Utajiri wa kishirikina unavyotesa wengi

Umeonae! Just imagine una mihela lakini huruhusiwi (sijui na nani?) kutumia, watu tu wakujue kuwa unazo but huzifaidi ng'oooo hatareeeee
 

Umeonaeeh, hatareee, una hela ili watu wakujue au unazitafuta ili uzifaidi mwenyewe!
 
Na kwenye haya masharti kuna
-ya kulala na mamaako/babaako/mwanao
-kulala na mtoto mdogo/mchanga.ndio maana kuna habari nyingi sana za watu kubaka vitoto vidogo kabisa tena vingine vya miezi tuu

Daah sasa katoto kwa mwez au mwaka 1,si anakapasua jaman mana hiyo naniliu inapitaje jaman,khaaaa pesa mbaya japo tamu
 
Daah sasa katoto kwa mwez au mwaka 1,si anakapasua jaman mana hiyo naniliu inapitaje jaman,khaaaa pesa mbaya japo tamu

Ndio maana wengi huishia jela
 

Hata uwatetee vipi ndugu yangu...nakuhakikishia zaidi ya 95% ya Wakinga utajiri wao ni uchawi/uganga.

Ushasikia story za PAKIPANDE?
 

Ooooooooh jamani mabachelor tukale wapi ss
 
PAKIPANDE ndio nini??

Mkuu Katavi, atakua alimaanisha Mwakipanda, mganga gwiji na maarufu aliyewapa utajiri watu wengi wa nyanda za kusini na juu kusini, na baadae alipofariki walilia na kusaga meno.
 
Last edited by a moderator:
Hivi ni nchi gani inaongoza kwa ushirikina /uchawi afrika mashariki?
 
Na ukiangalia wale wanaotafuta utajiri wa haraka haraka hata ki-umri umeenda sana.
 

Hahaha
 
Mkuu Katavi, atakua alimaanisha Mwakipanda, mganga gwiji na maarufu aliyewapa utajiri watu wengi wa nyanda za kusini na juu kusini, na baadae alipofariki walilia na kusaga meno.
Kumbe.....!!! Hakuwa na mrithi huyo mganga??
 
Utajiri una madaraja na kila daraja lina kafara lake mfano
Milioni 20-50 ni tofauti na milioni 100-200 na kila daraja huhitaji kitu kikubwa zaidi au damu nyingi zaidi
MSHANA UNA FIX SANA UJUE BASI TU NAKUHESHIMU. HAKUNA UTAJIRI WA KICHAWI KAMA ULIVOELEZA MKUU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…