa akijishughulisha na utumaji na utoaji wa pesa kupitia mitandao ya simu,sasa kuna mteja alikuja nikawa nimesajilia line ya simu kisha nikamuomba buku ili nikamuwekee pesa kwenye akaunti yake kisha nimnunulie salio kama kawaida.

Mimi "Dada niwekee buku kwenye namba hii"

Farah "Nataka nikaweke float maana nilipoondoka nilizikomba zote!"

Aliendelea "Sitafunga utaniangalizia mara moja nikimbie hapo Crdb kuweka float kisha nawahi kurudi"
Mimi "Sawa dada usijali"

Farah "Ila master naona kishavu kishaanza kutoka,unapiga sana hela wewe!"

Mimi "Aaaaah hamna kitu dada"

Mimi "Kila siku tupo wote na unaniona ina maana leo ndiyo kishavu kimetoka?"

Farah "Wiki mbili nyingi sana mdogo wangu kwa mabadiliko!"

Wakati tunaongea kuna jamaa aliingia pale dukani na ilionekana walifahamiana na dada Farah,sasa jamaa kumbe dada Farah ndiye aliyekuwa amempigia simu akimhitaji aje pale dukani.

Jamaa " we unazingua sana rafiki yangu!"

Aliendelea "Ndugu yako pia nikimwambia anipe ananiambia ametoka"

Farah "Nilikwambia unisubiri nirudi mbona nyie wazigua mnakuwaga ving'ang'anizi!"

Jamaa "Wiki mbili nakutafuta hupatikani,hata simu nikipiga hupokei!"

Farah "Acha ukorofi wako,hebu shika hii hela nenda crdb uniwekee kwenye float"

Jamaa "Nakata hela yangu kabisa"

Farah "We nenda bwana ukirudi nakuja kukupa hela yako"

Sasa sikutaka kupoteza muda sana mle dukani,nilitoka nje nikamfata mteja wangu nikamwambia asubiri kidogo hadi jamaa wa float atakaporejea,sikutaka kabisa kwenda kuweka hela mahali pengine maana nilijua kufanya hivyo kusingekuwa na picha nzuri kwa watu ambao walinipatia eneo la kufanya biashara bila bugudha,hivyo mara zote salio nimekuwa nimiweka pale dukani.Kitu ambacho kiliendelea kuniumiza kichwa ni kitendo cha Farah kudai hakuwepo hilo eneo kwa takribani wiki mbili na kitu cha ajabu ni kwamba hadi duka alikuwa amelifunga kwa siku zote hizo,sasa swali likabaki ni nani ambaye alikuwa akifungua lile duka siku zote zile?,kiukweli nilijiuliza maswali mengi sana ambayo yalikosa majibu kwa muda ule.

Yule mteja baada ya kuona namchelewesha,aliniomba ile buku akanimbia atakwenda kuweka mwenyewe mbele ya safari,nilichomsisitiza ni kwamba ahakikishe anaweka kwanza hela kwenye akaunti yake kisha ananunua salio la kawaida.Kwakuwa sikuwa na wateja kwa muda huo nilinyanyuka nikasogea dukani kwa Farah angalau kuweza kujua ni kitu gani kilikuwa kinaendelea.

Mimi "Sasa dada kama hukuwepo mbona duka ulikuwa ukifungua kika siku!"

Farah "utakuwa unaota master,si ndiyo?"

Mimi "Sioti dada,jana mbona duka ulifungua!"

Farah "Mimi jana ndiyo nimetoka Zanzibar,haya hilo duka nimefungua muda gani?"

Baada ya kuona nako elekea ni kubaya na kuleta taharuki,niliamua kunyamaza na kuanza kujiongelesha ili kumfanya dada Farah asihisi kitu kwasababu nilianza kumuona kama hayuko poa na maswali yangu,sikutaka kabisa kumuuliza maswali tena asije kudhani nimeanza kufutalia maswala ya familia yao.Niliamua kutoka nje na kurudi sehemu yangu ya kazi.

Ilipofika mida ya saa 10 alasiri nilikusanya mwamvuli wangu pamoja na viti kisha nikavipeleka mahali ambapo mara zote huwa nikiviweka,baada ya hapo niliondoka kuelekea sokoni Kkoo nikanunua vyakula vya Maya kisha nikaondoka kuelekea Magomeni,nilipofika niliviweka vile vyakula pale kwenye meza kisha baada ya kumaliza nilichukua gari nikaondoka kuelekea nyumbani kwangu Gongo la mboto kwa ajili ya kuoga na kubadili nguo kisha nikarudi tena Magomeni.

