Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 10,176
- 16,240
Poa Penye nia Pana njia 😉
Haya nasubiri card
Haya nasubiri card
Hadi mimi aloh. Nimejiunga jf 2013 kama sijakosea hii ndo mara ya kwanzaHuu ndo uzi wangu wa kwanza kuwahi kukimbizana nao tangu nijiunge jf
Nasubiri 23@Demi
Acha uzoba, tafuta kimwana, hata wa kumuita dada uchati nayeNyie mnao chat humu mnatuchanganya tu kudadekiii
Eeh nimemjuaKuna Mangi mmoja ana hela sana Makumbusho ana duka kubwa, Mwananyamala ana maduka mawili ya rejareja yamejaa full, Kinondoni ana duka na Manzese ana maduka mawili ya Hardware. Sijawahi kumuona amevaa viatu ni Kanda mbili na baiskeli kila nikimuona na simu yake ni Nokia 105 ya miaka 14 iliyopita imefungwa na rababendi. Aisee kwa mujibu wa Wambeya Jamaa huwa anaenda Pemba kwa Mtaalamu kila mwezi.
Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
Nawe ni mtu mzima hovyo na unazeeka vibaya. Akishachat naye then what next. Washauri waende kuchat huko kwenye nyuzi za chatting na sio kwenye nyuzi zingine ambazo hazina uhusiano na chats. Wanaboa kwani kila uzi wao lazima waanze chats za ngono na mizaha ambazo wengine hazituhusu. Hata nyuzi za kidini au za kuelimisha wao wataleta chats za ngono na mizaha.Acha uzoba, tafuta kimwana, hata wa kumuita dada uchati naye
Haha haha haha naona mapovu kama yote. Hapa tunafuata sheria na taratibu za moderators, kinyume na hapo unakula ban.Nawe ni mtu mzima hovyo na unazeeka vibaya. Akishachat naye then what next. Washauri waende kuchat huko kwenye nyuzi za chatting na sio kwenye nyuzi zingine ambazo hazina uhusiano na chats. Wanaboa kwani kila uzi wao lazima waanze chats za ngono na mizaha ambazo wengine hazituhusu. Hata nyuzi za kidini au za kuelimisha wao wataleta chats za ngono na mizaha.
Nakazia hii,maana wanakuambia mfano kila ijumaa lzma umtie maya je ukisafiri?ukiumwa?hapo ndipo mtakubaliana utoe nn kufidia siku uliyoumwaUchambuzi wa stori hadi hapa tulipofikia
UMUGHAKA Kukosea masharti ilikuwa planned,....hivi ndivyo huu utajiri unavyoenda / unapumbazwa then unakosea masharti. Ili uingie kwenye mfumo then mfanye collective bargaining upya
Hata ujitahidi vipi kujifanya innocent wa kufuata masharti .......lazima Kuna siku utajaa kwenye mfumo
UMUGHAKA ilikuwa lazima akosee masharti ili price itimizwe
References from different movies
shenala the chronicles & Merlin
."....for every magic there is price to pay"
Mkuu hapa unatutafutia ugomvi. Mimi mtego wako nimeushtukia.Ukumbusho kwa wanaume wenzangu
Msihadaike na profile picture za wanawake wa humu jf, wengi wao ni wale wanawake wabaya mtaani wasiokuwa na soko ndio wanapata ahueni kuchat humu mitandaoni.
Huu ujumbe kaandika member fulani humu, eti ni kweli?
Hyo ni mipango yenu tu me nishamaliza kuwaunganishaHahahahaha Manager na wewe itabidi nifunge safari mpaka Mbeya sasa au yeye aje hapa Dar
Usijali kabisa ww tena utakua mwenyekiti msaidizi wa kamatiSawa utaitumia card mambo yakiitika ili nishiriki kikamilifu
Nawaza hivyo,,, pia ndo story ipo ukingoni, huu mtego wa kuuwa lazima jamaa atachemka,,,, kumbuka anamuelewa Sana Rey,,, ana trackle la maana na ndo ugonjwa wake,,, wacha tuone !kitalembwa imani yangu inaniambia Umughaka hana roho ya ukatili kiasi cha kufikia kuua mtu/kutoa kafara ya damu through kuua Rey !
Hatamuua Rey Na hapo ndipo majutroo na mziki mnene bifu kati ya masta na Ally mpemba8
( Just guessing lol)
Sasa si ndio pesa zilipo. Na nyie mnataka pesa. Pesa halali ni ngumu kupata asikwambie mtu. Ndio maana wanaume wengi ili awe na heshima mjini anaingia huko mazima it doesn't matter the cost.Haya mambo haya. Ndo mwishowe unakuja kuolewa na mwanaume kila mkizaa watoto hawaishi wanakufa. Au kila mke anaeoa anakufa. Na unakuta vizazi hadi vizazi hakuna anaeoa. Kumbe mtu aliingizwa mkenge miaka hiyo makosa wanakuja kuyalipa wajukuu
Watu Kama Hawa Ni muhimu kupunguza alosto ya storyJukwaa liko wazi anzisha uzi wako tu kijana. Sijui manufaa unayoyatafuta hapa ni gani.
Na mwenyekiti mkuu atakuwa nani?Usijali kabisa ww tena utakua mwenyekiti msaidizi wa kamati