Maisha yaliendelea kama kawaida huku mimi kila ijumaa Maya alikuwa akija mle chumbani nikawa namkung'uta viboko vyenye utamu wa asili kama kawaida,kiukweli niliamua kuwa muaminifu kwenye kila suala alilokuwa ameniambia Ally Mpemba.

Ilipofika mwisho wa mwezi ambao nilitegemea uenda Ally Mpemba angerudi lakini hakurudi kama alivyokuwa ameniambia.Mimi niliamua kutekeleza yale matwaka ya ile bangiri na kweli nilipata hela sana,safari hii baada ya kupata ile hela niliamua kwenda sokoni pale Ilala kwa yule mama Eliya na nikiwa na lengo la kumpata Rehema,sikutaka kabisa yule mama aelewe chochote ya kwamba nilikuwa nikimhitaji Rehema awe mpenzi wangu.

Mimi "Shikamoo mama"
Mama Eliya "Marhaba baba"

Aliendelea "Karibu"

Mimi "Ahsante"

Mama Eliya "Leo nikupatie nini!"

Mimi "Nitanunua tu kabeji kama kawaida"

Mama Eliya "sawa chagua sasa!"

Mimi "Mama hivi yule dada wa juisi leo ameonekana kweli?"

Mama Eliya "Eeeh alipita hapa muda kidogo umepita"

Mimi "Siku ile nimeinywa juisi yake ilikuwa nzuri mno,pale nyumbani kuna sherehe hivyo nilitaka nimpe kazi ya kuiandaa halafu nitamlipa"

Mama Eliya "Hebu subiri nakuja"

Yule mama aliondoka akawa ameelekea nisiko kufahamu kisha baada ya muda kidogo akawa amerudi.

Mama Eliya "Nilienda kumtizama kama yupo kule,huwa anapenda kukaa kwa dada mmoja naona pia anasema ameondoka muda si mrefu "

Mimi "Sawa nitakuachia namba ya simu akipita tafadhali mpatie mwambie anitafute"

Mama Eliya "Sawa baba"

Baaada ya kununua kabeji nilimuachia yule mama na kihela kidogo nikawa nimeondoka.Niliona zile kabeji nizipeleke kabisa nyumbani kwa Ally Magomeni ili mimi nirudi niendelee na misele kama kawaida.
Sasa kesho yake nikiwa katika eneo langu la kazi kama kawaida kuna namba ngeni ikawa imenipigia simu,nilipopokea kumbe alikuwa ni Rehema.

Mimi "Jana nimekuja lakini sikukuta"

Rehema "Kwahiyo tangu siku ile ndiyo ukaona unitafute jana"

Mimi "Mambo yalikuwa mengi ndiyo maana ukaona kimya"

Rehema "Najua mkeo hayupo ndiyo umeona unitafute, haya nambie sasa!"

Mimi "Nilikwambia sina mke!"

Rehema "kwani mnaaminikaga basi!"

Mimi "Sikia,leo nahitaji tuwe wote!"

Rehema "Leo kiukweli sitapata muda!"

Mimi "Niambie basi lini una muda!"

Rehema "Kesho nikitoka kwenye vikoba nitakwambia"

Mimi "Unatoka saa ngapi?"

Rehema "Tunakutanaga saa 10 jioni,hivyo labda saa 12 nikitoka ndiyo nitakuwa na muda"

Aliendelea "Nitumie basi elfu 10 kesho nipeleke vikoba"

Mimi "Nakutumia usijali "

Rehema "Ila kesho tukionana nitawahi kurudi nyumbani"

Mimi "Hakuna tatizo"


Baada ya mazungumzo na yule mwanamke nilimtumia hela elfu 20,sasa nakumbuka siku ambayo niliongea na Rehema ilikuwa jumatano na hivyo ilipaswa nionane nae siku ya Alhamisi jioni kama alivyokuwa ameniambia.Siku ya Alhamisi sikutaka kabisa kutokea eneo la kazi,nilipoamka pale nyumbani Kwa Ally Mpemba nilichukua gari nikawa nimeondoka kuelekea kwangu,nia na madhumuni ilikuwa ni kujiandaa kiakili na kimwili ili nikamkabili mwanamke mwenye shepu lake zuri Rehema.Nilihakikisha mazingira yote ya chakula cha Maya nayaweka vizuri na ilipofika saa 12 jioni nilifungua kile chumba nikawa nimekiacha wazi kama kawaida.Kweli,baada ya kutoka kwenye vikoba vyao akawa ameniambia nikamchukue,sasa niliondoka kuelekea Ubungo nikamkuta akiwa ananisubiri pale Ubungo jirani na ofisi za Tanesco.Nimchukua kisha tukaelekea Tabata,Rehema alikuwa amevaa nguo ya kitenge ambayo ilimchora vema umbo lake akazidi kunivutia sana,kuna mahali tulifika tukawa tumekaa tukaagiza chakula,mimi mbali ya chakula lakini pia niliagiza bia nikaanza kunywa,Rehema yeye hakuwahi kunywa pombe hivyo aliagiza chakula tu na maji ya kunywa.

Mimi "Leo tunaenda kulala kwangu"

Rehema "Sijawahi kulala nje pamoja na utu uzima wangu huu na sitathubutu"

Mimi "Kwanini?"

Rehema "Basi tu ndivyo ninavyoishi"

Mimi "sawa"

Rehema "Basi tuwahi kuondoka ili uwahi kunirudisha"

Baada ya kumaliza kula tuliondoka kuelekea Gongo la mboto,kiukweli baada ya kufika tu nyumbani hakukuwa na maneno mengi,nilimvuta Rehema chumbani na kuanza kumtomasa kwa ulimi na vidole bila huruma,baada ya kuona yupo tayari kwa vita nikamwambia ageuke kisha nikashika zipu nikamvua ile gauni,baada ya lile gauni akawa amebaki na sidiria pamoja na taiti,nikamvua ile sidiria kisha nikamvua na ile taiti akawa amebaki na chupi kisha nikamtupa kitandani,yule mwanamke alikuwa ni mzuri sana kwa umbo na hakuwa na mambo mengi,sikutaka kupoteza muda nikateremsha ile chupi kisha nikamuingizia mwanzi na safari ya kuvuna ulanzi ikaanza.

Baada ya kumtembezea mwanzi wa uhakika ni kama alianza kumwaga ulanzi ule wa mwanzo akiutafuta ulanzi wa pili ili anywe alewe kabisa.Nilidhani alivyoniambia angewahi kurudi nyumbani alikuwa serious kumbe alikuwa akitania,baada ya kumtandika mwanzi kisawa sawa aligoma kabisa kuondoka na akasema nitampeleka asubuhi nyumbani kwao.
Nimewahi kutembea na wanawake kadhaa lakini nadiriki kusema sitamsahau Rehema,nilipokuwa kwenye mahusiano na Shamima binti wa kitanga niliwahi kukiri ya kwamba sidhani kama ningekutana na mwanamke mwenye nyuchi tamu kuliko yeye lakini baada ya kutembea na Rehema kiukweli alimzidi kwa mbali sana Shamima.

Usiku huo kwangu ulikuwa bora sana kuliko usiku wowote ule ambao nimewahi kuupitia,ilipofika mida ya saa 11 alfajiri,niliamka kujiandaa kuondoka kwenda kuufunga ule mlango wa chumba cha Maya kule Mgomeni kwa Ally Mpemba.

Rehema "Unawahi wapi asubuhi yote hii mpenzi?"

Mimi "Nakuja mara moja"

Rehema "Basi uwahi kurudi,mwenzio nahisi baridi"

Mimi "Narudi sasa hivi mama"


Nilimgongea brother mmoja ambaye gari ile niliipaki kwenye nyumba ya kwao,ile nyumba na ambayo nilikuwa nimepanga zilikuwa za mtu mmoja,niliyemgongea alikuwa ni mmoja wa vijana wa mzee mwenye nyumba.

Niliingia kwenye gari kisha nikatoka zangu fasta kuwahi muda,nilipofika kwa Ally gari niliipaki nje kisha nikafungua geti nikazama ndani,baada ya kufungua mlango wa sebuleni nikakuta zile mboga Maya hakula,sikuelewa ni kitu gani kilitokea lakini nikaenda nikaufunga ule mlango wa Maya kisha nikawa nimefunga nyumba na kuondoka.

Siku hiyo Rehema hakwenda kazini kabisa,pia na mimi vilevile,tulikesha hapo nyumbani tukipigana mfweni wa maana kwasababu kila mmoja alikuwa na matamanio na mwenzie,sasa ilipofika mida ya saa 4 asubuhi nikiwa nimelala kwa uchovu,simu yangu ilianza kuita.

Niliamka nikaisogelea nikakuta ni brother Ally Mpemba akiwa ananipigia.Nilipoipokea ile simu nilikuta Ally Mpemba amejaa sana sumu huku akiongea kwa hasira tofauti na mwanzo nilivyomzoea.

Ally Mpemba "Unataka kunisababishia umasikini?,si ndiyo?

Aliendelea "Nakuuliza wewe,unataka kunisababishia umasikini?"

Itaendelea................
Aiseee, noma sana Lucha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom